Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wakuu nauliza kwenu tena hivi Temeke hospital kuna kipimo cha MRI? NIna mgonjwa wangu anaumwa kichwa sanaa hawezi kuongea Wala kutembea vizurI. Alianza kuumwa kifua anakohoa sana mpaka damu...
1 Reactions
6 Replies
419 Views
Leo hii ukienda hospitali za seriakali afu ndo ujauzito wa kwanza ukitoka upasuaji haujakuhusu basi mshukulu Mungu. Enyi watu wa afya wahurumieni akina mama upasuaji usio wa lazima ni faida kwenu...
18 Reactions
98 Replies
4K Views
Shalom wakuu… Unatumia mswaki brand gani nzuri? Maana miswaki yetu hii ya whitedent ya jero jero ukiswakia mara chache tayari haifai. Brand ipi nzuri wakuu?
2 Reactions
4 Replies
158 Views
Jamani naumwa asidi tumboni nimebadilisha mfumo mzima wa maisha dawa nimetumia lakini wapi Naumwa kifua, mabega maumivu yanasambaa mpaka kwenye maziwa yaani sina raha, ninapata stress hamu ya...
4 Reactions
28 Replies
689 Views
Habari wana jamvi leo nataka munisaidie kitu mwenzenu huwa najiskia vibaya sana baadhi ya muda na ninapokuwa najiskia hivyo sehemu ya kichwa ndio inahusikia asilimia 100% kama nahisi kichwan kuna...
4 Reactions
13 Replies
259 Views
Ningependa kufahamu madhara ya soda kwenye mwili wa Binadamu. =========== Afya za mamilioni ya Watanzania wanaotumia vinywaji vya aina ya soda ipo hatarini, baada ya kugunduliwa uwepo wa...
2 Reactions
812 Replies
272K Views
Natumain ni wazima wa afya kwa mtu yeyote anaweza nisaidia jina la dawa na sehemu ya kuipata kuondoa michubuko sehemu ya haja kubwa pembeni ule utandu utandu wote uondoke
7 Reactions
75 Replies
3K Views
Hivi, Kazi ya chupi ni nini? Ukivaa haijulikani, usipovaa haijulikani. Ikionekana unaambiwa umekaa uchi, ukiwa uchi utasikia hajavaa chupi. Sasa Chupi ni ya nini?
3 Reactions
75 Replies
31K Views
Habarini wanajukwaa! Rejea kichwa cha habari hapo juu mm nikijana mpambanaji lakini hilisuala la matatizo ya tumbo linaninyima raha sana, nirudi kwenye maada mimi ninashida ya hao h pylori...
1 Reactions
7 Replies
181 Views
Tendo La Ndoa: Tendo la ndoa ni sehemu muhimu ya maisha ya mwanamke, siyo tu kwa ajili ya mahusiano, bali pia kwa afya ya mwili, hisia, na akili. Mwanamke anaweza kufurahia tendo la ndoa ikiwa...
0 Reactions
3 Replies
238 Views
1. Stay Hydrated • Drink 2-3 liters of water daily to flush out toxins and prevent kidney stones. • Avoid excessive caffeine, alcohol, and sugary drinks. 2. Eat a Kidney-Friendly Diet • Reduce...
0 Reactions
0 Replies
58 Views
Bado naendelea na usafi wa nyumbani kwangu kama kawaida,muda huu ndio nimemaliza kusafisha bathroom yangu na sasa natumia astra badala ya dettol.Leo naongelea dawa ya meno,je wewe mwenzangu...
0 Reactions
0 Replies
74 Views
Habari zenu, Natafuta tiba ya ugonjwa wa oral thrush (ramani kwenye ulimi) ambao umekaa muda mrefu bila tiba. Ugonjwa huu ni kama kwenye picha hii niliyoambatanisha:
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau, ninaomba usaidizi kuhusu mchanganyiko wa dawa za Kuotesha Nywele kwenye upara chipukizi mbali na zile zinazouzwa mitandaoni.
2 Reactions
4 Replies
132 Views
Ni neema kwa Tanzania: kile kikombe cha Babu kutoka Loliondo kimethibitishwa na Taasisi ya tiba Asili-Muhimbili kuwa kinatibu magonjwa yote yaliyosemwa na Babu wa Loliondo ikiwa ni pamoja na...
3 Reactions
53 Replies
16K Views
Habari zenu jamani naulizia hospitali gani nzuri ya serikali kwa Dar es Salaam ambayo inatoa huduma ya kutahiri watoto wa kiume. Nipo na watoto wawili mmoja miaka 9 mwingine miaka 7 nataka...
10 Reactions
73 Replies
3K Views
wakuu, Mimi nimeugua kuanzia 2021 hadi leo miaka minne. Nipo nahangaika. Naumwa ugonjwa wenye tiba lakini wenye usugu wa dawa. Yaani kwa kifupi ni sikio la kufa. Nadhan wapo wengine ambao...
14 Reactions
64 Replies
2K Views
Nilipokuwa mdogo nilikuwa mtundu, hivyo ikasababisha vidonda haswa miguuni vilivyopona vikaacha alama za makovu. Lakini, pia niliwahi kuumwa tetekuwanga nilivyopona zikaacha alama mwili mzima...
0 Reactions
4 Replies
140 Views
📌 Kukosa Ute Katika Kizazi cha Mwanamke Kukosa ute wa kutosha kwenye kizazi kunaweza kuathiri afya ya uzazi na maisha ya ndoa. Hii inaweza kuwa ishara ya mabadiliko ya homoni au matatizo ya...
1 Reactions
2 Replies
113 Views
  • Redirect
Najua watu wote tunatumia dawa ya meno kila siku wakati tunapiga mswaki sio ? Lakini umeshawahi kuchunguza rangi zilizopo kwenye dawa ya meno zina maana gani ?. Wengi wetu hatujui zina maana gani...
1 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom