Gunmen have opened fire at a Bangladesh mosque, killing one policeman and injuring at least five others, during an Eid congregation on Thursday.
More than 100,000 worshipers were praying in...
Suicide Attacks Near Prophet Muhammad's Mosque in Medina and Other Mosques
Two time synchronized suicide attacks have been reported near the el-Omran Shia mosque in Qatif City and near the...
House Democrats roughed up Sen. Bernie Sanders in a closed-door session Wednesday after he deflected questions about when he would formally back Hillary Clinton for president, with a group of...
D.Trump!
Huyu ndiyo Kiongozi dadadeki, mambo chap chap kama Magufuli (PhD), hakuna kulemba, hakika wa USA wakitaka maendeleo ya maana wamchague D.Trump!
Huyu ndiyo kiboko ya One World Government...
Panya wa Apopo walifanikiwa kugundua mabomu yaliyotegwa ardhini Msumbiji na Angola
Wanasayansi katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine nchini Tanzania wanapanga kuwatuma panya waliopokea mafunzo...
Magonjwa ya zinaa yameanza kuenea kwa kasi sana nchini Uingereza. Utafiti umebaini kuwa Maradhi ya Kaswende na Kisonono yamenea kwa kasi kubwa nchini humo katika kipindi cha miaka 3. Idadi ya visa...
Mwanasiasa wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo Moise Katumbi Chapwe ambaye amekuwa nchini uingereza kupata matibabu amesema atarudi nyumbani kuongoza maandamano ya amani dhidi ya...
President Uhuru Kenyatta, his fellow Africans Heads of State and their respective foreign affairs ministers will be given the electronic passports in a symbolic gesture during a summit in Kigali...
1.OPERATION BARBAROSA
Hii ili kuwa uvamizi wa kwanza wa majeshi ya NAZI katika ardhi ya iliyokuwa SOVIET twende tuone majeshi ya SOVIET yalivyopambana kuilinda nchi yao
inaendelea.....
Ndege ya waziri Netanyahu
Waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu ametua nchini Uganda katika ziara ya kwanza kabisa kwa kiongozi wa taifa hilo la kiyahudi kuzuru Afrika tangu mwaka wa 1987...
Tume ya uchungunzi ya kuhusika kwa waingereza kwenye vita ya Iraq mwaka 2003 imesema Uingereza ilifanya makosa kuhusika kwenye hiyo vita.
Mwenyekiti wa Tume hiyo Sir John Wilcot ametoa ripoti...
Mgombea urais wa chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump amemsifu kiongozi wa zamani wa Iraq Saddam Hussein akisema aliweza kukabiliana vyema na magaidi.
Bw Trump alikuwa akihutubia...
Vijana wa madehebu mbili za Kiislamu za Shia na Suni wamekusanyika katika eneo la Karradah mjini Baghdad ambalo siku chache zilizopita lilishambuliwa kwa mipuko ya magaidi na kuswali swala ya...
Wafanyakazi wa sekta ya umma nchini Zimbabwe wanaendelea na mgomo wao wa siku tatu, kulalamikia kutolipwa mishahara yao. Waalimu, madaktari na wafanyakazi wengine wa serikali wanasema hawakulipwa...
Sir Chilcot amesema hakukuwa na mpango thabiti wa hali ya baadaye
Ripoti iliyosubiriwa sana Uingereza ya uchunguzi kuhusu vita vya Iraq imesema vita hivyo vilianzishwa kabla ya njia zote za...
The US government has given a Cameroonian family one million CFA francs ($1,700; £1,260) in cash as compensation for their child being killed in April by a vehicle in top US diplomat Samantha...
Ile ripoti ya uvamizi huko Iraq inatolewa sasa na mambo yanamuendea mrama Blair.
Watu wana jiuliza kwa nini sasa? takribani miaka 7 tangu kuanza uchunguzi huu. Baada ya UK kujichanganya na...
Don’t be alarmed, but our sun has just ‘gone blank’ - with a total lack of sunspots leaving the surface like a snooker ball.
It’s part of the sun’s cycles - a sign that the ‘solar minimum’ is...
Masikio Na macho ya wapenzi wa riadha duniani in Afrika ya kusini ambako Mahakama Kuu itatoa hukumu ya kesi yake ya kumwua aliyekuwa mpenzi wake.Pamoja Na mawakili wake kumtaka atoe vyuma katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.