International Forum

News and Stories from rest of the World
Justice will be served
5 Reactions
134 Replies
11K Views
Wanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja nchini Costa Rica wamekuwa wakipigani sheria ya kutambulikwa kwa ndoa za jinsia moja kisheria na kufanya kuwa mdahalo mkubwa kipindi cha uchaguzi wa mwaka...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mara baada ya utumwa kukoma nchini Marekani, watu weusi kwa kiasi kikubwa waliendelea kukumbana na ubaguzi wa rangi hali iliyowaibua wanaharakati weusi kupinga ubaguzi huo na kutetea haki za watu...
2 Reactions
111 Replies
9K Views
Taifa la Marekani limetoa taarifa ifuatayo, kumbuka kaimu balozi wa Marekani aliitwa Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa kimataifa kuhojiwa, one does not have to be a genius to understand this.
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Rais wa Madagascar Andry Rajoelina amebadilisha msimamo wake kuhusu dawa ya nchi yake anayodai kuwa na uwezo wa kutibu Corona. Mwezi uliopita bwana Rajoelina alizindua rasmi dawa ya mitishamba...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Nesi mmoja raia wa urusi mwenye umri wa miaka 23 amejikuta matatani baada ya kile kilichoonekana kama ukosefu wa maadili kufiatia kuwahudumia wagonjwa wa Corona huku akiwa amevalia vazi...
11 Reactions
61 Replies
9K Views
Idara ya Haki ya Marekani imesema imeupa kipaumbele cha kwanza uchunguzi wa Polisi kuhusika na kifo cha George Floyd huku maandamano ya vurugu yakiingia siku ya 2 Idara hiyo imesema Waendesha...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Kanisa Katoliki nchini Burundi limesema hitilafu kadhaa wakati wa uchaguzi wa rais uliofanyika wiki iliyopita nchini humo zinasababisha mashaka juu ya matokeo yaliyokipa ushindi chama tawala...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hawa Iran washenzi sana aisee! Waliwekewa vikwazo na Marekani ktk uuzaji wa mafuta, na wametakiwa wasimuuzie mafuta Venezuela. Haitoshi wakapigwa mkwara na Trump, lakini kwa kuwa walishamjulia...
13 Reactions
221 Replies
53K Views
It is no doubt Tanzania is strongly coming up as a real competitor and perhaps an emerging producer of the East African community. It is also true that the ease and cost of doing business in...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
The kind of things happening around the world is one that tends to keep you wondering over and over again given the way humans are acting nowadays. A Colombian transgender model, Danna Sultana...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Watu 102,093 wameripotiwa kufariki kutokana na homa kali ya mapafu inayosababishwa na #COVID19. #Marekani ni nchi inayoongoza kwa maambukizi Jumla ya watu 1,939,077 wameripotiwa kuwa na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Shirika la ndege la viwango nafuu, London nchini Uingereza imepanga kupunguza wafanyakazi 4,500 na kupunguza huduma zake ili kufiti kwenye soko dogo lililopo kutokana na CoronaVirus. Kampuni hiyo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mahakama kuu ya Switzerland imewataka waajiri kuwachangia kodi ya pango waaajiriwa wanaofanya kazi kutoka nyumbani Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya muajiriwa mmoja wa kampuni moja ya uhasibu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mmiliki wa Facebook (Instagram, WhatsApp na Facebook yenyewe) bwana Mark Zuckerberg amepingana na Twitter kuhariri tweets za watu na kusema wao hawahariri tweets za wanasiasa. Mark amesema...
5 Reactions
26 Replies
4K Views
Mwaka 2018 Marekani kwa kushirikiana na Canada walimkamata mkurugenzi wa fedha wa Huawei alipokua anabadilisha ndege kwenda nchi moja wapo ya Marekani ya kusini. Tokea kipindi hicho mkurugenzi...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Hussein Albelbagi, makamu wa tano wa Rais wa Sudan Kusini amekutwa na #CoronaVirus. Pia ni kiongozi wa tano kutangaza kuwa ana #COVIDI19 Sudan Kusini ilipata maambukizi ya kwanza ya #CoronaVirus...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Marekani imesema Urusi imepeleka ndege za kivita Libya kuwasaidia mamluki wake wanaopigana upande wa kamanda Khalifa Haftar mashariki mwa Libya. Wakati huo huo, Urusi imesema inaunga mkono...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Waziri wa Afya Zambia Chitalu Chilufya amebainika kuwa na #CoronaVirus, na amejitenga ili kuzuia maambukizi zaidi Msemaji wa wizara amesema mawaziri wote waliochangamana na Waziri wa Afya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
GENEVA (AP) — An auction house in Switzerland is set to sell 25 luxury cars including Ferraris, Rolls-Royces and Lamborghinis that Geneva authorities seized from the son of Equatorial Guinea's...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom