Wanaukumbi.
WATU 2 WALIPIGA RISASI ISRAEL NDANI YA MGAHAWA
Kick Streamer JohnnySomali Alieleza kuwa alishuhudia tukio la kupigwa risasi katika Mkahawa Huko Israel
"Mtu alikuja tu kwenye mgahawa...
[emoji298]️BREAKING
The Yemenis have informed Iran that if there is a regional war, more than 400,000 fighters are ready to completely blockade the Red Sea and target US bases in Africa and the...
Qingming Festival hii ni sherehe maalumu inayo adhimishwa na jamii ya kichina ulimwenguni kote hasa katika maeneo/nchi zenye jamii kubwa ya kichina mfano China, Indonesia, Thailand, Singapore...
DEDOLARIZATION
RAIS wa Kenya William Ruto amesaini makubaliano na Saudi Arabia ya kununua mafuta kwa kutumia sarafu yao Kenyan shilling.
Tukumbuke pia Rais Ruto alisema Dollar kwa sasa sio...
Rais wa Iran Ebrahim Raisi ametoa wito kwa nchi zote za Kiislamu kuungana dhidi ya Israel.
Hali ya mtaa huko Haifa nchini Israel na kufurika kwa wa-Israel kuelekea vituo vya kujikinga na mabomu...
Wanaukumbi.
#BREAKING Vikosi 18 vya Hamas ambavyo Netanyahu viliharibu kaskazini na kusini mwa Gaza vilitangaza kuwa 'vimevamia, kuwaua wanajeshi 9 na kuwajeruhi wengine, kulenga vifaru 3 vya...
Mwanzilishi wa shirika la kutoa misaada ya chakula la WCK, Jose Andres amesema kuuliwa kwa wafanyakazi wa shirika lake ilikuwa ni kitendo cha makusudi kilichofanywa na jeshi la Israel.
Katika...
Justin Trudeau ambaye ni Waziri Mkuu wa Canada anaonekana akimpiga au kumgusa gusa Rais wa Russia kifuani jambo lililopelekea Bodyguard au mlinzi wa Vladimir Putin kusogea Karibu kuchunguza hilo...
Mike Ilishebo (44) mwanaume wa nchini Zambia amedaiwa kumuua mke wake huyo kwa kutumia waya wa umeme pia kumchoma visu tumboni kisha na yeye kujiua kwa kunywa sumu chanzo kikidaiwa ni mgogoro wa...
Zaidi ya Samaki hai 100,000 walimwagwa barabarani baada ya Lori lililokuwa likiwasafirisha kudondoka barabarani, hata hivyo wengi wa samaki hao wamepona.
Baada ya kutokea kwa ajali hii, samaki...
Baada ya nchi za Malawi, Cameroon, Nigeria na Zambia kupinga waraka wa Papa Francis unaoelekeza kanisa katholiki kubariki ama kuwapa baraka watu wanaojihusishwa na mapenzi ya jinsia moja ama...
religionnews.comDec 20, 2023 5:49 PM
In emphasizing the church’s love for all, including people in LGBTQ+ relationships, the pope has sidestepped thorny doctrinal issues.
(The Conversation) —...
Pope Francis Under Fire from Black Christians for Allowing Gay Blessings
dnyuz.comDec 30, 2023 7:25 PM
ROME — Pope Francis has met with stiff opposition from black Christian leaders after...
Katika mahojiano yaliyorushwa na gazeti la Italia liitwalo La Stampa, Papa amesema kuwa waraka wake wa kuruhusu baraka kwa mashoga unapingwa zaidi na vikundi vichache vya kiitikadi hasa Waafrika...
Ikumbukwe juzi kwenye uchaguzi wa Iran, waliojitokeza kupiga kura ni wachache sana, yaani makundi ya watu wachache sana, watu wamechoka uongozi wa kikatili wa kidini, wanataka demokrasia ya kweli...
Swali.Hivi Wanyama wataweza ku survive kwenye artificial Environment?
Zuu' kubwa zaidi imejengwa huko Oman yenye idadi kubwa ya wanyama wakali, wanyama wasio wakali, wanyama watambaao na ndege...
Baada ya wamarekani wenzao kuuliwa na Waisrael huko Gaza sasa ndo wameanza kuujuwa ubaya kuilea Israel
Veteran House Representative Nancy Pelosi, former Speaker of the House of Representatives...
Wanaukumbi.
MLIPUKO KATIKA ISRAEL
Ripoti zinaibuka kuhusu mlipuko wa bomu lililotegwa kwenye gari kwenye makutano ya Dove Haz katika makazi ya Bat Yam.
Maelezo bado yanaendelea, na hali...
CCTV Crime News
Mwisho wa Video ya pili utamuona namna alivyoingia benki kama mlemavu vile.
................
Hii ilikuwa San Mateo, huko Maranhao, Brazil na huyu ndiye mhusika lakini...
Jesus is my Savior
Trump is my President
...
Mgombea urais wa USA kwa tiketi ya Republicans amezindua bidhaa mbalimbali kuelekea kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu
Bidhaa kama tishert, kofia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.