International Forum

News and Stories from rest of the World
Ifahamike Israel imekua ikitengeneza na kuuza mizinga ya kisasa yenye uwezo wa maangamizi makubwa sana na pia uwezo wa kusafiri masafa marefu ikiwemo ICBM. Sasa hapo Gaza wamekumbwa na changamoto...
5 Reactions
81 Replies
3K Views
General Salam kamanda wa IRGC amewaambia Marekani na Israeli kama wao wanaume basi waje kupigana na Iran waache kuimba taarabu na kupigana na wanawake na watoto wasio na hatia. General Salami...
22 Reactions
100 Replies
6K Views
Makazi mapya ya "hiari" ya Wapalestina kutoka Gaza polepole yanakuwa sera rasmi ya serikali, huku afisa mkuu akisema kuwa Israel imefanya mazungumzo na nchi kadhaa kwa ajili ya kufyonzwa kwao...
4 Reactions
61 Replies
3K Views
Wapalestina wa Dini ya Kikristo madhehebu ya Orthodox wamesheherekea Christmas Kimya Kimya huku wakitimiza miezi mitatu kamili wakiwa Vitani dhidi ya Wayahudi Ikumbukwe Hamas.waliivamia Israel...
3 Reactions
12 Replies
790 Views
Jeshi la Israel limesema tangu kuanza kwa Vita October 7,2023 wamewauwa zaidi ya askari 8000 wa Hamas Source Al jazeera news
2 Reactions
33 Replies
1K Views
Ousman Sonko ambaye aliwahi kuhudumu katika Serikali ya Rais Yahya Jammeh, anatuhumiwa kufanya Ubakaji dhidi ya Raia, Kuagiza Watu Wauawe huku wengine Wakitekwa na Kuteswa kati ya mwaka 2000 hadi...
0 Reactions
0 Replies
648 Views
Just a few hours before the new year, DStv consumers were very alarmed to see a termination notice put up on Emmanuel TV. A christian television channel founded by the former TB Joshua is set to...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Yamezuka mabishano kwenye kikao cha Baraza la Vita kufuatia mwenendo wa hali halisi ilivyo Gaza Wajumbe hawapendi Vita ichukue muda mrefu Wanataka imalizwe haraka kwa namna yoyote ile Netanyahu...
7 Reactions
67 Replies
4K Views
Ukistaajabu ya Musa, utashangaa ya Farao. Deni la Marekani kwa takwimu za 2023, limefikia $34 trilioni. Kiwango hiki kinaifanya Marekani kuwa kinara wa deni kubwa kabisa duniani. Kumbe hata...
4 Reactions
73 Replies
3K Views
Jeshi lenye mrengo wa Kigaidi la Marekani limejitutumua nakusema lipo tayari kushambulia maeneo ya Houth. Hata hivyo wapiganaji wa Houth wamepuuzilia mbali onyo hilo na kusema watapigana mpaka...
5 Reactions
56 Replies
3K Views
Wanaukumbi. BREAKING: ⚡ 🇮🇱 Pigo jingine kubwa la kiuchumi kwa Israeli Cosco yasitisha usafirishaji wa Israel huku kukiwa na mvutano wa Bahari Nyekundu. Cosco, inadhibiti 5.2% ya uwezo wa...
10 Reactions
60 Replies
5K Views
Nimeona watu wengi wakilalamikia kitendo cha baadhi ya raia wanyarwanda wanaopoteza maisha kulalamikiwa kuwa serikali ya Rais kagame inahusika ingawa hakuna ushahidi. Mimi kwa maoni yangu binafsi...
8 Reactions
39 Replies
2K Views
Waziri wa Ulinzi wa Israel ametoa mwongozo wa namna Gaza Mpya baada ya Vita itakavyokuwa Mosi, hapatakuwa tena na kitu kinachoitwa Hamas Pili, Misri inaweza kushirikishwa katika maeneo kadhaa...
7 Reactions
52 Replies
2K Views
Mawaziri Watatu wa Israel wamesusa kuhudhuria kikao cha Baraza la Vita kinachofanyika kila Jumapili Ikumbukwe kikao kilichopita zilizuka vurugu baada ya baadhi ya Mawaziri kuukataa mpango wa...
3 Reactions
0 Replies
354 Views
War and International Trade. Hivi ndio mizigo inasafirishwa kutoka Asia kwenda Israel. Impact: Bei za Bidhaa kupaa>Mfumko wa bei>>Uasi wa waIsrael dhidi ya Netanyahu. 📷 Sprinter.
7 Reactions
8 Replies
666 Views
Gazeti la Global Times linalodhibitiwa na serikali ya China limepongeza sera za kiuchumi za India na mafanikio ya kidiplomasia katika kipindi cha miaka minne iliyopita chini ya uongozi wa Waziri...
1 Reactions
9 Replies
827 Views
Angekuwa na Kiasi yasingemkuta yote Haya Kazi Mzuri aliyofanya kwa siku nyingi imechafuliwa na Hamas kwa Siku Moja tu ya 7 October 2023 Mungu Ibariki Israel
0 Reactions
4 Replies
711 Views
Mwandishi wa Al jazeera Wael Al Dahdouh amepata janga lingine baada ya mtoto wake Hamza kuuawa Kwenye shambulio la IDF akiwa Kwenye gari Awali idf walishawauwa mke na Watoto wengine wa Wael...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
UN Habitat umesema Gaza imebondwabondwa na kuchimbuliwachimbulia kiasi ambacho Siyo rahisi Kujengeka tena Wamesema Miundombinu ya kibinadamu kwa asilimia kubwa imevurugwa Kabisa kwa namna...
7 Reactions
63 Replies
3K Views
Mtayarishaji na muigizaji wa filamu maarufu Hollywood Mel Gibson juzi kati ampeost picha iliyojaa ujumbe mzito. Picha hiyo inajieleza kuliko maneno elfu moja. Muwe na Boxing Day njema wakulungwa.
33 Reactions
272 Replies
10K Views
Back
Top Bottom