International Forum

News and Stories from rest of the World
Haya yaliyotokea jana kwenye miji ya majimbo mbalimbali si maandamano. Hayakuwa maandamano ya kudai haki. Zile zilikuwa ni vurugu. Sasa kinachobamba kwenye habari si kifo cha George Floyd. Ni...
9 Reactions
249 Replies
17K Views
Camera iliyokuwa kwenye mwili wa polisi wa jinsia kike imeonyesha video ya polisi akimpiga risasi mmarekani mweusi. Raia huyo aliyekuwa na bunduki, polisi alimuamrisha kuweka chini chini siraha...
3 Reactions
77 Replies
9K Views
Rais wa Marekani Bwana Donald Trump leo ametangaza nchi yake kujitoa rasmi shirika la afya Duniani. Marekani huchangia 15% ya bajeti ya WHO na ndie mchangiaji mkubwa anayetegemewa. Je, WHO...
5 Reactions
168 Replies
18K Views
Mwakilishi wa Shirika la Afya (WHO) nchini humo, Triphonie Nkurunziza anatuhumiwa kwa kudanganya idadi ya visa vya CoronaVirus na kutakiwa kuondoka Waziri Mkuu Pascual Obama Asue amesema hawana...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wengi walikuwa na malengo yao makubwa, nchi ziliweka mipango kazi, dunia iliweka mikakati, lakini mara ghafla akaingia mdudu corona akasitisha baadhi na kutishia kuvuruga kila kitu Tarehe 28 June...
1 Reactions
4 Replies
977 Views
Hii ndiyo USA. Polisi kwa kutokuwa makini na kwa kukanyaga sheria zinazowaongoza kufanya kazi zao wakaua RAIA MMOJA TU asiye na hatia na asiye silaha kabisa huku wakiwa wameshamkata. Hali iko...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
Atlantic Records iliyoko nchini Marekani imeonyesha sapot kwa kuanzisha kitu walichokiita Blackout Tuesday Mkurugenzi mkuu, Jamila Thomas na aliyekuwa kurugenzi wa masoko Brianna Agyemang wameipa...
1 Reactions
4 Replies
824 Views
MWANAMUME kutoka Ukraine alimbaka mamake mzazi, kusherehekea baada ya kuachiliwa kutoka jela, alikokuwa amefungwa kwa makosa ya mauaji. Vitaliy, 42, alimvamia mamake alipokuwa amelala na...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wadau wa mitandao mnafahamu mfumo huu ambao kuna watu wasiojulikana a.k.a (Anonymous) na wanaingia kwenye mtandao kwa kujificha ili kutimiza lengo husika kwa makusudi yao. Toka mwaka 2017...
9 Reactions
39 Replies
4K Views
Mamlaka zimethibitisha kifo cha John Luk Jok (68) aliyekuwa Waziri wa Uhusiano wa Afrika Mashariki nchini Sudan Kusini Makamu wa nne wa Rais, Rebecca Nyandeng De Mabior amesema Waziri Jok...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Well, we know many of you world like to know the most powerful military in Africa right? And if you don’t know some countries are powerful than the others in Africa now you know. Below you will...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
  • Closed
Ubaguzi unaendelea pamoja na maandamano kuendelea kurindima pande tofauti tofauti za dunia. Police wa USA wamejikuta kwenye sintofaham baada ya kumkamata FBI bila kujua. Tazama video hapa chini...
8 Reactions
50 Replies
6K Views
Fedha ya Kichina ya uhuru, ambayo inaweza kutolewa kwa umma mwaka ujao, inakadiriwa kuchukua nafasi ya pesa za karatasi. Wachambuzi wanasema inaweza kuhama usawa wa ulimwengu wa nguvu za kiuchumi...
5 Reactions
35 Replies
3K Views
UN: Vijiji vinachomwa na watu wanakatwa vichwa na kutekwa nyara kwa halaiki kaskazini mwa Msumbiji Feb 08, 2020 12:57 UTC Umoja wa Mataifa umesema, watu wanayakimbia makazi yao ili kujinusuru na...
4 Reactions
51 Replies
7K Views
The Southern African countries must come together and help Mozambique fend off an escalating jihadist insurgency in a remote northern region of the country. This is a very huge threat to the...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimeikuta hii video katika pitapita zangu ambapo inadaiwa kuwa ni utekelezaji wa shambulio la kigaidi huko nchini msumbiji ambapo inadaiwa wanamgambo wa Al-shabab wameshambulio maeneo mbalimbali...
6 Reactions
274 Replies
33K Views
Thousands of people in New Zealand marched in solidarity Monday with those in the United States protesting the death in police custody of African American George Floyd. Protesters in Auckland...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Hii ni taarifa nimejaribu kuitafuta lakini sijafanikiwa kuiona. Nilichofanikiwa kuona ni kwamba, hawa wawili yaani marehemu George na Derek waliwahi kufanya kazi pamoja club moja ya usiku. Kwa...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
George Floyd, raia mweusi wa Marekani ambaye kifo chake kimesababisha maandamano makubwa Marekani, alikufa kutokana na ukosefu wa hewa safi ya (oksijeni), kwa mujibu wa uchunguzi binafsi wa maiti...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wizara ya Elimu nchini Senegal imesema shule zitaendelea kufungwa mpaka pale taarifa zaidi zitakapotolewa kufuatia baadhi ya walimu kupata maambukizi ya COVID-19 Taarifa iliyotolewa na Wizara...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom