International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Rais Yoon Suk Yeol ameondoa Utawala wa Kijeshi nchini humo baada ya maandamano ya wananchi na wabunge kupiga kura za kufuta amri yake Aidha, Msemaji wa chama cha Upinzani cha 'Democratic'...
1 Reactions
5 Replies
706 Views
Wadau hamjamboni nyote? Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, amedai kwamba Tehran inayo ushahidi unaoonyesha kuwa Marekani na Israel walipanga njama ya kuuangusha utawala wa Rais Bashar...
8 Reactions
73 Replies
4K Views
Kuna maswali mengi sana ya kujiuliza baada ya wanamgambo kuuangusha utawala wa Assad huko Syria; Kwanza, kimetokea kitu gani hadi Israel iivamie Syria bila uoga wowote. Pili, kwa nini Israel...
9 Reactions
37 Replies
2K Views
Iran apo Jana umeanza kuandaa makombora yake matano ya NYUKLIA katika mji wa isfarahan kama kukaa tayari KUISHAMBULIA ISRAEL iwapo Israel itajibu shambulio lao la apo juzi. Iran IMESEMA ipo...
15 Reactions
94 Replies
6K Views
Ujasiri na Uhodari wa Benjamin Netanyahu kwenye ulimwengu wa kivita ni copy and paste ya King David. Mfalme David alikuwa hodari na jasiri Sana linapokuwa suala LA Vita. Utawala wa mfalme David...
5 Reactions
19 Replies
556 Views
Habari za muda huu ndugu zangu wa JamiiForums Je, idadi kubwa ya waumini wa dini ya kiislam (99%) inaweza kuwa ndio kikwazo kikuu cha nchi ya Uturuki kutokuwa mwanachama kamili/rasmi wa E.U mpaka...
5 Reactions
159 Replies
18K Views
Allah amesema kisasi ni haki, sasa Iran baada ya kupokea kichapo toka kwa marubani wakike wa ISRAEL, eti mpaka sasa ni zaidi ya mwezi wanaogopa kulipa kisasi. Mwanzo walikuwa na mbwembwe sana...
19 Reactions
72 Replies
2K Views
Mahakama ya Rufaa ya D.C. imetangaza uamuzi wa kuunga mkono sheria inayotaka ByteDance, kampuni mama ya TikTok kutoka China, kuuza hisa zake za programu hiyo ifikapo Januari 19, 2025, la sivyo...
6 Reactions
48 Replies
2K Views
Mahakama imeamuru Matokeo ya Uchaguzi Mkuu yahakikiwe ikiwa ni uamuzi unaotokana na Kesi ya kupinga Matokeo hayo iliyofunguliwa na Vyama vya Independent Patriots for Change (IPC) na Landless...
1 Reactions
7 Replies
706 Views
  • Closed
Kuna kipindi mtume aliagiza wanaume wa Wayahudi wachinjwe na wakachinjwa sana tu kwa ukatili mkubwa hadi watoto wa kiume waliobalehe, ila hatimaye alijifia na bado Wayahudi wakaendelea...
7 Reactions
54 Replies
2K Views
Habari inayosambaa Mitandaoni: Wadruze wa Syria wanaomba wao wenyewe kuunganishwa eneo la Milima yao ya Golan yote iwe ndani ya taifa la Israeli. Jumuiya ya Wadruze wa al-Hader nchini Syria...
2 Reactions
5 Replies
688 Views
Wadau hamjamboni nyote? Mpango maalumu tayari umeshaandaliwa unaitwa "maximum pressure 2.0” plan, ndani kuna njia kadhaa ikiwemo ya kuishambulia Iran kwa ndege za kijeshi. Taarifa kamili hapo...
1 Reactions
11 Replies
770 Views
Waasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem. Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime...
27 Reactions
173 Replies
7K Views
Habari za wakati huu waungwana wa jamiiforums. Ni nani alikuwa nyuma ya kuvunjika kwa taifa la Sudan? Je, ilikuwa ni vita ya mabeberu dhidi ya uchumi (mafuta) wa Omar al-Bashir? Ni kweli kwamba...
12 Reactions
78 Replies
9K Views
Wadau hamjamboni nyote? Kazi ya kusafisha magaidi ya Hamas haijapoa na inakwenda spidi ya kasi kubwa! Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo: ========== Live Update arrow right icon From the...
12 Reactions
142 Replies
3K Views
Mwana anasisitiza watu wazaliane unlike yule mwenzie wa makompyuta anaeshadadia depopulation. Heko kwa huyu mwamba, dunia inahitaji watu. The future of humanity is through birth.
4 Reactions
6 Replies
410 Views
Mapigano ndani ya Damascus kwa sasa!!! Rebel forces have declared Syria "free", saying the "tyrant" President Bashar al-Assad has left. It is the end of a dark era and the beginning of a new...
18 Reactions
385 Replies
16K Views
Uwepo wa Ukristo barani Afrika unaendelea kuendana na hali za kijamii, kisiasa na kiuchumi za bara hili. Hotuba inayozunguka taasisi ya Kikristo barani Afrika ni ngumu, yenye viwango tofauti vya...
9 Reactions
42 Replies
3K Views
Sawa, Tupe data za kweli sasa. Unajua inahitaji research ya kweli independently Hao wazungu ni kawaida Yao kupigia chapuo uwongo wao na kuwalisha jamii. Hivyo Elon Anataka utajiri uongezeke na...
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Israel imeingiza vifaru kwenye eneo la kijiografia la Syria. Kinyume cha utaratibu. Inashambulia uti wa mgongo wa jeshi lililoshindwa la Syria. Kana kwamba wanataka serikali itakayokuja hata kama...
8 Reactions
24 Replies
1K Views
Back
Top Bottom