Maelfu ya watu nchini Uhispania leo hii wameruhusiwa kurejea kazini, ikiwa ni mara ya kwanza tangu kuibuka kwa mripuko wa virusi vya corona, ambapo serikali iliweka marifu ya kufanyika shughuli za...
Habari zilizofika hivi punde ni kwamba, shambulio la anga lililolenga wanamgambo wa Taliban laua raia wasio na hatia zaidi ya 60.
=====
US strike targeting Taliban commander causes civilian...
Hatukosei tunaosema hii Corona bado imetuweka kwapani Waafrika, kwa sasa haina haja na sisi, , maana ingekua inatuhitaji kama inavyofanya kule Ulaya, tungekua tunadondoka milioni moja kwa siku...
In the midst of rising Coronavirus cases in US, President Donald Trump in his press address hits out at a correspondent when approached about ramifications for China
Donald Trump
In the midst of...
Wanajamvi poleni na mapambano dhidi ya corona.
Nakwenda kwenye mada fupi ambayo naileta kama swali tujadili, hivi nchi ya Burundi inajiamini nini kutochukua tahadhari au kama kudharau gonjwa hili...
Corona: 2,000 wamekufa ndani ya masaa 24 Marekani
Marekani imekuwa taifa la kwanza kurekodi vifo vya watu 2,000 katika kipindi cha masaa 24 vilivyotokana na ugonjwa wa COVID-19.
Hakuna taifa...
Polisi Wakusanya Mitaani Maiti 800 za Waliofariki Kwa Corona na Kutelekezwa
Ecuador imesema polisi wameondoa karibu miili 800 katika wiki za karibuni kutoka katika makazi mjini Guayaquil...
Urusi pamoja na mataifa yanayozalisha mafuta kwa wingi duniani (OPEC) yamekubaliana kupunguza kiwango cha uzalishaji mafuta kwa takribani mapipa milioni 10 kwa siku ili kuidhibiti bei iliyoporomka...
Kuda dekii!
Mtemi Kim Jong-Un leo Jumanne karusha mfululizo wa makombora tokea pwani yake ya mashariki katika kile jumuiya za kimataifa zasema ni salamu za kuonesha nguvu na uwezo wake mkubwa wa...
In what looks like a coordinated acts of racism and discrimnation against black people in China perpetrated with the blessings of China government, Africa diplomats in beijing have raised their...
Bunge la nchi hiyo limepitisha sheria inayotoa kibali cha kuwaachia Wafungwa 100,000 kama mojawapo wa njia za kupambana na maambukizi ya CoronaVirus
Hata hivyo, Mashirika ya Haki za Binadamu ya...
Vifo kutokana na maambukizi ya Virusi vya Corona nchini Hispania vimefikia 3,434 baada ya vifo vipya 738 kuripotiwa ndani ya masaa 24 yaliyopita.
Nchi hiyo inakuwa na vifo vingi zaidi kuliko...
Kwa mujibu wa Wanasayansi, nzige waliovamia Afrika Mashariki hapo awali hawakuondoka na inakadiriwa kuwa wamezaliana na sasa ukubwa wa idadi yao ni zaidi ya mara 400.
======
The locust WhatsApp...
Passengers keep social distance as they ride the metro
Some non-essential workers in Spain are returning to their jobs as lockdown restrictions are beginning to relax.
However...
Hatimaye Mji wa Wuhan ambapo mlipuko wa Virusi ya Corona ulianzia umeanza kuruhusu watu kuondoka. Mji huo ulifungwa na kuzuia watu kuingia na kutoka kwa siku 76 ili kudhibiti maambukizi ya Corona...
Sheria mpya ya zuio ya Ghana imezuia mikusanyiko kwenye fukwe, kukusanyika kwenye fukwe ni kosa kisheria kwa sheria ya zuio ya mwaka 2020. Sheria hiyo imekuja ili kuzuia mikusanyiko katika sehemu...
Kama ulidhani ujio wa hili Janga Kubwa na baya Ulimwenguni la CORONA halina Faida kwa upande mwingine utakuwa umekosea sana na unajidanganya mno. Katika hali isiyokuwa ya Kawaida Serikali ya...
Mataifa yanayofahamika kama superpowers yanazidi kuteseka kwa hiki kitu kupita maelezo....
Inashangaza sana kuona Afrika tunapona ukizingatia baadhi yetu hata maji ya kunywa ni shida sembuse ya...
Turkish President Recep Tayyip Erdogan has rejected resignation of his interior minister after the latter took responsibility for mass panic that saw thousands swarming shops across Turkey ahead...
Rais Donald Trump ametangaza hali ya dharura kutokana na kuenea kwa virusi vya corona, pamoja na upatikanaji wa karibu dola bilioni 50 kama msaada zaidi wa serikali ya shirikisho kupambana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.