International Forum

News and Stories from rest of the World
Milipuko miwili imeripotiwa nchini Moldova katika Mji wa Transnistria vikilenga Minara minne ambayo inarusha Matangazo ya Redio kwa Lugha ya Kirusi. Minara hiyo imeteketezwa pakubwa. Eneo la...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Bunge la Congress la Marekani limepitisha Sheria ya Enzi za Vita ya Pili ya Dunia kwa ajili ya msaada wa kijeshi na Kiuchumi kwa nchi ya Ukraine. Kwa Mara ya mwisho,Sheria hii ilipitishwa na Bunge...
23 Reactions
144 Replies
8K Views
EU to boost Russian gas imports through countries willing to pay in rubles – media The EU seeks to make up for a gas supply shortfall in member states that refuse to comply with Russian ruble...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Waziri wa mambo ya nje wa Hungary aqmeamua kuwaumbua wenzake wa nchi za ulaya ambao viongozi wao wanajitokeza kwenye vyombo vya habari na kudai hawakubali kununua gesi ya urusi kwa ruble, wakati...
10 Reactions
19 Replies
2K Views
Kama ungekuwa na busara ungewaita Rais Putin na Zelensky meza moja kujadiliana namna ya kumaliza vita hii lakini umeamua kuwa upande wa Ukraine. Huu ni ujinga mkubwa sana, unachochea uanzishwaji...
7 Reactions
57 Replies
4K Views
Mzuka mwanajamvi! Mwanamuzik maarufu kutoka Australia 81, anadai kumuona Vladimir Putin akjifanya kuwa mlinzi kwenye meli ( Cruise ship) 1985 alipokuwa anaperform. Mwanamama huyo alikuwa...
9 Reactions
27 Replies
3K Views
Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu amekosoa uamuzi wa Mali wa kupiga marufuku vyombo vya habari vya Ufaransa na kuwataka watawala wake wa kijeshi kubadili uamuzi wao...
0 Reactions
6 Replies
902 Views
Nijuavyo Arab League ni umoja wa nchi za kiarabu na AU ni umoja wa nchi za kiafrica. Sasa Somalia, Chad, Sudan, Djibut, Senegal na Mali kuwa mwanachama wa umoja wa nchi za kiarabu kuna mantiki...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Salaaam wana JF Mzungumzo ya Rais Putin na Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres yaliisha kwa Ombi la UN kuwaondoa waliokwama katika kiwanda cha Azovstal Steel mjini Mauripol, Na...
31 Reactions
104 Replies
8K Views
Kwa mtazamo wangu 1: Hakutakuwa na WW3 2: Russia hatatumia Nuclear wala Ukraine haitajisalimisha. Russia itachoka, na wataingia makubaliano ya kusitisha vita ikiwa hoi kabisa na majeraha mengi...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Rais Guillermo Lasso ametangaza Hali ya Dharura ya siku 60 katika Majimbo matatu kutokana na ongezeko la matukio ya uhalifu. Ecuador imeshuhudia ongezeko kubwa la mauaji na uhalifu unaohusiana na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sababu ya jeshi la Marekani bendera na nembo zao kuwa na picha ya ndege mbabe Tai Tai ni ndege mwenye nguvu na uwezo mkubwa wa kuona vitu vikivyo chini kutokea Angani Ardhini kuna wababe kama...
9 Reactions
24 Replies
3K Views
Wabongo wengi kama walivyo Waafrika ni wajuaji mdomoni lakini kichwani empty. Unakuta mtu anaelezea namna gani Ukraine itashinda vita utafikiri hiyo akili anayo. "Mara Ooh kosa kubwa la Urusi...
7 Reactions
6 Replies
1K Views
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN), Antonio Guterres amemtaka Rais wa Urusi, Vladmir Putin kurudisha wanajeshi wake aliwapeleka Ukraine Guterres ameandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa...
2 Reactions
51 Replies
4K Views
Baada ya Urusi kusitisha usambazaji wa gesi kwa Nchi zaPoland na Bulgaria, sasa taifa hilo limesisitiza kuwa itafanya hivyo kwa mataifa mengine ya Ulaya ambayo hayatakubali kulipia gesi kwa fedha...
6 Reactions
26 Replies
2K Views
Rais wa Marekani, Joe Biden ameliomba Bunge la Marekani kuidhinisha msaada wa ziada wa dola bilioni 33 kwa lengo la kuisaidia Ukraine wakati huu inapokabiliwa na uvamizi wa Urusi. Rais Biden...
2 Reactions
116 Replies
5K Views
Takribani mwezi mmoja na siku 17 sasa zimekatika tangu Urusi ilipotangaza Operesheni Maalumu ya Kijeshi nchini Ukraine tarehe 24 Februari, 2022. Kumekuwa na taarifa zinazokinzana kutoka pande...
4 Reactions
3 Replies
826 Views
Kongo yaanza kufaidi matunda ya kujiunga jumuiya ya Afrika Mashariki barabara ya lami kujengwa kutoka Uganda hadi Goma kongo baada ya kongo na Uganda kufikia makubaliano. Wanajeshi wa Serikali ya...
0 Reactions
5 Replies
666 Views
China imeweka hatua kadhaa za 'Lockdown' katika Miji mikubwa ya Beijing na Shanghai yenye mchango mkubwa katika Uchumi wa Nchi hiyo, ikiwa ni jitihada za kudhibiti Milipuko wa Virusi vya Corona...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Vikosi vya Israel vimevamia Msikiti wa Al-Aqsa, Jerusalem Mashariki na kuwajeruhi takriban Wapalestina 40, wakiwemo waandishi wa habari watatu. Uvamizi huo mpya ulifanyika Ijumaa asubuhi, huku...
3 Reactions
181 Replies
10K Views
Back
Top Bottom