International Forum

News and Stories from rest of the World
Wizara ya afya nchini Kazakhstan imesema, watu 164 wakiwemo watoto watatu wameuwawa tangu yalipoanza machafuko yaliyotokana na maandamano nchini humo zaidi ya wiki moja iliyopita. Kati ya 164...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Update:08/01/2022 ==== Kutokana na Mauaji ya Kamanda Soleiman, miaka miwili iliyopita. Iran yawawekea vigogo 51 wa masuala ya usalama wa US...
0 Reactions
81 Replies
11K Views
Rais Ebrahim Raisi amesema aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump anapaswa kuwajibishwa kwa nafasi yake katika mauaji ya Jenerali Qassem Soleimani yaliyotokea miaka miwili iliyopita, au Iran...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya hivi karibuni alipohudhuria hafla ya kumalizika kwa mradi wa bandari ya mafuta ya Mombasa uliojengwa na kampuni ya China pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang...
1 Reactions
1 Replies
583 Views
Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa amemfuta kazi Waziri wa Usalama wa Nchi hiyo, Owen Ncube kwa kufanya vitendo visivyofaa kama Kiongozi wa Serikali. Ofisi ya Rais ilitangaza hatua hiyo Januari...
0 Reactions
0 Replies
934 Views
10 Predictions of What the World Will Look Like in 2022. When people think about the future, they often imagine a bleak and dark place. But what if we could imagine a brighter world? One where...
0 Reactions
2 Replies
874 Views
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema Visa Milioni 9.5 vimeripotiwa ulimwenguni Wiki iliyopita, ikiwa ni ongezeko la 71%. Japokuwa Kirusi cha Omicron kimeonekana kutosababisha makali kama Delta...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bei ya mafuta duniani yaongezeka kufuatia machafuko Kazakhstan, Machafuko katika nchi ambayo ni mwanachama wa kundi la Opec+ ya Kazakhstan yamesabisha bei ya mafuta kuongezeka wakati wawekezaji...
0 Reactions
0 Replies
568 Views
MWANASHERIA AMSHITAKI MKEWE KWA KUMZALIA WATOTO WENYE SURA MBAYA, NA HAKIMU AMWAGIZA MKE KULIPA FIDIA. Gazeti la mtandaoni la KINEDA limeripoti habari yenye msisimko wa kipekee, ambapo...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Wanajeshi wa Uswisi wametakiwa kutumia mtandao wa Threema(Mtandao wa Uswisi) kwa kuwasiliana kiofisi na kibinafsi ili kuwa na ulinzi wa taarifa zao. Mitandao ya WhatsApp, Telegram na Signal...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Viongozi wa kisiasa wa Somalia Jumapili wamesema kwamba wamefikia makubaliano ya kukamilisha uchaguzi wa bunge kufikia Februari 25 baada ya kucheleshwa kwa muda na kutishia udhabiti wa taifa hilo...
1 Reactions
1 Replies
604 Views
Rais Kassym-Jomart Tokayev amekubali Serikali kujiuzulu kufuatia maandamano yaliyotokana na ongezeko la bei za mafuta. Ametangaza Hali ya Dharura kwa muda wa wiki mbili katika baadhi ya maeneo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Maandamano yaliyoanza kutokana na ongezeko la bei ya mafuta yameendelea hata baada ya Serikali kusitisha bei mpya zilizosababisha ghasia hizo zinazotajwa kuwa mbaya zaidi tangu Taifa hilo kupata...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Mpigania uhuru wa Angola Jonas M.Savimbi ,kesho siku ya jumamosi tarehe 1.6.2019 atafanyiwa mazishi rasmi ya kitaifa,baada ya kuzikwa bila kufuatwa kwa itifaki mara baada ya kuuliwa hapo tarehe...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Vikosi vya usalama vya Sudan vimewafyatulia risasi waandamanaji watatu, na kufyatua gesi ya kutoa machozi Alhamisi wakati umati wa waandamanaji lipuofurika katika mji mkuu wa Khartoum. Hali hiyo...
1 Reactions
0 Replies
781 Views
Serikali itayatambua Magenge ya Kihalifu ambayo yamekuwa yakihusishwa na utekaji nyara wa Wanafunzi kama Makundi ya Kigaidi, hatua inayotazamiwa kuimarisha Hali ya Usalama Ghasia zimekuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Na Pili Mwinyi Mwanzoni mwa mwezi Disemba 2021 serikali ya Marekani ilitangaza kususia Michezo ya Olimpki ya Majira ya Baridi ya Beijing ya mwaka 2022, kwa kile walichodai kwamba wanapinga...
0 Reactions
3 Replies
645 Views
Ripoti mpya ya shirika la Umoja wa Mataifa la kukabiliana na dharura inasema zaidi ya watu milioni sita katika maeneo kame ya mashariki na kusini mwa Ethiopia watahitaji msaada wa kuyaokoa maisha...
0 Reactions
2 Replies
984 Views
Mwanzoni mwa mwaka mpya, Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi ambaye pia ni mjumbe wa taifa wa China ametembelea nchi tatu za Afrika, ambazo ni Eritrea, Kenya na Comoro. Huu ni mwaka wa 32...
0 Reactions
2 Replies
642 Views
Marekani na Umoja wa Ulaya wameuonya utawala wa kijeshi nchini Sudan, kutofanya uamuzi wa upande mmoja juu ya uteuzi wa waziri mkuu mpya baada ya kiongozi wa kiraia Abdallah Hamdok kujiuzulu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom