International Forum

News and Stories from rest of the World
Viongozi wa Hamas wamesema jeshi la Israel kwa sasa linatafuta kuungwa mkono na jumuiya za kimataifa kwa kuwasingizia kwamba walichinja watu hasa wanawake na watoto wachanga. Wamekanusha kufanya...
1 Reactions
0 Replies
994 Views
Israel imehtukizwa na kupewa kichapo cha 5-1 ndani ya masaa 24. Inshort intelijensia yao haikungamua uwepo wa mashambulizi haya. Hata mataifa makubwa awakutegemea kusikia kilichotokea. Kwa...
13 Reactions
185 Replies
12K Views
Hii vita ya Middle East ina siri kubwa sana kwa kweli. Tuendelee kuiombe Yukreinia..!! Kiev must prepare for when foreign aid dries up, the fund’s representative has warned Ukraine has to find...
2 Reactions
4 Replies
690 Views
JE? NI KWELI HUU MSIKITI WA AL AQSA ULIOPO JERUSALEM ULIJENGWA NA NABII SULEMAN? Mgogoro mkubwa uliopo leo hii kati ya palestina na Israel ni kugombania kwenye hili eneo lililo jengwa huu msikiti...
19 Reactions
98 Replies
10K Views
Kwa wale wahenga nafikiri wote tutakuwa tunakumbuka kilichotokea Mashariki ya Kati tarehe 7 Oktoba mwaka 1973 katika vita iliyojulikana kana Yom Kippur war auvita ya Oktoba ambapo Egypt, Syria...
2 Reactions
15 Replies
973 Views
Imepita siku 4 toka vita hii ianze lakini tayari Washirika wa Umoja wa Mataifa na Walinda Usalama wa Dunia wametoa misimamo yao katika vita hii. Afrika tunajifunza nini?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Terming the inclusion of the African Union in the G20 “a master stroke,” United Nations General Assembly (UNGA) President Dennis Francis hailed India as a “voice of the Global South”. In...
0 Reactions
0 Replies
359 Views
Israel wapo hatarini kufa na njaa nchi nyingi zimeogopa peleka meli sababu katangaza official yupo vitan. Wengine wanaogopa peleka meli sababu Insurance imepandisha bei na wengine wanaogopa...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Wizara ya Sheria imethibitisha kukamatwa kwa Dieudonne Murengerantwari ikiwa ni siku chache tangu afukuzwe kazi Oktoba 8, 2023 akidaiwa Kudhoofisha Uchumi wa Taifa hilo, Kujihusisha na Rushwa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Huyu kazi yake ilikua kupanga mipango yote ya matumizi ya fedha, yaani zipi zitumike kwenye ugaidi upi na wapi. Poleni kwa msiba wenzetu wa huku uswahilini mnaowaita wale ndugu. Israel bado...
18 Reactions
141 Replies
8K Views
Taarifa zimeibuka za namna Iran iliwasaidia magaidi wa kidini kushambulia Israel kwa rockets, uchunguzi zaidi unaendelea kufanywa, hili taifa la Iran hulia lia likitaka liachiwe lijihami kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Huku viongozi wa Marekani wakitoa matamko ya wazi ya utayari wao kuisaidia silaha zaidi Israel na kivitendo imeshasogeza meli za kivita kwenye bahari ya mediteranean karibu na Israel.. Viongozi...
11 Reactions
47 Replies
6K Views
Wanajeshi kutoka nchi ya Ufaransa walioletwa Niger kulinda usalama dhidi ya vikundi vya kigaidi wanaonekana kwenye video hapo nchini wakifungasha virago maeneo ya Airport ambapo ndege yao ilitua...
0 Reactions
1 Replies
445 Views
Hakuna haja ya salamu. Hali imezidi kuwa mbaya kwa upande wa Palestina baada ya kuanzisha mashambulizi Israel. Waisrael wameendelea kumimina mabomb maeneo mbalimbali ya palestina hasa huko GAza...
10 Reactions
107 Replies
9K Views
Mpaka muda huu sidhani kama kuna ambaye hajajua kinachoendelea huko Mashariki ya kati between Israel and Palestine. Kwa upande wa Palestine, mapema leo asubuhi wameanzisha peration maalum...
17 Reactions
167 Replies
13K Views
Kitu ambacho watu wengi humu JF hawakifahamu vizuri ni kuhusu ukanda wa Gaza, moja ya maeneo ambayo ni kitovu cha mzozo kati ya Palestina na Israeli. Kwanza kabisa, ukanda wa Gaza una idadi ya...
13 Reactions
148 Replies
12K Views
Leo nataka kutoa ujinga uliokidhiri vichwani mwa watu weusi juu ya wana wa Israel. Na hapa nitajikita zaidi katika kuelezea tofauti kuu iliyopo baina ya makundi makubwa ya wayahudi ambamo wote...
7 Reactions
31 Replies
2K Views
Wanaukumbi. Israeli ilikata pumzi yake ya mwisho Chini ya mada hii, gazeti la Kiebrania "Haaretz" lilichapisha makala ya mwandishi mashuhuri wa Kizayuni (Ari Shavit), ambamo amesema: Inaonekana...
6 Reactions
16 Replies
4K Views
Nashangaa kumekuwa na jitohada kubwa zinafanyika ionekane kwamba aliebipu aonekane ni muhanga wa kitendo alichofanya akijua kabisa ukibipu kinachofata huwa ni kupigiwa. Mwanzoni alivyobipu...
7 Reactions
18 Replies
1K Views
Kwa jamii yoyote ile, hakuna kilicho na thamani kuzidi uhai wa binadamu. Lakini pia katila mapambano, bila ya kujali unachokipigania, ni lazima unatakiwa kupima matokeo ya mapambano unayoyafanya...
17 Reactions
72 Replies
3K Views
Back
Top Bottom