International Forum

News and Stories from rest of the World
Maelfu ya WaCzech wameandamna leo kuishinikiza serikali yao ijiuzulu kutokana na kupelekeshwa na mabeberu, kuisapoti Ukraine na kuitia nchi kwenye mtanzuko mkubwa wa kukosa nishati za Urusi...
7 Reactions
8 Replies
910 Views
Hivi, Putin ana lipi lakuwaambia Warusi, kwamba vifo vya wanajeshi wao havikua na umuhimu wowote maana walichokua wameiba kimrejeshwa kizembe sana tena ndani ya siku chache tu... Justin Bronk...
7 Reactions
46 Replies
4K Views
Rais wa Urusi Vladimir Putin atafanya hafla ya utiaji saini siku ya Ijumaa na kunyakua rasmi maeneo manne zaidi ya Ukraine baada ya kura za maoni zilizolaaniwa na Ukraine na Magharibi kuwa ni za...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Siwezi kusema Putin alimuogopa Trump lakini ni wazi alimpa heshima yake kwa kutojaribu kufurukuta kama alivyozoea. Putin aliitwanga Georgia kipindi cha Bush, aliichukua Crimea kipindi cha Obama...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Mwaka 1848 Karl Marx na Friedrich Engels waliandika kitabu The Communist Manifesto. Kuna hatua kumi walipendekeza kwa nchi kuchukua. unakubaliana kiasi gani na mapendekezo hayo? Kukomesha...
0 Reactions
0 Replies
352 Views
Na Nova Kambota Mwanaharakati, Leo ikiwa ni miaka ni miaka kumi na moja tangu vikosi vya NATO vikiongozwa na Marekani kuung’oa utawala wa rais wa zamani wa Yugoslavia Slobodan Milosevic mnamo...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
°°° katika hii vita inayoendelea iliyotenganisha dunia katika sehemu mbili , kuna jambo kubwa sana la kujifunza kwa binadamu Don't desert your home place °°° as far as "Kuongoza taifa alo...
0 Reactions
0 Replies
457 Views
Jeshi la Urusi limeondoka Kupyansk, likirudi nyuma wakati wa shambulio la majeshi ya Ukreni. Kulingana na vyanzo mbalimbali, kwa wakati huu vitengo vya jesh la Urusi vimeondolewa kabisa kutoka...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Tangu taifa la Russia lilipoanza kufanya huruma na kupeleka chakula Ulaya inaonekana nguvu za jeshi la Ukraine zimeongezeka kiasi kwamba sasa kuna taarifa katika baadhi ya maeneo yaliyoshikiliwa...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Hadi kufikia Alhamisi Septemba 29, 2022, Shirika la Kimataifa la Kutetea Waandishi wa habari (CPJ) limerekodi kukamatwa kwa waandishi wa habari wasiopungua 28 nchini Iran wakati wa maandamano ya...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Maandamano yanazidi kupamba Moto Iran The intelligence chief of Iran’s Revolutionary Guards in the southeastern province of Sistan and Baluchestan was shot dead in the provincial capital Zahedan...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Urusi imeanza kazi ya kuyagawa Maeneo manne ya Ukraine inayokaliwa na Urusi yameanza kufanya kura za maoni, ambazo zimeshutumiwa kuwa haramu na Kyiv na zinaonekana kufungua njia kwa Moscow...
10 Reactions
24 Replies
3K Views
it is not funny anymore tuwaombee hawa waja jaman. Novosibirsk, russia. Relatives of mobilized soldiers are bringing them food while the commanders are not watching. Hey, someone tell them...
2 Reactions
7 Replies
791 Views
Hali ya jeshi la urusi huko Lyman ni ngumu sana. Ukraine imekomboa vijiji vyote vinavyozunguka Lyman na Lyman na Zarichne pekee ndio zimebakia kukombolewa. Barabara kati ya miji hii ndiyo pekee...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
White House responds to Ukraine’s NATO request Now is not the time, says national security adviser Jake Sullivan.
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Uingereza yalalamika kuwa Putin atayatawaza rasmi maeneo manne ya Ukraine kuwa Urusi ktk hafla nzito itayofanyika kesho ijumaa. Maeneo hayo ambayo ni asilimia 15 ya Ukraine yanahusisha Lugansk...
17 Reactions
60 Replies
5K Views
Ndani ya NATO kuna kinga, taifa lako likiwa ndani ya NATO, yaani Urusi hupita mbali na haiwezi ikakosea njia na kwa namna Urusi imedhihirisha udhaifu wake baada ya kushindwa kuparamia Ukraine...
5 Reactions
63 Replies
4K Views
Ni aibu sana kwa taifa ambalo tuliaminishwa ni manguli wa vita,na kiukweli walifanya ulimwengu utie imani bila shaka kwamba baada ya US basi inafuata Russia kwenye medali za kivita. Ila kwa...
6 Reactions
19 Replies
2K Views
Tukirudi nyuma kidogo, Tareh 22/6/2022 urusi na Ukraine kwa usimamizi wa uturuki na umoja wa mataifa waliingia mkataba wa makubaliano ambao urusi iliridhia nafaka za Ukraine ziruhusiwe kutoka...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wengine wanaona kura za maoni kama jaribio la Kremlin kuanzisha upya vita. Ikiwa Urusi itachukua maeneo haya inaweza kupeleka mzozo katika kiwango kipya na hatari zaidi, huku Moscow ikionyesha...
16 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom