International Forum

News and Stories from rest of the World
Askofu mkuu wa Afrika Kusini Desmond Tutu amesema katika ujumbe wake wa siku yake ya kuzaliwa katika gazeti la Washington Post kwamba angependelea kusaidiwa kufa. Katika ujumbe huo Tutu alisema...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Watu watatu wamedungwa visu katika mapigano kati ya kundi linalowachukia watu weusi la Ku Klux Klan (KKK) na waandamanaji wanaowapinga katika jimbo la California. Tukio hilo lilitokea karibu na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wazungu wanaitaka nchi yao, Wazungu nawapendea hapa tu, wanajitambua sana hawataki ushenzi na siyo kama sisi mgeni ndiyo Mungu halafu sisi ndiyo vijakazi kwenye nchi yetu wenyewe! Tanzania...
1 Reactions
0 Replies
457 Views
Leo tarehe 10 Obama amemuita Trump ikulu ya White house ili kumpa seminar elekezi kabla ya kupewa office mwaka kesho January. Ataendelea kupewa maelekezo na vielelezo mbali mbali jinsi ya kufanya...
3 Reactions
45 Replies
5K Views
SAN FRANCISCO — Americans really did crash the Canadian immigration site Tuesday night as polls closed on the West Coast and the first results indicated Donald Trump would be president. There...
1 Reactions
2 Replies
635 Views
A single mother of six is facing potential jail time after selling a bowl of homemade ceviche over social media. Mariza Reulas was cited by San Joaquin County, CA, officials for selling an...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila amepiga marufuku mikutano na mikusanyiko ya kisiasa nchini mwake. KUMBUKA: Rais huyo Hivi karibuni alikuwa mgeni wa JPM hapa nchini ambako...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Demonstrators took to the streets across the country for a second day on Thursday to protest Donald Trump's presidential election victory, voicing fears that the real estate mogul's political...
1 Reactions
2 Replies
625 Views
Mshindi wa Tuzo la Nobel na mwandishi raia wa Nigeria Wole Soyinka, anasema kuwa ataondoka Marekani siku ambayo Donald Trump ataapishwa kuwa rais. Wiki iliyopita Soyinka aliahidi kuwa angeirarua...
3 Reactions
38 Replies
4K Views
Teh teh teh....mbona wale pro-Hillary walokuwa wanashangalia opinion polls pamoja na 'ushindi' wa Hillary kwenye debates leo siwaoni humu? Manake walikuwa na ngebe kama wale wapenzi wa Golden...
12 Reactions
60 Replies
4K Views
Baada ya uchaguzi mkuu wa marekani kumalizika, sasa kinachoendelea ni kwa mamlaka za kiusalama kupambana na RAIA wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii kufikisha jumbe za chuki na vitisho kwa Rais...
0 Reactions
0 Replies
641 Views
Hili ni swali ambalo linahitaji kujibiwa kwani dalili zote zinaonesha kuwa Trump ametoa na anaendelea kutoa upinzani ambao haukutarajiwa kwa 'mpakwa mafuta" Hillary Clinton. Kwa mtu ambaye...
9 Reactions
39 Replies
5K Views
Trump ni rais mpya wa 45 wa marekani ambaye anaonekana ni mbabe jeuri na mbaguzi huyu tuliyenaye yeye ubaguzi wake ni wa kichama kama wewe siyo chama chake huwezi kupata teuzi, rejea yule Dada wa...
5 Reactions
62 Replies
6K Views
Mtoto mkubwa wa Rais Barack Obama – Malia Obama – anahisiwa siku kadhaa nyuma alikuwa amepewa kipisi cha bangi kuvuta na akavuta na kujikuta akirekodiwa na video za mapaparazi wa Marekani. Tukio...
5 Reactions
53 Replies
18K Views
Wengi wa waliokuwa wafuasi wa Hillary Cliton wameanza kufikiria kuhusu uchaguzi mkuu ujao nchini Marekani, ambapo mtu anayezungumziwa sana ni Michelle Obama. Uchaguzi mkuu hufanyika kila baada ya...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Rais wa Mexico kupitia ukurasa wake maalum wa twitter amesema muda wowote kuanzia sasa watatangaza tenda kwa kampuni yoyote ya kimataifa itakayokuwa kuwa tayari kuja na bei ya ushindani katika...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
1.Newt Gingrich 2.Ben Carson 3.Sarah Palin 4.Chris Christie 5.Bernie Sanders 6.Reince Priebus 7.Steven Mnuchin
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Trump ameshaanza kuwachanganya watu akili.Huyo sheriff ni bonge la racist .Na Leo alionekana White House na Trump .Sheriff Joe arpaio ni mtu wa kwanza kumuomba Trump agombanie U Rais .Mnasemaje hapa
0 Reactions
0 Replies
553 Views
Jane Onyanga-Omara | USA TODAY 1 hour ago Extremists celebrated President–elect Donald Trump’s stunning victory at the polls Wednesday, hoping his triumph will “lead to civil war,“ according to a...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Image Kelele hizo ziliripotiwa na watu wa eneo hilo kwamba zimewatisha wanyama na kuwafanya wakimbie mbali katika kipindi cha miezi michache iliyopita. Jeshi la Canada limechunguza kelele za...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom