International Forum

News and Stories from rest of the World
Wanadiplomasia walioko Afrika Magharibi wameiambia Reuters kuhusu kushikiliwa kwa Rais wa Burkina Faso, Roch Kabore katika kambi ya jeshi iliyoko Ougadougou Taarifa ya kushikiliwa kwa Rais Kabore...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Hii ndo maana sahihi ya Muongoza njia. Hatimaye Serikali ya Ghana imemuiga Mama asiye na maneno mengi bali matendo mengi, asiye na mbwembwe za kujitangaza hovyo na promo za kijinga anayependa vitu...
9 Reactions
116 Replies
7K Views
Baadhi ya watu wamekimbia nchi ili kuepuka chanjo ya corona Baadhi ya watu wamekimbia nchi ili kuepuka chanjo ya coronaImage caption: Baadhi ya watu wamekimbia nchi ili kuepuka chanjo ya corona...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Paul-Henri Sandaogo Damiba: Kanali wa jeshi aliyeongoza mapinduzi Burkina Faso CHANZO CHA PICHA, ANADOLU AGENCY: Wanajeshi walioongoza mapinduzi Burkina Faso Paul-Henri Sandaogo Damiba ndio...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Jumuiya ya Kimataifa yahimizwa kuruhusu misaada iliyositishwa kuepusha Familia kuuza Watoto ili kupata Chakula. Imeelezwa, zaidi ya nusu ya watu katika Taifa hilo wanakabiliwa na njaa Mamilioni...
1 Reactions
3 Replies
725 Views
Rais wa zamani wa Nchi hiyo, Blaise Compaoré (1987-2014), anakabiliwa na mashtaka ya mauaji ya aliyekuwa Rais kuanzia mwaka 1983 hadi 1987, Thomas Sankara. Sankara aliuawa katika mapinduzi...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Serikali imeridhia kuondolewa Hali ya Dharura ya miezi sita iliyowekwa Novemba 2021 baada ya Vikosi kutoka Tigray kusema vilikuwa vinaelekea Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Addis Ababa Mwezi Desemba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu hiki ninachokiona YouTube na nyie mmeshakiona? Mbona inaoneka urusi kapeleka jeshi kubwa sana na vifaa karibu vya aina yote mpakani mwa ukraine akdai anawalinda raia waliopo eastern ukraine...
14 Reactions
280 Replies
29K Views
https://www.dailystar.co.uk/news/world-news/british-airways-cancels-flights-over-25997452 British Airways has cancelled several flights to the US amid fears 5G cellular antennas near some...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Korea Kusini imerekodi maambukizi zaidi ya 13,000 kwa mara ya kwanza, huku Mamlaka zikionya Kirusi cha Corona aina ya Omicron kinaweza kuchangia hadi 90% ya maambukizi mapya katika wiki zijazo...
0 Reactions
0 Replies
711 Views
Maandamano hayo yanakuja baada ya Waandishi wa Habari watatu kuuawa tangu kuanza mwaka 2022. #Mexico inatajwa kuwa miongoni mwa Mataifa hatari zaidi duniani kwa Wanahabari Maandamano yamechochewa...
1 Reactions
2 Replies
928 Views
Hivi karibuni, China imeweka hatua mpya katika kuzisaidia nchi za Afrika kuendeleza mageuzi ya kidijitali. Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Zambia ya MTN imeshirikiana na Huawei ya China kuzindua...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Mbali na kusema Rais Roch Kabore amepinduliwa Jeshi Nchini humo pia limesema Bunge limevunjwa na Mipaka ya Taifa hilo imefungwa. Uamuzi huo umesainiwa na Luteni Kanali Paul-Henri Sandaogo Damiba...
5 Reactions
60 Replies
5K Views
Wizara ya Afya ya Israel imesema watu wa umri wa miaka 60 na kuendelea waliopata chanjo ya nne wameonesha kuwa na kinga kuliko waliopata chanjo tatu. Watu waliopata chanjo tatu wameonekana...
0 Reactions
6 Replies
934 Views
Wajumbe wa Taliban wanakutana na maafisa wa nchi za magharibi nchini Norway kwa ajili ya mazungumzo ya kwanza Ulaya tangu kundi hilo lichukue udhibiti wa nchi ya Afghanstan. Mazungumzo hayo...
0 Reactions
6 Replies
959 Views
Rais Lazarus Chakwera amevunja Baraza la Mawaziri kutokana na kashfa za rushwa za Mawaziri watatu akiwemo waziri wa Nishati aliyetuhumiwa kufaidi kwenye mikataba ya uingizaji mafuta Rais Chakwera...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Habar wana JF Ningependa kujua kwa undani kwanini Siasa za ujamaa huwa zinakwama mbele ya Siasa za Kibepari tatizo nini au viongozi huwa wanakosea wapi....maana hata china baada ya kubadili...
10 Reactions
127 Replies
10K Views
Kituo cha Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa (CDC) Barani Afrika kimetaka Chanjo za COVID-19 zinazotolewa kuwa na muda wa matumizi kati ya miezi mitatu hadi sita ili Mataifa yaweze kupanga usambazaji...
1 Reactions
3 Replies
770 Views
Picha: Mchungaji Curtis Keith Bankston Mchungaji mmoja na mkewe wamekamatwa kwa madai ya kuwafungia walemavu katika eneo la chini la nyumba yao. Maafisa wa polisi wanasema Curtis Keith Bankston...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Serikali Nchini Cameroon imesema takriban watu 16 wamefariki dunia kwenye Klabu iliyopo Mji Mkuu wa Taifa hilo, Yaounde kufuatia ajali ya moto iliyosababishwa na fataki Kwa Mujibu wa Wizara ya...
1 Reactions
3 Replies
898 Views
Back
Top Bottom