International Forum

News and Stories from rest of the World
super power kashaonesha njia kifuatacho ni kumprovoke china nayeye ajae. hii ni baada ya kuonekana jeshi la Kyiv lina fanikiwa kwa kasi ya 5G+. sasa kwa pamoja tunaandaa mazingira ya kumuingiza...
4 Reactions
9 Replies
773 Views
Majeshi ya Ukraine yameingia katika mji wa kimkakati wa Lyman na Kuwazingira Wanajeshi zaidi ya Wanajeshi 3000 wa Urusi huku zaidi ya Wengine 2000 wakiukimbia mji huo kwa Miguu. Russian troops...
7 Reactions
50 Replies
5K Views
Blinken asema kulipuka kwa mabomba ya gas ya Nord Stream ni nafasi nzuri Sana Kwa Marekani kwani itasaidia (Ulaya) kuondoa utegemezi wa gesi ya Urusi hivyo kudhibiti karata ya Putin kutumia gesi...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Raia wa Iran wamechoka na sheria za kidini za kumzuia mwanamke asionekane nywele, hii ni baada ya mdada mmoja kuuawa kisa kaonyesha sehemu ndogo tu ya nywele zake. Japo Waajemi au Persians wana...
13 Reactions
52 Replies
3K Views
Taarifa imethibitishwa na viongozi wa dini waliofanya mazungumzo ya amani na Ibrahim Traore kiongozi aliyempindua Luteni Kanali Paul-Henri Sandaogo Damiba. Damiba aliyechukua mamlaka Januari...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mkutano mkuu wa 20 wa Chama cha Kikomunisti cha China CPC utafanyika tarehe 16 Oktoba hapa Beijing. Lakini kabla ya kufanyika kwa Mkutano huo, ikiwa sasa watu wa China wanakuwa katika mapumziko ya...
1 Reactions
1 Replies
485 Views
Mwanamke kuuawa kisa kijisehemu cha nywele zake kilionekana wazi, imesababisha wa-Iran waseme imetosha, uzombi wa kidini hawautaki tena. Miji 80 ya Iran inatamalaki waandamaji. Nilishangaa sana...
25 Reactions
234 Replies
10K Views
hii video imeniumiza sana Moyo sjui kwa nini. raia wa russia akiuvunja mguu wa rafiki yake alieitwa kwenye putin Mob. ili kuepuka kwenda Ukraine. [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
3 Reactions
11 Replies
941 Views
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony Blinken aliapa kwamba raia wa Ukraine wataweza kutumia silaha zilizotolewa na Marekani kurejesha eneo lao, ikiwa ni pamoja na maeneo ambayo yanatarajiwa...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Wahenga mnakumbuka mikwara ya Nduli Idd Amini Dada na kile alichokutana nacho kwa akina Mayunga " Mti mkavu" Putin atakutana na kipondo kama cha Nduli
8 Reactions
19 Replies
976 Views
Hizo sideshows za kura sijui referendum wala nini hatuna muda navyo, ngoma ni ile ile, inaishia Crimea, mlete wanywa gongo watafyekwa tu KYIV — Less than 24 hours after Russian President Vladimir...
10 Reactions
32 Replies
3K Views
Donald Trump amemuita Rais wa Marekani, Joe Biden kuwa ni ‘adui wa taifa’ na akimshutumu kuwa anatumia Idara ya FBI kumdhibidi. Amezungumza hayo katika mkutano na wafuasi wake uliofanyika...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
HOTUBA YA RAIS VLADMIR PUTIN KUIDHINISHA KUTWALIWA KWA DONBASS. Watu wa Donbass wamefanya chaguo lao, chaguo lisilo na utata, Tutawakumbuka daima mashujaa wa "Russian Spring". Hakuna Umoja wa...
25 Reactions
75 Replies
6K Views
Kwa hali nayoiona hadi sasa Russia inaendeshwa kivita na amri ya mtu mmoja yaani Bunge wala wananchi hawana sauti na kitu kibaya zaidi hadi sasa wanajeshi Wa Russia hawana Morali ya Vita yaani...
10 Reactions
31 Replies
2K Views
America this, America that... Mara utasikia; Death to America, Death to Israel... Kwa miongo na miongo utawala wa Iran una fanya kila kitu kuhakikisha wananchi wao waamini kuwa Marekani na...
12 Reactions
57 Replies
4K Views
A superb speech made by President Putin which is a direct rebuke to Globalists a.k.a the NWO during the signing in ceremony of an agreement signaling the invitation of four new states into the...
1 Reactions
4 Replies
763 Views
Wakuu Mapinduzi ya Kijeshi yametokea nchini Burkina Faso. Kapteni Ibrahim Traore ametangaza kupitia televisheni ya taifa la nchi hiyo kuwa ameupindua utawala wa Rais Paul-Henri Damiba ambaye naye...
23 Reactions
105 Replies
10K Views
■Nani alijua itafika siku katika nchi ya middle east ambapo watu watasimama kidete kufanya maandamano kwa ajili ya mwanamke. ■Nani alijua itafika wakati vijana wa Iran watakataa kukanyaga...
15 Reactions
56 Replies
3K Views
oparation uliianza vizur tu. sikatai malengo yako yakikua donbas? Sawa lakini unapotezaje mageneral zaid ya 10+ na batalion zao kwenda kyiv? sasa malengo yako russia sjui yalikua ni nini!! 1...
17 Reactions
46 Replies
3K Views
Back
Top Bottom