International Forum

News and Stories from rest of the World
Rubani wa Afrika Kusini, Rudolf Erasmus ambaye alitua kwa dharura baada ya kugundua nyoka mwenye sumu kali aina ya cobra akiwa amejificha chini ya kiti chake. Rudolf Erasmus alikuwa akiendesha...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Hivi karibuni jeshi la Afghanistan chini ya Taliban ilionesha mamia kadhaa ya magari ya kijeshi ambayo wamesema yaliachwa na jeshi la Marekani katika haraka ya kukimbia hapo mwaka 2021. Kwa...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Korea Kaskazini imesema wiki hii imefanya jaribio lingine la droni ya mashambulizi ya chini ya maji yenye uwezo wa nyuklia. Tahariri ya leo Jumamosi ya gazeti la chama tawala cha Wafanyakazi...
0 Reactions
3 Replies
521 Views
Hivi watu wa mashariki ya kati sijui wakikaaga bila vita huwa hawafurahi kabisa haya sasa hivi Israel na Rebanon wapo wanashabuliana kwa makombora na mizinga.
9 Reactions
60 Replies
3K Views
Yaani binti kachora huu mchoro wa kukashifu vita na hii imetosha babake kuswekwa ndani miaka miwili..... Ujamaa ni mfumo wa hovyo sana maana ndio umesababisha Warusi wamekua wazungu mazombi...
1 Reactions
19 Replies
980 Views
Tuungane kwenye maombi ya amani wakati tukisherehekea Pasaka na Ramadhani - Guterres Reem Abaza wa UN News akizungumza na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres kuhusu ziara zake za...
0 Reactions
0 Replies
280 Views
Tuungane kwenye maombi ya amani wakati tukisherehekea Pasaka na Ramadhani - Guterres Reem Abaza wa UN News akizungumza na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres kuhusu ziara zake za...
0 Reactions
0 Replies
251 Views
Sarafu Mpya kwa Nchi za BRICS. Nchi za BRICS zinaripotiwa kufanya kazi katika kuunda aina mpya ya sarafu na mpango wa kuwasilisha maendeleo yake katika mkutano wa kilele wa viongozi wa BRICS...
9 Reactions
41 Replies
3K Views
Putin anaishi maisha magumu, uwoga uwoga kila siku, kwa yeye kuhudhuria hafla yoyote hata kama ya dk 15 hulazimu mipango ifanywe kwa muda mrefu. Halafu ni nadra sana atoke, muda mwingi yuko ndani...
1 Reactions
10 Replies
952 Views
Hukumu imetolewa na Mahakama ya Kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) juu ya mauaji ya Balozi #LucaAttanasio mwaka wa 2021, licha ya ushahidi wa kesi kuendelea kuwa na utata. Hata...
0 Reactions
0 Replies
664 Views
Professor Peller The magician was one of the Nigerians that opened Nigerian to what magic was. He is the father of Shina Peller the popular socialite, he always moved with huge and electrified...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Kuna mazungumzo mengi sana ya kuondokana na ulimwengu ambao taifa moja lina nguvu na ushawishi mkubwa zaidi duniani(unipolar) kwenda kwenye mfumo ambao mataifa kadhaa yatakuwa na ushawashi na...
0 Reactions
3 Replies
721 Views
Ni wakati sasa wa NATO kutumia mapanga. ===== South Africa have refused to sell weapons to Poland. It’s likely that Polish government tried to buy the South African ZT-6 Mokopa ATGM, which can...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Hii conversation ni kwa mujibu wa kinachoendelea pale ukraine. Putin: Atakayeingilia atapata pigo la kihistoria. Biden: Sawa hatutaingilia ila sisi tutampa silaha tu awapigie na tumamluki...
1 Reactions
1 Replies
432 Views
Mwanamke mmoja nchini Zambia amemgeuza mumewe kuwa nyoka mkubwa baada ya kukosea kumpa dawa ya kumfanya ampende yeye tu. Mwanamke huyo alitaka mumewe kushinda nyambani kwa ajili yake peke yake...
8 Reactions
49 Replies
3K Views
Marekebisho hayo yalifanywa na Mfalme wa saudia Mr Mohamed Salman. Ili upate kibali cha kuoa mtoto aliye chini ya miaka 18 ni lazima upate kibali kutoka mahakama maalum na ijidhihirishe kuwa ndoa...
2 Reactions
106 Replies
8K Views
Rais Vladmir Putin amekiri kwamba vikwazo vya nchi za Magharibi vilivyolenga kuinyima njaa Kremlin ya fedha kwa ajili ya uvamizi wake Ukraine vinaweza kuleta pigo kwa uchumi wa Urusi. "Vizuizi...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Jeshi la China limesema litakagua meli zote zinazopita njia ya bahari ya Taiwan. Imesema meli zote zitasimamishwa na kukaguliwa. Taiwan imesema haitakubali meli zake zikaguliwe liwalo na liwe...
11 Reactions
34 Replies
2K Views
Hali sio nzuri Ufaransa Kumekuwa na Maandamano Nchi nzima ya Ufaransa. Kumekuwepo na Hali ya Uvunjifu wa Haki za Binadamu ikiwemo Demokrasia Polisi wanatumia Nguvu na Kupiga Raia Hovyo hovyo...
16 Reactions
215 Replies
11K Views
Jiji kubwa barani africa, Lagos, Nigeria, limetangaza kuwa litafunga baadhi ya misikiti, na makanisa na vilabu vya usiku ili kupunguza kelele zinazowaadhiri wakaazi milioni 20 wa jiji hilo...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom