Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

  • Sticky
Hellow wapendwa, Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula...
53 Reactions
2K Replies
427K Views
  • Sticky
Wajameni tunaulizia kwa wataalamu wa JF dawa gani za kuongeza mbegu za kiume yaani idadi zake na kuongeza nguvu za kiume ukiacha viagra. Tuwe serious kutoa msaada. Ufafanuzi wa jumla wa tatizo...
4 Reactions
2K Replies
657K Views
  • Sticky
Mada hili inahusu matatizo ya Miguu kuwaka moto na namna ya kukabiliana nayo. Maswali... Nimekuwa na tatizo la miguu yote miwili kuwaka moto sana, hata kutembea nashindwa kukanyaga...
9 Reactions
837 Replies
459K Views
  • Sticky
Salaam Wakuu, Natumai nyote mpo salama. Nimeleta uzi huu kama sehemu ya kujihamasisha mimi na kuwahamasisha wengine kufanya mazoezi Soma: Umuhimu wa kufanya mazoezi Natambau wengi wetu...
9 Reactions
47 Replies
8K Views
  • Sticky
MASWALI YALIYOULIZWA NA BAADHI YA WADAU KUHUSU TATIZO HILI Mambo vipi? Nina Tatizo la Kutoa shahawa mapema Sana ndani ya dakika 1 tuu then bao la pili napiga dakika 10 -- 15. Nimejaribu kutumia...
10 Reactions
272 Replies
242K Views
  • Sticky
Wakuu nimekutana na makala hii nikaona nianzishe mada hapa ili tuweze kujadiliana na wataalam wetu na watufahamishe ukweli wake na uwongo wake au kutupa ushauri zaidi ya huu niuonao katika mada...
43 Reactions
192 Replies
203K Views
  • Sticky
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU Naomba kujua mtoto mchanga inabidi aanze kuongea akiwa na umri gani,kwa kuzingia wale wanaowahji na wanaochelewa.Na je kuna namna unavyoweza kutambua...
2 Reactions
427 Replies
157K Views
  • Sticky
Wakuu, Tunaomba ushauri wenu, kwa wale ambao specialists wa magonjwa haya ya ngozi. Tunauliza hivi kwa niaba ya watu wengi ambao wamekuwa wanahangaika kupata suluhu ya matatizo haya ya Mba...
16 Reactions
2K Replies
1M Views
  • Sticky
Kufanya mapenzi wakati wa hedhi ni kitendo cha kujiusisha na mapenzi na msichana au mwanamke aliye katika siku zake za kisichana..Kuna madhara mengi yanaweza yakatokea na kwa kawaida si madhuri...
5 Reactions
569 Replies
496K Views
  • Sticky
Habari wana JF, Hii thread imekusanya topic zote zilizokuwa sticky's zikiwa awali zimewekwa kwa urahisi wa kuwafikia/kuipata watumiaji mbali mbali ambao wanahitaji kuelewa baadhi ya mambo katika...
26 Reactions
63 Replies
83K Views
Nina miaka 38...Niko single(nimeachana na mke wangu)....sivuti sigara na wala sinywi pombe...sijaajiliwa nimejiajili kwhy hela ya kula vizuri na matumizi madogo mdogo hainipigi chenga kwa kifupi...
12 Reactions
65 Replies
1K Views
Habarini za mchana, Wakuu mimi huwa situmii pombe, ni juice na soda tu na soda yangu pendwa ni Pepsi. Kila siku huwa nakunywa Pepsi tena napenda ikiwa baridi sana. Nilianza kunywa moja kwa siku...
19 Reactions
156 Replies
3K Views
Habari Wana JF, Naomba msaada Mwanangu anatokwa na vipele vingi sana na vinazidi kuenea mwili mzima (vidogo vidogo) mpaka anakuwa mwekundu kwa kujikuna mara kwa mara. Nilienda pharmacy walinipa...
2 Reactions
78 Replies
4K Views
Habarini ndugu zangu naombeni msaada kwa tatizo langu la kuchelewa kufika kileleni. Huwa nachelewa sana nikianza kufanya mapenzi na mwanamke hali inayonipelekea wanawake kunikimbia naombeni...
1 Reactions
34 Replies
518 Views
Allergy Unakula nyama unapata vipele unakunywa juice flani unaamka namikwaruzo unavuta sigara unapata rashes, n.k.
2 Reactions
9 Replies
146 Views
Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Magembe amesema watu 281 wakiwemo watumishi wa afya 64 waliokuwa wametangamana na wagonjwa wa Marburg mkoani Kagera, wametoka karantini wakiwa salama. Amesema...
0 Reactions
0 Replies
55 Views
Habar wakuu nauliza ni vipimo vipi vyakupima ili kuthibitisha kuwa Figo zimefi
1 Reactions
23 Replies
812 Views
Wakuu, Kuna madhara yoyote ya kiafya mtu anaweza kupata anapotumia hii Microwave ya kupashia chakula na Mambo mengine, naomba kujuzwa hili. Natanguliza shukrani🙏
2 Reactions
13 Replies
256 Views
Eti Dawa ya UTI unauwita ni ugonjwa katika karne kama hii ukiwa kwenye bara la watu weusi hususani Tanzania, wapo watu wanavituko kwelikweli wanakwambia wanaumwa UTI kila mara, UTI sio ugonjwa...
14 Reactions
17 Replies
25K Views
Bawasiri ni ugonjwa unaotokea pale ambapo mishipa ya damu kwenye eneo la haja kubwa huvimba na kusababisha maumivu, muwasho, au kutokwa na damu hasa wakati wa kujisaidia haja kubwa. Bawasiri...
0 Reactions
0 Replies
67 Views
Mwezi January hedhi ilikua tarehe 10 mwezi February breed ilikua tarehe 11 lakini February nilikutana kimwili na mwezangu tarehe 22/2/2025 jana sijaona hedhi Wala juzi nimepima jana mstari ni...
9 Reactions
86 Replies
1K Views
Wakuu habari moja kwa moja kwenye mada. Nasumbuliwa sana anaphylaxis shock nkiumwa na wadudu kama nyuki na majigu na shughuli zangu mara nyingi nazifanya maporini kukutana na wadudu tajwa ni pie...
2 Reactions
4 Replies
140 Views
Habari wakuu. Nilikuwa na shida ya UTI kwa muda ilinisumbua nikaja nikatumia dawa hasa za mitishamba ikaisha maana za dukani zilidunda zote. Shida ni kwamba bado mkojo unakuwa unachoma ila...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Wadau wengi wamekuwa wakiumizwa na maradhi haya; hebu tuyaangalie kwa mapana yake: Asilimia kubwa ya Watanzania hawaujui vizuri ugonjwa wa UTI. Kumekwepo na maelezo kutoka kwa watu mbali mbali...
4 Reactions
1K Replies
614K Views
Uti wamgongo unatokana na namna ya kubeba vitu...au kazi unazo fanya...kitanda unacho lalia na mambo mengi tu. Sidhani kama sex inahusika na uti wa mgongo...kukujibu swali lako, yeap unaweza...
0 Reactions
53 Replies
191K Views
Habari zenu wakuuu hope mko poa sana. Leo nimeamua kuja na mda tajwa hapo juu naandika ukweli wa asilimia mia moja kuhusu hawa dada zenu na ugonjwa wao wa UTI unavyo tutesa. Nianze moja kwa moja...
11 Reactions
111 Replies
15K Views
wiki ilopita niliumwa U.T.I, Nikandikiwa dawa inaitwa AZUMA nimemaliza dozi juzi lakin bado sijapona,dhakari bado inauma wakat wa kujojoa,afu kinachonikera zaidi kuna vimaji maji vyuepe vinatoka...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Diclofenac is a nonsteroidal anti-inflammatory drug (NSAID) used to relieve pain and inflammation. While effective, it comes with potential risks, especially with long-term or high-dose use. Some...
2 Reactions
6 Replies
136 Views
Naomba kuuliza:- 1. Hivi mwanamke akifanya sex na mwanaume 1 leo na akameza p2 then kesho kutwa ake akafanya tena sex na mwanaume wa 2 Ikatokea akawa na mimba je iyo mimba inakuwa ya mara ya 1...
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari wakuu wa afya, Nimezunguka kwenye hizi General hospital kubwa kubwa ila baada ya miezi 3-6 naenda tena kuziba jino kwenye fizi. je ni Hospital gani Dental clinic kwa ajili ya Meno tuu hapa...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom