International Forum

News and Stories from rest of the World
Serikali ya Marekani imeanza rasmi kutekeleza agizo la Rais Joe Biden la kuziondowa Ethiopia, Mali na Guinea kutoka makubaliano ya kibiashara kati ya taifa hilo na Afrika kutokana na uvunjwaji wa...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Mwaka 1958, mwaka mmoja baada ya kujipata uhuru, Ghana, nchi ya kwanza ya Afrika kusini mwa Sahara iliyoondokana na utawala wa kikoloni iliitisha mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika. Kwa watu...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Hong Kong imetangaza marufuku ya wiki mbili ya Ndege kutoka Nchi 8 zikiwemo Canada, Marekani, India na Ufaransa kutokana na hofu ya Wimbi la Tano la COVID19 katika Jiji hilo Mbali na marufuku...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Rais Ramaphosa amethibitisha kifo cha mshindi wa Nobel na miongoni mwa watu muhimu kumaliza ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini, Desmond Tutu katika umri wa miaka 90. Tutu aligundulika kuwa na...
10 Reactions
120 Replies
9K Views
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi na mke wake Isaura Nyusi wamekutwa na virusi vya corona na wamejitenga kwa sasa. Kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya rais Bw. Nyusi na mke wake wameamua kujitenga...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Fikiria hii inatokea mjengoni Dodoma!
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Wanaharakati Nchini humo wametangaza maandamano mapya, wakati hali ya Siasa Nchini humo ikiendelea kudorora baada ya Waziri Mkuu, Abdalla Hamdok kujiuzulu. Waongozaji wa Kampeni dhidi ya Utawala...
0 Reactions
1 Replies
731 Views
Mwanamke mjamzito nchini Israel ambaye hakupata chanjo ya corona amegundulika kuwa na mchanganyo wa mafua(flu) na corona ambayo yanaitwa 'Flurona' Mchanganyo wa magonjwa hayo umetajwa kuwa hatari...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Watu wenye umri wa kuanzia miaka 60 wameanza kupewa 'booster' ya pili ambayo inafanya iwe chanjo ya nne ya #COVID19 Misululu ya watu imeonekana katika Vituo vya Afya mjini Tel Aviv ili kupata...
1 Reactions
1 Replies
762 Views
Taliban imesema Wanawake wanaotaka kusafiri umbali mrefu (zaidi ya Kilomita 72) wasipewe usafiri barabarani isipokuwa wakiwa wamesindikizwa na ndugu wa kiume wa karibu Mwongozo huo wa Serikali...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
The daughter of Archbishop Desmond Tutu, the South Africa Nobel peace prize winner, left the priesthood in the South African Anglican Church after wedding her female partner back in 2016. Mpho...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Tovuti ya Citizen News imetangaza kufunga shughuli zake kuanzia Januari 04, ikitaja kuzorota kwa mazingira ya Vyombo vya Habari kama sababu. Hatua hiyo imekuja baada ya Polisi kuvamia Kituo cha...
0 Reactions
2 Replies
989 Views
Brits protested the decision to knight Tony Blair, accusing the former prime minister of being a war criminal Tony Blair, Former Prime Minister, speaks at the Milken Institute 21st Global...
0 Reactions
5 Replies
960 Views
Kufuatia kifo cha Askofu Mkuu (Mstaafu) Desmond Tutu. Imefahamika mwili wake utachomwa moto na majivu yake kuhifadhiwa kwenye Kanisa Kuu (Cathedral) la St. George's, Capetown. Raha ya Daima...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Waziri Mkuu wa Sudan, Abdalla Hamdok amejiuzulu baada ya maandamano ya wanaotaka demokrasia kupamba moto nchini humo Hamdok ambaye aliwahi kuwa Afisa wa Umoja wa Mataifa(UN) alisaini makubaliano...
0 Reactions
1 Replies
643 Views
Inasemekana kwamba Hayati Jovenel Moise alikuwa yuko mbioni kutaja majina ya wauzaji wa dawa za kulevya. Kabla ya kuawa kwake mwezi was aba, Rais Moise alikuwa akikusanya orodha ya wanasiasa na...
15 Reactions
33 Replies
4K Views
Patients admitted to hospital with COVID-19 can die by euthanasia if doctors decide they might not survive, the New Zealand government has declared. The Ministry of Health confirmed that a right...
1 Reactions
2 Replies
535 Views
Moto ambao chanzo chake bado hakijafahamika umeunguza jengo la Bunge la Afrika Kusini, ambapo taarifa za awali zinaeleza kuwa moto huo ulianzia kwenye moja ya ofisi ndani ya jengo hilo kisha...
2 Reactions
4 Replies
805 Views
Rais wa Somalia, Mohamed Abdullahi Mohamed, amesema amesimamisha Madaraka ya Waziri Mkuu wa Taifa hilo, Mohammed Hussein Roble siku moja baada ya wawili hao kutuhumiana kuchelewesha Uchaguzi wa...
2 Reactions
3 Replies
921 Views
Takriban watu 12 wamefariki dunia na wengine wapato 13 kujeruhiwa mapema leo kufuatia mkanyagano katika jumba la kidini la Mata Vaishno Devi huko Kashmir ambalo hutembelewa na maelfu kila siku kwa...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom