Papa Francis ambaye ni kiongozi mkuu wa kanisa katoliki lenye makao yake makuu Vatican inaonekana ni mpenda vita sana.
Katika tamko lake hapo jana amesema kuna watu wanafanya mchezo na...
Urusi iko Juu ya Ukraine Kwa kila kitu.
Kinachojadiliwa ni kwa nini Urusi wameivamia kijeshi Ukraine?
Ukraine inasifiwa kwa uimra wake wa kupambana kwa zaidi ya mwaka mmoja na nchi ilyoizidi kwa...
Mtoto mweusi arukwa Kavalishwa medali mbele ya camera. Imagine what is happening behind the camera? hawa watu wa nje wanatubagua sana waafrica.
Ndo maana Magufuli alisema tupende n vya kwetu. ...
Urusi imesema Ukraine imeshambulia makao makuu ya black sea fleet yaliyopo Crimea.
Inadaiwa Ukraine imetumia makombora ya Storm Shadow iliyopewa na Uingereza.
---
Russia says 19 Ukrainian drones...
My Take
Inakuaje Miafrika inajua kabisa inakataliwa na kutumbukizwa kwenye Bahari lakini inalazimisha kwenda Ulaya?
Wacha wafe Sina huruma na ujinga Mimi.
----
MKUU wa Kanisa Katoliki duniani...
Utawala wa kijeshi nchini Mali umetangaza hii leo kuwa utaahirisha uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika Februari mwakani.
Uchaguzi huo ulilenga kuwarejesha madarakani viongozi wa kiraia katika...
Staa wa TikTok kutoka nchini Indonesia, Lina Mukherjee amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kutokana na video aliyo-post inayomuonesha akisema neno linalotumiwa na Waislamu la ‘Bismillah’...
Rais wa Burundi, Évariste Ndayishimiye ametoa kauli hiyo mara baada ya kurejea nyumbani akitokea katika ziara Nchini Cuba na kwenye Mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN) Jijini New York, Marekani...
KashindeUpdates Elon Musk kupitia program yake ya Biotechnology Startup Neurallink wamefungua milango kwa binadamu wanaohitaji kuwa wa kwanza kufanyiwa majaribio ya kuwekewa kibanzi (Chip)...
Muhtsari
Serikali ya Djibouti yavunja Mkataba wa Bandari ya Doraleh na DP World
Sababu za kuvunja Mkataba ni kutokuwepo kwa maslahi kwa Taifa la Djibouti na rushwa iliyotolewa na mkuu wa bandari...
Ofisi ya Habari ya Baraza la Serikali la China Jumanne ilitoa waraka wa “Jamii ya Binadamu Yenye Mustakabali wa Pamoja: Mapendekezo na Hatua za China”, ukisema miaka kumi iliyopita, Rais Xi...
Hizi dini bana, kwa waislamu ukikamatwa unakula nguruwe ni hatari, kwa wahindu ukikamatwa unakula ng'ombe ni hatari. Watu wanaishi kwa kupangiana cha kukula kwa maagizo ya miungu wao ambaye kila...
Ofisi ya Habari ya Baraza la Serikali la China imetoa waraka unaoitwa “Jamii ya Binadamu Yenye Mustakabali wa Pamoja: Mapendekezo na Hatua za China.”
Kwa mujibu wa waraka huo, miaka kumi...
Dah! Sasa ikiwa usalama wa taifa (FSB) hawapo salama nani mwingine yuko salama....kama mashairi vile
====
A Ukrainian drone hit an FSB building in the city centre of Kursk, Russia, on the...
Urusi ilikua imebakiwa na kizuizi cha usafirishaji wa ngano ya Ukraine, baada ya kushindwa mbinu zingine zote, sasa haina kingine kilichosalia......labda wabonyeze manyuklia sasa na wao wafutike...
Supapawa kadukuliwa kizembe sana, jamaa wameingia kwenye kanzidata na kufumua kila taarifa humo za safari zote...
Ukrainian hackers have hacked into the Russian database of the Sirena-Travel...
Felix tshisekedi anaenda kutangaza kuondoka kwa monusco ndani ya nchi ya kongo kwenye mkutano wa umoja wa mataifa.
Ili ulimwengu umuone shujaa wa hatari.
Wakati wiki kazaa nyuma ameua raia wa...
Akizungumza na Jarida la Jeune Afrique, Rais wa Rwanda, Paul Kagame amethibitisha kuwa atawania nafasi hiyo kwa mara ya 4 kwasababu Wananchi bado wana imani naye.
Kagame aliulizwa anachukuliaje...
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema wapiganaji wake wamefanikiwa kuukomboa mji wa Bakhmut na miji mingine miwili.
Zelensky ametangaza ukombozi wa mji wa Bakhmut uliofanywa na wanajeshi...
Kwamba drones zinaingia na kutoka zitakvyo, asema suluhu itafutwe itakayogharimu hela nyingi sana maana ni fedheha....
Self-proclaimed President of Belarus Alexander Lukashenko is "thinking about...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.