International Forum

News and Stories from rest of the World
Mwandishi huru wa habari za uchunguzi raia wa Marekani Benjamin Norton, hivi karibuni amenukuu nyaraka zilizotolewa na Bunge la Marekani akisema, kuanzia mwaka 1789 hadi mwaka 2022, Marekani...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
UK imeanza majaribio ya kuzalisha nishati kwa kutumia Nuclear Fussion mfumo ambao umekuwepo ki majaribio tu Nuclear fusion plant to be built at power station Yesterday 8:08 PM React| Apower...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Mahakama moja nchini Rwanda Jumatano imewaachilia huru waandishi wa habari watatu ambao walikuwa wanazuiliwa jela kwa miaka minne kwa madai ya kueneza habari za uongo, kesi ambayo ilitajwa na...
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Mpaka haijajulikana ni njaa ya kali ya serikali ya Rwanda au ni tabia kujipendekeza kujikomba Kwa mataifa ya Ulaya eti inataka kuwahifadhi Wakimbizi wanaokataliwa Ulaya na Nchi Tajiri kama UK na...
6 Reactions
34 Replies
2K Views
MWAMBA Putin signs unification treaties for new regions The Russian president has signed agreements on accepting four former Ukrainian territories into Russia Putin signs unification treaties for...
6 Reactions
42 Replies
3K Views
Aisee nmuonea sana huruma mrussia Usa kapania kweli kweli kumpoteza asee maana sio poa hii
7 Reactions
27 Replies
2K Views
Mshauri wa Masuala ya Usalama wa Marekani, Jake Sullivan ametoa kauli hiyo baada ya Rais wa Urusi, Vladimir Putin kunukuliwa akigusia uwezekano wa Nchi yake kutumia silaha hizo katika vita dhidi...
5 Reactions
44 Replies
4K Views
Jamaa wana uzombi sana....roho ngumu yaani. Al-Shabaab militants have claimed responsibility for two suicide car bombings targeting the Lamagalaay area of Beledweyne, Hiran Region, Oct. 3. The...
5 Reactions
55 Replies
3K Views
Umepata picha Urusi itakuwa taifa gani? Ukiwa jela zake zinaenda wasomba vijana ambao hawataki kushiriki vita ya Putin? Huku vijana wengi walioondoka kwa kutoroka phase ya kwanza baada...
0 Reactions
2 Replies
368 Views
Ramzani amesema kuwa mzazi mwema huwafunza watoto wake namna ya kulinda familia, hivyo amepanga kuwapeleka wanawe mstari wa mbele. Watoto hao hawajafikia umri unaokubalika kushiriki vita, kwani...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Badala ya rais na mayatollah wasklize wananchi wao, wameamua kulaumu Marekani na Israel..... DUBAI, United Arab Emirates (AP) — Iranian President Ebrahim Raisi on Tuesday appealed for national...
2 Reactions
36 Replies
4K Views
Marekani na Korea Kusini warusha makombora kuijibu Korea Kaskazini Korea Kusini na jeshi la Marekani wamerusha kombora baharini, Seoul inasema, ni hatua ya kujibu Korea Kaskazini kurusha kombora...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Salama wandugu, Mambo yalifanyika May sijui watu kujaza form tukasema hii comedy tu kwa sababu mwamba Putin hataki hayo yafanyike katika utawala wake, kwa sasa kimyaaaa watu wamepigwa stop na...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwanza naipongeza serikali ya JMT kwa kuzuia Siasa Shuleni Serikali ya Iran unaweza kuangushwa na Wanafunzi wa kike, inasikitisha sana
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari anasema ni kwa sababu hiyo matukio hayo sasa yanachukuliwa kuwa sehemu ya ufisadi. Amesema anaelewa wanafunzi wanapitia changamoto nyingi vyuoni akitaja baadhi...
0 Reactions
0 Replies
783 Views
Felicien Kabuga (84) ni mmoja wa Rwanda anayetuhumiwa kufadhili mauaji ya Rwanda. Ameishi Asnieres-sur-Seine, Ufaransa kwa jina feki ili kuficha utambulisho akiwa na watoto wake Kabuga...
1 Reactions
32 Replies
9K Views
Baada ya raisi Putin wa Urusi kutangaza rasmi kuyameza majimbo 4 ya Ukraine hapo jana,rais Joe Biden amesema Marekani haitishwi na maneno ovyo ya Urusi. Maneno hayo anayokusudia Biden yanaweza...
6 Reactions
55 Replies
3K Views
Aljazeera yasema North Korea imerusha kombora hatari zaidi la balistiki lililoelekezwa Japan, na kupita juu ya Japan. Kombora hilo lililotembea kwa spidi ya March 17 (mara 17 ya spidi ya sauti)...
9 Reactions
64 Replies
5K Views
Wahandisi kila kukicha vichwa vinawagonga na kuwauma kila leo kutaka kujenga majengo marefu zaidi pengine na yakushangaza zaidi. Wataalam wa mambo wana iita dunia kua is the cup of tea,(yaani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
#IRAN KILICHO NYUMA YA MAANDAMANO DHIDI YA HIJABU NCHINI IRAN. Mnano tarehe 16 mwezi wa 9 mwaka 2022 kilitokea kifo cha bint Mahsa Amin Amefariki akiwa katika kituo cha polis mjiji Tehran na...
1 Reactions
51 Replies
3K Views
Back
Top Bottom