International Forum

News and Stories from rest of the World
Kundi lililofanya udukuzi kwenye nchi za Amerika Kusini limetajwa tena kuhusika na udukuzi na wizi wa data, ikiwemo taarifa za ya hali ya moyo wa Rais Andres Manuel Lopez Obrador pia yaliibwa...
1 Reactions
6 Replies
773 Views
Rais wa Urusi, Vladimir Putin ametia saini amri ya kupanua mchakato wa kupata uraia wa Urusi kwa raia wote wa Ukraine. Amri hiyo inaamuru kuwa ‘raia wote wa Ukraine’ wapewe haki ya kuomba...
12 Reactions
82 Replies
8K Views
Huyu Putin naye sijui Akili zake zimehama au vipi? Unatangazaje kuyajumuisha majimbo ambayo hauyadhibiti kijeshi kwa 100%. Mpaka Sasa Urusi imeshindwa kuyateka kijeshi kwa 100% majimbo ya...
14 Reactions
32 Replies
2K Views
Bomu hilo limelipuka baada ya mtu kujitoa mhanga katika kituo cha wanafunzi wa Chuo Kikuu waliokuwa wakijiandaa katika Mji wa Kabul wengi wao waliouawa ni wasichana. Inadaiwa kuwa watu wengine 36...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Uingereza yakata tamaa na Putin....Yakiri kuwa Marekani+NATO (muungano wa nchi 30 dhaifu Duniani)+EU+ Ukraine hawana ubavu wa kumzuia Putin kujimilikisha rasmi asilimia 15 ya ardhi ya Ukraine...
20 Reactions
41 Replies
4K Views
Shirika la Utangazaji la BBC limesema wafanyakazi wake takriban 400 watapoteza kazi zao kama sehemu ya programu ya kupunguza gharama za uendeshaji na kuhamia katika majukwaa ya kidijitali BBC...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Hali ya usalama wa dunia iko hatarini kwani baada ya Marekani kuwahimiza NATO waunganishe nguvu dhidi ya Urusi kama ataivamia Ukraine, nao Urusi wamepeleka sub mbili za nyukilia karibu kabisa na...
8 Reactions
85 Replies
11K Views
Kiduku wa North Korea amerusha makombora mawili ya balistiki hivi punde ya kumkaribisha rasmi makamu wa rais wa Marekani Kamala Harris mjini Seoul (South Korea), anayetazamiwa kufika kesho...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
Wamarekani walinunua Alaska kutoka kwa WARUSI Walinunua Louisiana kutoka kwa France. Wakachukua Hawaii, wakachukua Porto Rico. Chezea USA wewe. Na bado anakuja kuyachukua majimbo 4 soon ampatie...
0 Reactions
7 Replies
755 Views
U.S. and allied intelligence agencies are stepping up efforts to detect any Russian military moves or communications that might signal that Vladimir Putin has ordered the use of nuclear weapons in...
13 Reactions
38 Replies
2K Views
Kama ilivyokua kwa Pelosi kuitembelea Taiwan ambapo Wachina walijibu kwa kupiga bahari kwa makombora, ndivyo imekua kwa Korea Kaskazini kuonea bahari kwa kuipiga kwa makombora kisa makamu wa rais...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
"For capitalism, war and peace are business and nothing but business" Karl Liebknetcht. Katika dunia yetu hii ambayo ubepari umeshika hatamu vita na amani vyote ni biashara kwa wakubwa, vita ni...
13 Reactions
73 Replies
4K Views
Confirmed:Nord Stream 1 and 2 pipelines SABOTAGED BY AMERICA as third world war looms Tuesday, September 27, 2022 Europe’s lifeline to Russian energy has officially been severed, accelerating...
4 Reactions
71 Replies
6K Views
Doreen Bogdan-Martin has become the first woman to be elected as secretary-general of the International Telecommunication Union (ITU). The ITU is the main technology agency within the UN...
0 Reactions
0 Replies
410 Views
Jeshi la Urusi limepeleka Nyambizi ya Nuke huko Pacific ikitokea Kamchatka kujiunga na Kundi la Pacific Fleet.[emoji635][emoji635][emoji635] Russian Nuclear Subs Join Pacific Fleet Footage...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Marekani imeandaa $1b kwa ajili ya silaha za kuendelea kuwahami Ukraine ili watetee ardhi yao dhidi ya wanywa gongo wa Urusi wanaolazimishwa kwenda kufia Ukraine, baada ya jeshi rasmi kushindwa na...
6 Reactions
5 Replies
923 Views
If only our politicians were this sorry! Japanese official bursts into tears and wails hysterically on live TV as he apologises for wasting public money Ryutaro Nonomura, 47, accused of wasting...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Cheti cha kifo cha Malkia Elizabeth II kimethibitisha kuwa alifariki kutokana na Uzee Septemba 8. Ikiwa ni ingizo la Rekodi za Kitaifa za Scotland, lililochapishwa leo, na kutiwa saini na mtoto...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Inaelezwa kuwa idadi hiyo imefikiwa ndani ya siku 11 na shutuma zikienda katika vyombo vya usalama, ambapo Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Iran (IHR) limedai nguvu kubwa inatumika kuzuia...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Edward Snowden aliyetoa taarifa za namna serikali ya marekani inawaspy raia wake pamoja na viongozi wa nchi nyingine amepewa uraia wa urusi. Hili ni pigo lingine kwa USA ukizingatia bado Urusi...
9 Reactions
48 Replies
4K Views
Back
Top Bottom