Hii imetokea baada ya Rais Joe Biden wa Marekani kusaini sheria mpya inayompa mamlaka ya kuharakisha usafirishaji wa vifaa vya kijeshi kwa Ukraine. Tafsiri yake ni kwamba hakutakuwa na hurasmu...
Mwanajamvi . Hivi unamjua huyo Eric Oslon Ambaye wa Rusi wa Tandale wanasema ni Mjeshi wa NATO alokamatwa Ukraine? Ni uongo
Huyo jamaa ni ;
- four star General, halafu was the tallest in the...
Zaidi ya mara moja Russia imekua ikitoa vitisho kwamba ,endapo Finland na Sweden wakijaribu kuchukua hatua za kujiunga na NATO atatembeza dozi,cha ajabu jamaa wameshaanza process za awali kabisa...
Mwanafunzi mzungu nchini Afrika Kusini amesimamishwa masomo kwa uchunguzi zaidi baada ya kushtakiwa kwa kukojolea mali ya mwanafunzi mweusi katika Chuo Kikuu cha Stellenbosch, ambapo anaweza...
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema atayaomba mataifa ya Afrika na Asia yamuunge mkono.
Zelensky amesema habari juu ya mahitaji ya nchi yake zinapaswa kutangazwa katika nchi zote muhimu...
Kuna kundi kubwa sana la watu ambao wanapenda kuona, kusoma na kusikia habari za uwanja wa medani hii inatokana na ukweli kuwa vita ndio jambo gumu sana kufanywa na mwanadamu. Katika dunia ya leo...
Umoja wa ulaya hatimaye umeyaruhusu makampuni yake kununua mafuta ya Urusi kwa kufuata taratibu ambazo Urusi kaziweka.
Yetu macho na masikio.
EU gives companies green light to buy gas from...
Kuna video inasambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha trick wanazo fanya wanajeshi wa Ukraine ili kuhandaa umma kua wamefika mpaka wa urusi kumbe ni uongo.
Nisiongee sanaa angalia hii...
Katika vitu vilivyompa wakati Mgumu Trump, ni jinsi alivyoshughuliia Covid-19, Democrats walimshukia hatari kinoma.
Joe Biden kwenye kampeni alisema " any one who is responsible to these many...
DM tower business Centre Moscow inaungua Muda huu, ni kituo mashuhuri Kwa biashara ni Kama ilivyo kuwa WTC ya Marekani Au ZILE za Abudhabi na Dubai,
Majengo pasha mengine manne yote yameteketea...
Machina anafuata Kwa mbali in terms of per Capita ila Kwenye GDP anamkaribia. Ukweli mchungu USA ataendelea kutuburuza miaka mingi ijayo labda utokee muujiza wa Mungu.
Vifo vipya 21 vimeripotiwa huku ikielezwa watu wengine walikuwa na dalili za Homa. Kiongozi wa Taifa hilo, Kim Jong Un amesema mlipuko wa COVID-19 umeiweka Nchi katika machafuko makubwa.
Korea...
Katika Pitapita zangu mtandaoni nikijaribu tafuta ushindi wa warusi katika ardhi ya Ukraine kama vile kundi jipya la Warusi Masalia wamekuwa wakituma ripoti mara kwa mara wakisisitiza tusilete...
Hotuba ya kwanza baada Putin kukana mara kwa mara angeivamia nchi jirani yake Ukraine huku akisogeza majeshi yakae tayari
Alitiishia nchi yoyote itakaoingilia itakutana na moto mkali ambao...
Wabunge Nchini Somalia wamemchagua Hassan Sheikh Mohamud aliyekuwa Rais kati ya mwaka 2012 - 2017 kuongoza Taifa hilo. Amepigiwa Kura 214, huku Rais Mohamed Abdullahi Mohamed aliyekuwa anawania...
Serikali ya Uingereza imekosolewa maamuzi yake ya kutaka kuwahamisha wakimbizi kutoka nchini humo na kuwapelekea Rwanda ikioneana ni kama inafanya biashara ya kuuza watu.
Uingereza imeingia...
Iran na Russia zaanzisha kituo cha pamoja cha teknolojia
Jamhuri ya Kiislamu ya Ira na Russia zimeanzisha kituo cha pamoja cha teknolojia kwa ajili ya kuendesha miraji ya pamoja ya ustawi na...
Rand Paul, seneta wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican amemlaumu Joe Biden kwa kuendelea kuipa Ukraine misaada ya kila namna ya kijeshi na kuonya kuwa, kitendo hicho kinahatarisha...
Waziri Mkuu wa Uingereza Johnson ameingia mutual agreement na nchi za Finland na Sweden endapo nchi hizo zitashambuliwa basi ni sawa ameshambuliwa Uingereza, kwa hiyo Uingereza itaingilia kati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.