Marekani kwa nafsi yake imepiga maeneo ya Yemen yanayotawaliwa na Houth mara 8 na kila mara husema wamepiga rada zao na pia kuyawahi makombora ya kuripulia meli yakitayarishwa kurushwa hewani...
Hiyo ndiyo meli ya mafuta yenye mafungamano na Uiengereza Martin Luanda ilivyoanza mara baada ya kupigwa na kombora kutoka kwa Houth
Halafau vikosi vya wanamaji vya India vikaiona ikiendelea...
Lusaka, Zambia
Picha maktaba : Luteni Jenerali Ronnie Shikapwasha mstaafu na mkewe Jane Lusengo Shikapwasha .
Bi. Jane Lusengo Shikapwasha umri miaka 73 (kulia ktk picha) ambaye ni mke wa...
Duka la kwanza la kuuza Pombe kufunguliwa Saudi Arabia baada ya miaka 70 ya Maisha bila Pombe
Duka hili ni maalum kwa wahamiaji wasio Waislam. Duka hili litakuwa mjini Riyadh.
Source: Jambo TV...
Rais Joe Biden awa rais wa kwanza katika historia ya Marekani kufunguliwa kesi ya uhusika wa mauaji ya Kimbari.
Hii inatokana na msaada wa silaha na kiintelijensia na kushindwa kwake kuchukua...
Tajiri wa kwanza duniani Bw. Elon Musk ajitambulisha kama mtu mwenye asili ya Israel kama anavyo simulia hapa chini 👇
---
Elon Musk has reflected on his “Jewish roots” during his childhood in...
Mali, Burkinafaso na Niger mataifa ambayo yalitokea mapinduzi ya kijeshi katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita kwa mfuatano hatimaye leo yamtangaza kujiondoa katika ECOWAS kufuatia kutengwa na...
Serikali ya uganda imetoa taarifa rasmi kuwa maamuzi ya Jaji raia wa Uganda aliyeunga mkono mauaji ya kimbari ya wapalestina katika mahakama ya kimataifa ya Hague kuwa haihusiki kwa namna yeyote...
Hawa jamaa kuwafikia ni safari.
Wenyewe wanasema haijawahi kutokea jeshi lenye nguvu duniani kama la Marekani katika history ya dunia
Yametokea majeshi mengi sana ktk historia ya dunia kama...
By:A Palestinian living in the bombed-out Gaza concentration camp
29January 2024
So here we are Palestinians living in a Paradise known as Gaza … … … while the rest of the world, jealous of our...
Mawaziri wakuu wastaafu wamekuwa mstari wa mbele kutafuta suluhu katika mapigano yanayoendelea.
Wameungana na maraisi na viongozi mbali mbali duniani kuhimiza kuwepo kwa taifa la Palestina...
Kwa sasa nchini China watu wenye umri wa miaka 35 wanakutana na laana ya kuwa na umri huo.
Kwa sasa Wachina wengi wenye umri wa miaka 35 wanakumbana na tishio la kukosa ajira ama mikataba yao ya...
Serikali ya Uingereza inatarajia kupiga marufuku matumizi ya Sigara za Kielektroniki ikiwa ni sehemu ya mipango ya kukabiliana na ongezeko la matumizi makubwa ya vijana katika uvutaji huo...
Yeye hakuunga mkono upande wowote, alisimamia ukweli na kusema tatizo la pale Palestina ni la kihistoria na linapaswa kutatuliwa kidiplomasia, kasema kesi za kisiasa haziwezi kutatua lile tatizo...
Hiki ndicho alichokisema Baba Mtakatifu Francesco ambaye ndiye Kiongozi Mkuu wa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume Duniani,
Nimejipa muda wa kutosha nimeupitia waraka huu Mtakatifu nukta kwa...
UPDATE:
Ecowas yawaondolea Vikwazo Guinea, Mali, Niger na Burkinafaso
Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS) imeamua kuondoa vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa kwa Niger...
Ipo mikasa mingi ya wezi ambao baada ya kuiba hujikuta wametegeshewa na hawawezi kuutua tena mzigo wao mpaka makubaliano na mwenye mali yafanyike.
Iko mikasa mingine ya wazinifu na wachawi...
Wanakumbi.
Kumekucha tena bahari nyekundu imechafuka Wayemeni wanapambana na Magaidi Marekani na Uingereza safi sana.
Biden, anaomba msaada China kupambana na Yemen anaulizwa kwa wao wanapigana...
Watu wenye bunduki washambulia vijiji kwenye eneo linalozozaniwa na Sudan na Sudan Kusini
Watu wenye bunduki walishambulia wanavijiji kwenye eneo lenye utajiri mkubwa wa mafuta la Abyei...
Hivi wa Africa tuna kosea wapi? Mbona roho zetu ni za kikatili, kati ya majaji 17 wa ICJ wote wameunga kesi ya Africa kusini dhidi ya Israel, isipo kua jaji moja kutoka nchi Jilani Uganda Julia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.