Srinagar (Jammu and Kashmir)
Various departments are busy preparing for the G20 summit to be held in Srinagar, while many others have finalized their preparations.
There is also a program for...
Ikiwa ni takriban siku 240 tangu kutokea Kifo cha #QueenElizabethII wa Uingereza, hatimaye leo Mei 6, 2023, Mtoto wake wa kwanza, Charles III ataidhinishwa rasmi kuwa Mfalme ikiwa ni miaka 69 na...
Naona kama watu wanachukia kwa Ukraine kuwategemea Wamarekani na Ulaya kwenye vita yake dhidi ya Urusi. Kwa ni kosa kuomba msaada kwa mtu unayemuamini!!?
Hata hivyo maslahi ya Ukraine na Marekani...
*zele kama zele anamjambisha mtu mzima *
May 5 (Reuters) - Yevgeny Prigozhin, leader of Russia's Wagner Group mercenary force, said in a sudden and dramatic announcement on Friday that his forces...
Wajumbe 3,000 wa Bunge la Kitaifa la Wananchi (NPC) wamempitisha #XiJinping kuwa Rais ikiwa ni utekelezaji wa Mabadiliko ya Katiba yaliyoondoa ukomo wa mihula miwili wa kwenye nafasi hiyo.
Chama...
Nilipokuwa Mdogo nilikuwa nikisika watu wakisema kwamba kuna watu wanatajirika na utajiri wanauchukua kwa wahindi. Kwa akili zangu ilikuwa ni ngumu kuwaelewa. Kati ya mwaka 2007 na 2008 kuna...
Hali hiyo imetokea katika Majimbo yaliyopo Kaskazini na Magharibi ikielezwa mvua kubwa ilinyesha usiku wakati watu wengi wakiwa wamelala na kuwa chanzo cha kusababisha vifo vingi.
Viongozi wa...
Four Deng Xiaoping ideas that changed China
Deng Xiaoping (1904-1997), who is widely known as "the chief architect of China's reform and opening-up” for his painstaking efforts in leading the...
Kama ni sahihi hiki Marekani wanacholalamika kuhusu kinu cha nyuklia kilipokonywa mikononi mwa Ukraine
Ni wazi Putin alikuwa sahihi kwa usalama wa nchi yake
Tatu; Kwa hii vita Marekani ni looser...
Serikali ya Urusi imetoa katazo la drones za aina yoyote angani mwake siku zikisalia chache kabla rais kuhutubia huku tishio la drones likitamalaki, ambazo zimeonyesha jeuri ya kupaa juu ya kichwa...
Picha: Fang Bin
Fang Bin, Mfanyabiashara mdogo kutokea Wuhan, China aliyesambaza taarifa kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa Uviko19 kupitia mitandao ya Youtube na WeChat ameachiliwa huru baada ya miaka...
Picha: Sararat Rangsiwuthaporn
Sararat Rangsiwuthaporn alikamatwa wiki iliyopita kwa tuhuma za kumuua Rafiki yake Siriporn Kanwong ambapo alibainika kuwaua 12 wengine kwa sumu hiyo
Polisi...
Serikali ya Afrika ya Kusini imesema inamshawishi Rais wa Urusi Vladimir Putin ahudhurie mkutano wa BRICS nchini humo kwani watamkamata kutokana na kuwa mwanachama wa ICC.
Rais Putin anafikiria...
From the outside it looks like an ordinary warehouse. But inside this unassuming building, in Hod Hasharon central Israel, is one of the most ambitious energy projects in the Middle East...
Upepo wa mapambano kati ya majenerali wawili nchini Sudan unaonekana kubadilika ghafla dhidi ya Hemedti.
Jeshi linaloongozwa na generali Burhani limesema kwa sasa wananchi wate waliobaki mjini...
Ndege ya kukodi ya China iliwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Beijing jumanne tarehe 2, ikibeba abiria zaidi ya 140 wa China waliorejea kutoka nchini Sudan. Kabla ya hapo, manowari za...
Kwa mara ya kwanza katika historia ya mauzo ya nje ya bidhaa za China (China's crossborder transactions) mauzo kwa kutumia Yuan yameipita US dollar.
Mwaka 2010 mauzo ya nje ya bidhaa kutoka China...
Wakala wa kudhibiti chakula na dawa nchini humo (Nafdac) imesema inachukua hatua za haraka kuchunguza aina maarufu ya tambi za Indomie baada ya madai ya kuwepo kwa 'substance' ya Ethylene Oxide...
Orodha ya hivi majuzi ya kampuni zinazokua kwa kasi barani Afrika na Financial Times na Statista kwa 2023 inadhihirisha kuwa kampuni katika sekta mbalimbali ziliweza kuendeleza biashara zao hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.