International Forum

News and Stories from rest of the World
Utafiti ulioongozwa Chuo Kikuu cha Oxford umebaini dawa ya Malaria ya ‘Hydroxychloroquine’ haifanyi kazi dhidi ya Virusi vya Corona Profesa wa Madawa, Martin Landray amesema utafiti huo...
0 Reactions
2 Replies
788 Views
Leo (Juni 7, 2020) asubuhi, ofisi ya habari ya baraza la mawaziri la China imetoa waraka kuhusu mapambano dhidi ya virusi vya Corona wenye jina “Mapambano dhidi ya COVID-19: Juhudi za China”...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Waziri wa elimu nchini Madagascar amefukuzwa kazi kwa sababu ya mipango yake ya kuagiza peremende au pipi zenye thamani ya zaidi ya dola milioni 2 sawa na (£1.6m) kwa watoto wa shule. Rijasoa...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
China imetoa wito kwa raia wake kutosafiri nchini kuelekea nchini Australia ikisema kuna ubaguzi na vurugu dhidi ya raia wa Asia Wizara ya Utamaduni na Utalii imesema Australia imekuwa na...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Mwishoni mwa Januari wakati Wachina wanajiandaa na siku kuu ya mwaka mpya wa jadi wa China, wengi wao walitarajia kuwa watasherehekea mwaka mpya kwa furaha nashamrashamra zote. Lakini kile ambacho...
2 Reactions
2 Replies
725 Views
Mark Zuckerberg says Facebook will review its policies concerning the state use of force, voter suppression and content moderation, as the company faces a backlash from many of its own workers...
0 Reactions
6 Replies
832 Views
Swali, hivi waarab, wahindi, wachina, nk wanaweza kufanya haya kwa mtu mweusi?
5 Reactions
48 Replies
4K Views
The 44th President of the United States had been backlashed after he claimed invading Libya and killing Gadafi who was the president of Libya was the right thing to do during his tenure as...
0 Reactions
2 Replies
886 Views
Rais Jair Bolsonaro ametishia kuitoa nchi hiyo kwenye uanachama wa Shirika la Afya (WHO) baada ya Shirika hilo kuionya kuhusu kulegeza masharti kabla ya kudhibiti maambukizi ya #CoronaVirus Kauli...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
📷: Demonstrators protest Saturday, June 6, near the White House in Washington, over the death of George Floyd, a black man who died in police custody in Minneapolis after being restrained by...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
If you look at the killing process of George Floyd in America you shall see that the policeman who knelt on the neck on the victim knew what he was doing. Anatomically they are big vessels from...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Shirika la Reporters Without Borders (RSF) limesema Samuel Wazizi ambaye alikamatwa Agosti 02,2020 kwa madai ya kukosoa Mamlaka za Serikali amefariki dunia Taarifa ya RSF imesema siku tano baada...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mmiliki wa shirika la ndege la Uingereza la British Airways anatafakari kuifungulia mashtaka serikali ya Uingereza kuhusiana na mpango wake wa karantini. Afisa mkuu mtendaji wa shirika hilo...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwaka 2011 NASA,shirika la anga la anga la marekani lilisitisha matumizi ya roketi zake baada ya kukabiliwa na accidents kadhaa na masuala ya gharama kubwa za uendeshaji wa program zake za space...
16 Reactions
161 Replies
13K Views
Haya maandamano hayana tena nia ya kutafuta haki, bali kutunisha mifuko ya majangiri, kinachoendelea huko kwa sasa hakihusiani na marehemu na kimegeuza protests kuwa riots. Vifo vya wamarekani...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Mkutano wa tatu wa Bunge la 13 la Umma la China hivi karibuni umepitisha Muswada wa Kujenga na Kukamilisha Mfumo wa Sheria wa Kulinda Usalama wa Taifa Katika Mkoa wenye Utawala Maalumu wa Hong...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Hapa naona dereva mweusi na askari polisi weusi wanaonyeshana kazi
0 Reactions
12 Replies
2K Views
George Floyd, ambaye kifo chake huko Minneapolis wiki iliyopita kilisababisha maandamano makubwa juu ya udhalilishwaji wa watu weusi unaofanywa na polisi, alipatikana na virusi vya Corona wiki...
-1 Reactions
65 Replies
6K Views
MAANDAMANO HAYA YANAWEZA KUCHANGE DIRECTION NA KUWA SABABU YA KUMTOA TRUMP MADARAKANI Maelfu ya watu wamejitokeza kote New York kwa maandamano yaliyoendelea usiku kucha juu ya kifo cha George...
3 Reactions
58 Replies
41K Views
Back
Top Bottom