International Forum

News and Stories from rest of the World
huku mtaani hadi bushi ndani ndani kabisa nilikotembelea nimekuwa nikiwauliza raia wanamfahamu trump? maraia wote wamesema 'ndiyo wanamfahamu, wanasema ameshinda urais wa marekani. pia nikawauliza...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Kaka yake Barack Obama, Malik, ana uchungu moyoni kwa aliyofanyiwa na ndugu yake, licha ya kuwa kiongozi wa taifa kubwa zaidi duniani – Marekani. Malik ambaye alikuwa akimuunga mkono Donald Trump...
2 Reactions
64 Replies
8K Views
Thousands of people across the United States took to the streets in protest a day after Republican Donald Trump was elected president and thereafter , defeating Democrat Hillary Clinton.For...
0 Reactions
3 Replies
432 Views
Sote tumeshuhudia katika uchaguzi wa Marekani mambo yakienda tofauti na matarajio ya wengi, je nini kimesababisha mgombea wa democratic Bi Hillary Clinton kushindwa? Moja ya sababu ya Bi Hillary...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
*BENJAMIN NETANYAHU ISRAELIS PRIME MINISTER'S SPEECH ON AFRICANS* We are not obliged even to the least to try to prove to anybody and to blacks and Arabs that we are superior people, we have...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
"Sihitaji hata dola moja kwenye mshahara wangu nikiingia Ikulu" Donald Trump: "Sihitaji hata dola moja kwenye mshahara wangu nikiingia Ikulu" Donald Trump - millardayo.com
0 Reactions
2 Replies
656 Views
Rais mteule wa Marekani DONALD J.TRUMP AKATAA MSHAHARA WA URAIS Donald J.Trump-Aliyechaguliwa Novemba 8,kuwa Rais wa Marekani,amesema hatachukua mshahara wake kama Rais kiasi cha dola laki...
10 Reactions
96 Replies
16K Views
Kwa wikendi ya tatu mfululizo wananchi wa Korea Kusini waliyojawa na ghadhabu wameamua kumiminika katika barabara za mji mkuu wa Seoul kumtaka rais wa taifa hilo, Park Guen Hye kujiuzulu...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
The entire mainstream media attempted to rig an election for Hillary Clinton, breaking hundreds of years of press protocol and lost. The irrelevant mainstream media is going to have rough 8 years...
1 Reactions
0 Replies
593 Views
Wakuu habari ndo hii, Jamaa wamekula ganzi kishenzi, Trump jeuri hataki kujishusha. Obama kauzu hataki kuonyesha kujutia kwa yale aliyotamka hapo mwanzo wakati kampeni zikianza. Wacheki hapa
7 Reactions
76 Replies
8K Views
Wamejitokeza barabarani wakiimba kwa sifa na kusheherekea ushindi wa Trump. Wafuasi wengi wa ISIS wanategemea vita vya wenyewe kwa wenyewe ndani ya Marekani na kwamba hiyo ndio itakua anguko la...
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Katika mambo yoote niliyosikia kuhusu Mke wa D.Trump, Melania Trump sijawahi kusikia Wazungu wakicheka lafudhi ya Kiingereza chake, huyu Mama anatokea nchi ya Slovenia ambayo iko Ulaya ya...
1 Reactions
51 Replies
5K Views
Watu kwa maelfu katika baadhi ya miji mikubwa nchini Marekani wanaandamana kupinga ushindi wa Rais mteule, Donald Trump kuwa Rais wa 45 wa Taifa hilo. Baadhi ya waandamanaji wamekusanyika nje ya...
10 Reactions
190 Replies
30K Views
Muda wa Michezo umekwisha sasa, kila la heri kaanzishe NGO yakusaidia Afrika uje utupige porojo, mpishe D.Trump apige kazi to make America Great Again!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Siasa za kweli zipo USA trust me siyo hapa bongo maelfu ya watu wanaandamana lkn hakuna washa washa hakuna nini unadhani malekani hawana washa washa heeeee wanafata katiba uwezi kumpiga Raia ndani...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Uchaguzi wa Marekani umemalizika kwa Mr Trump kutangazwa kuwa mshindi kinyume na matarajio ya watu wengi akiwemo Tb Joshua. kilichonivuta nyuma ya keyboard ni hotuba ya bi Hirary Clinton...
1 Reactions
46 Replies
3K Views
Prime Minister Theresa May has been warned by a leading German politician that she is 'delusional' if she believes she can get a good trade deal from Donald Trump. Axel Schafer, a senior member...
0 Reactions
1 Replies
459 Views
Ndugu wana JF naomba msaada kidogo kueleweshwa juu ya ushiriki au uhusika wa Fremason kwenye uchaguzi wa USA TAR 11.9 MLIPUKO PALE PENTAGON TAR.9.11 uchaguzi huwa nasikia hao wakubwa wanachezaga...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
November 10, 2016 at 11:31 am By Daniel Sabiiti Cable car would make access to mount Karisimbi summit easy Rwanda has found an investor ready to implement the ambitious cable car project which...
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Kutana na wale wanaotarajiwa kuwa mawaziri wa Trump. Source: BBC Image Hili huenda likawa baraza la mawaziri la Trump Kwa sasa kilicho kwenye akili za wengi ni kuhusu nani watapewa...
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Back
Top Bottom