International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Raisi WA Ukraine Vlodomir Zelensky amesema nchi yake iko tayari kutoa kipande Cha ardhi yake Kwa urusi ili kumaliza vita na uhasama baina Yao. Chanzo: SPECTATOR INDEX
7 Reactions
46 Replies
3K Views
Trump anasema kuwa namna Rais Putin alivyotangaza majimbo mawili makubwa ya Ukraine kuwa huru, hayapo ndani ya Ukraine, ni namna ya kipekee iliyotumia akili kubwa mno (Genius). Trump akaendelea...
18 Reactions
134 Replies
10K Views
Baadhi ya wanawake ambao waume zao walikuwa wanajeshi wa FRDC(jeshi la DRC), wanahangaika sana baada ya waume zao kufia vitani, wengine wapo kambini ilipo MONUSCO, wengine wamekimbilia nchi jirani...
0 Reactions
1 Replies
211 Views
Wadau hamjamboni nyote? Serikali ya urusi imeshtukia mchezo mchafu baada ya kugundua vifaa vya mawasiliano walivyouziwa/ kupewa na kampuni ya kichina kukutwa vimetegeshwa vilipuzi Kama vile...
1 Reactions
6 Replies
751 Views
Wadau hamjamboni nyote? Kumekuchaa Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Dozens of Lebanese nationals have been stranded at the international airport in Tehran since this morning after...
2 Reactions
6 Replies
404 Views
Wadau hamjamboni nyote? Bahari nzuri ya kupendeza ya galilaya imefanana na bara la Afrika Maji yake Yana baraka kubwa sana Mungu ibariki Israel
9 Reactions
31 Replies
1K Views
The European Union member countries which includes France, Germany, Italy, expressed their shared commitment to multilateralism, the rule of law, non-racialism, and non-sexism in South Africa...
4 Reactions
4 Replies
565 Views
Raia wengi wa Nigeria wamekuwa wakihusishwa na utapeli kila kona ya dunia kuanzia nchi za Africa, Uarabuni, Ulaya hadi Marekani. Kwa nini Nigeria imekuwa ikizalisha matapeli wengi hivi wa...
7 Reactions
35 Replies
957 Views
Kweli kuwa Bilionea siyo mwisho wa matatizo. Angalia mahusiano mabaya ya Elon Musk dhidi ya wanafamilia wake:- 1. Wake wa Zamani Elon Musk amewahi kuoa mara mbili kwa wanawake wawili tofauti...
9 Reactions
100 Replies
3K Views
Baada ya wiki mbili, kufuatia vita vya serikali ya DRC na kundi la waasi la M23, wanajeshi wa FARDC, waliokuwa wamekimbilia kwenye kambi ya MONUSCO, wameamua kutoka na kujipeleka kwenye kambi ya...
6 Reactions
32 Replies
1K Views
12 February 2025 Arusha, Tanzania DR CONGO YAFUNGUA KESI MAHAKAMA YA AFRIKA, RWANDA YAWEKA PINGAMIZI MAHAKAMA HAINA MAMLAKA DR Congo Vs Rwanda Katika Mahakama ya Afrika-AfCHPR...
1 Reactions
13 Replies
434 Views
Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) limesema limepata ushahidi mpya kuhusu mauaji ya aliyekuwa Rais wa Marekani, John F. Kennedy, ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Rais Donald Trump. FBI...
1 Reactions
9 Replies
644 Views
Paul Kagame,anampiga vita Baba Raila Odinga asiwe rais wa kamisheni ya Afrika,kwani anajua kuwa hawezi kumburuza.Kiburi na jeuri ya Kagame itaendelea mpaka lini?
1 Reactions
17 Replies
756 Views
Kuna uwezekano Isreal na Marekani wakaivamia tena Gaza. Ninavyoandika, Trump anapanga kuwahamisha na kuwanyang'anya ardhi yao kwa maslahi binafsi na Netanyahu. Je, ataweza au ndo mgogoro unaanza...
11 Reactions
114 Replies
3K Views
https://youtube.com/shorts/bgbL681E5h0?si=UBrNfiyTohWgc5hx 😂😂 Ila watu, aisee
4 Reactions
34 Replies
850 Views
Mikono yetu ipo kwenye trigger na tupo tayari kwa mapambano kama Israel atasitisha makubaliano na kuamua kushambulia gaza-HOUTHI HOUTHI wametoa msimamo huo mara baada ya Hamas kudai hawatoachia...
3 Reactions
24 Replies
840 Views
Wanaukumbi. ⚡️🇺🇸🇮🇱JUST IN: Journalist Lior Kordner said in a podcast for Haaretz newspaper: Trump intervened forcefully to end the war, and all the right-wing supporters were living in a dream...
7 Reactions
100 Replies
2K Views
Umoja wa Ulaya (EU) unatarajia kufanya mapitio ya mpango wake wa misaada ya kigeni ili kuendana na maslahi yake ya kisiasa huku ikikabiliwa na changamoto za bajeti, ongezeko la gharama za ulinzi...
9 Reactions
108 Replies
3K Views
Wakati hapa Tanzania hadi Watoto wa Viongozi wametengenezwa kuwa Machawa wenzetu huko mbele mambo ni tofauti Kabisa Chukulia mfano mdogo tu wa mtoto wa Elon Musk aitwaye X na CHAWA Mkuu wa...
5 Reactions
17 Replies
931 Views
Meja Evariste Ndayizeye kutoka jeshi la Burundi, anaesadikika kuwa miongoni mwa wapiganaji mahili, ameuliwa na M23 huko Kivu kusini. Ni katika mapambano ya M23 kuhakikisha inaudunga uwanja wa...
3 Reactions
67 Replies
3K Views
Back
Top Bottom