International Forum

News and Stories from rest of the World
Kumekuwa na maoni mbalimbali hasa ya wale wanaoongozwa na Hisia kusema kwamba Israel imeshindwa vita dhidi ya Hamas. Sababu kuu ni kwamba wanadai malengo ya Israel ya kuivamia Gaza ilikuwa...
2 Reactions
6 Replies
915 Views
Hamas has revealed the truth that they are not terrorists as named by the israelis and alies but they are rather fighting for their nation and siblings. This exchange of victims, hostages and...
2 Reactions
3 Replies
542 Views
Kumlinganisha felix tshisekedi na moise katumbi ni matumizi mabaya ya akili. Hata vitabu vya Mungu vinasema kuwa Kila mtu uongezewa kitu akiwa nacho Sio kwamba ataongezewa akili na wakati Hana...
1 Reactions
1 Replies
369 Views
Ulimwengu unafuatilia makabidhiano ya Mateka wanaoshikiliwa na Hamas wakibadilishana na Wafungwa wa Kipalestina walio katika magereza ya Israel Tayari Waziri mkuu wa Thailand amesema raia wake...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Mabadilishano ya Mateka ni Wapalestina 153 kwa Wayahudi 50 Maoni yako FaizaFoxy 😂
14 Reactions
95 Replies
3K Views
Rais Lazarus Chakwera amesitisha mara moja safari zote za Kimataifa zinazomhusisha yeye na maafisa wote wa Serikali huku akiwaagiza Mawaziri wote walioko nje ya nchi kwa sasa kurejea haraka Nchini...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa taarifa ya Hamas ni Kwamba leo watawaachia Mateka wa mwisho kukamilisha idadi ya Mateka 50 wa Kwenye Makubaliano Ni kawaida ya Hamas Kuachilia raia wa nchi nyingine pia nje ya hiyo...
1 Reactions
5 Replies
377 Views
Wasauz wamekianzisha tena-wanadai wahamiaji haramu wanachukua nafasi zao za utafutaji. Watanzania kama kawaida tutasema sisi maswahiba hatufurushwi. -- Johannesburg, South Africa – For years...
2 Reactions
3 Replies
566 Views
Huu ni mwaka wa wanamgambo wa Houth kupata ngawira kutokana na vita vinavyoendelea huko Gaza. Muda mfupi ulopita meli nyengine yenye mafungamano na Israel imetekwa kwenye bahari ya Aden Meli hiyo...
8 Reactions
19 Replies
2K Views
Mpaka sasa sijaelewa HAMAS walikusudia kupata nini kwenye hivi vita, wamepoteza kwa Gaza kugeuzwa shamba, wamepoteza makamanda na wapiganaji wengi sana, Wapaletsina wameuawa zaidi ya 15,000 na...
7 Reactions
75 Replies
3K Views
Vita vya Israel-Gaza vimeleta madhara makubwa kwa waandishi wa habari tangu Hamas ilipoanzisha shambulio lisilotarajiwa dhidi ya Israel mnamo Oktoba 7 na Israel kutangaza vita dhidi ya kundi la...
0 Reactions
0 Replies
344 Views
Akiongea na radio ya Arusha Tundu Lissu amewashtumu Isreal kwa wanaofanyia watu wa Gaza sio ubinaadam na ukatili. Alisema mtu mwenye akili timamu hawezi kuwaunga mkono Isreal. Audio ya Mahojiano...
12 Reactions
44 Replies
3K Views
Mamlaka nchini Burkina Faso inapaswa kurejesha agizo la kuwajumuisha kijeshi waandishi wa habari Issaka Lingani na Yacouba Ladji Bama na kuhakikisha usalama wa mwandishi wa habari Boureima...
0 Reactions
0 Replies
264 Views
Uongozi wa Hamas umesema wao wako tayari kuwaachia Mateka wote wa Israel endapo Israel nao watakubali kuwaachia Wafungwa wote wa Kipalestina Source Al jazeera news
3 Reactions
14 Replies
912 Views
Iko wapi huruma ya serikali kwa watoto kutoa matibabu bule kwa walio chini ya miaka mitano Mbona tunawalaani wazayuni kushambulia na kuuwa watoto wa Gaza na huku tukiona sawa kutokuweka na...
1 Reactions
0 Replies
426 Views
Majambazi wanaodaiwa kutumia Pikipiki huku wakiwa na silaha za moto wamewateka Watu 100 Upande wa Kaskazini Magharibi mwa #Nigeria katika Vijiji vya Jimbo la Zamfara. Wenyeji wa Vijiji husika...
0 Reactions
6 Replies
836 Views
Wanaukumbi. 🛑 Kiongozi wa Hamas Osama Hamdan, katika mahojiano na Al Mayadeen: • Kuna ukiukwaji uliofanywa na Israel katika kutekeleza usitishaji vita, baadhi ulitokea jana na ulirudiwa leo. •...
3 Reactions
55 Replies
4K Views
Al Jazeera:Al-Qassam Brigades handed over prisoners in the northern Gaza Strip with the population, confirming Israeli statements that Israel has lost control of the northern Gaza Strip.(Israel...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Kwa takriban miaka 10, Jiang Hui amekuwa akitafuta majibu kwa nini ndege iliyokuwa imembeba mama yake mwenye umri wa miaka 70 iliyorudi kutoka likizoni nchini Malaysia ilitoweka bila kujulikana...
0 Reactions
0 Replies
541 Views
Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Israel mh Hagai amesema wamepokea Mapendekezo ya Hamas kuhusu Mateka na wanayafanyia Kazi Ili swala la Mateka liishe wabaki katika mapigano Hagai amesema Malengo...
9 Reactions
110 Replies
5K Views
Back
Top Bottom