Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kichwa kimejitosheleza. Na je hiyo ni "unconscious"/involuntary au ipo more psychological?
4 Reactions
9 Replies
157 Views
JamiiForums doctors mkuje mtujuze hii changamoto mbona UTI imepamba moto kwa miaka ya hivi karibuni na kibaya zaidi inazidi kuwa na nguvu zaidi ni kama bacteria wafenyafanya kuji-update tofauti na...
0 Reactions
1 Replies
94 Views
Wakuu habari za asubuhi. Nina sumbuliwa na tatizo kwenye mguu lilianza baada ya kuanza mazoezi ya kukimbia mwanzo nilianza vizur baada ya kumaliza wiki kadhaa ndio mguu wa kushoto kwenye goti...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Habari, Fahamu nguvu iliyopo juu ya maji ya chemichemi yakunufaishe. https://youtu.be/O4fUTm3_7NQ?si=HWHHkFS5RoWGowEo
0 Reactions
0 Replies
77 Views
Humu jukwaani Kuna madaktari,manesi,wakunga, wataalamu wa tiba mbadala,na wabobezi wa masuala ya afya,hivyo Uzi huu ni maalumu kwa wale wote wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali Una ndugu yako...
2 Reactions
8 Replies
267 Views
Wapendwa Wana JF, Habari za Leo, Naomba msaada kutoka kwa wale wataalamu wa kutibu ugonjwa wa magoti. Nina tatizo hili, na hata kuchuchuma nahisi maumivu makali. Je, ni dawa gani ningeweza...
1 Reactions
36 Replies
1K Views
Hello Wana JF, great thinker. Ndugu zanguni naomba tu serikali ya Namhuri ya Muungano wa Tanzania wautambue huu ugonjwa wa Acid reflux kama janga la kitaifa kwani huu ugonjwa ukikushika huwezi...
9 Reactions
28 Replies
5K Views
Wadau na wataalamu, naombeni msaada nimeenda hospitali kupima seminal analysis nikaambiwa sperm count =0 wakanipa dawa za kutumia kwa mwezi then nikapime tena. Je naweza pona, nisaidieni please...
1 Reactions
72 Replies
18K Views
Habari Wakuu Ninaomba msaada wa kupata daktari wa Jadi ambaye anaweza kumsaidia ndg yangu ambaye kwasasa ni kama amekata tamaa kabisa kutokana na kuhangaika pasina kufanikiwa. Historia yake fupi...
3 Reactions
29 Replies
609 Views
Habari zenu ndugu zangu naomba kwa anayejua anisaidie. Mwezi uliopita nilipata ajali na kwa bahati mbaya nilivunjika mvupa wa mkono karibu na viungio katika bega sasa nina mwezi bado mfupa...
1 Reactions
7 Replies
190 Views
Wakuu habari za wakati huu Nina changamoto moja ya kiafya
0 Reactions
4 Replies
155 Views
Nauliza kwamba h. pylori inampataje mtu ambaye anajilinda sana kwenye chakula n.k.? Mtu anayekula kwa wakati kwa mfano usiku anakula kabla ya saa mbili, hatumii sukari (anatumia sukari mbadala...
1 Reactions
9 Replies
294 Views
Ndugu wapendwa habari za jioni hiii, nimekuja kwenu kutafuta kujuzwa kuhusu utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume (viagra). Jana nilipatwa na mshituko kwani nilikwenda kwenye mambos na...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Mtu ambae anajua dawa ya kumaliza tatizo la kunuka mdomo nisaidieni! Napiga mswaki mara tatu kwa siku, nimetumia mouth wash mpaka nimechoka, nimetolewa tonsils lakini wapi!😔😔 Nisaidie jamani...
6 Reactions
42 Replies
7K Views
Unapaswa kujua kwamba Viagra haiongezei libido au kushughulikia sababu za kisaikolojia zinazokusababishia uwezo mdogo wa kudinda. Viagra (sildenafil) haikufanyi "udumu zaidi" moja kwa moja kwa...
6 Reactions
23 Replies
437 Views
Habari za humu ndugu zangu. Poleni kwa majukumu. Changamoto inayonirudisha nyuma sana: Ninachangamoto ya usikivu mdogo(Hard hearing, Hearing loss), kushindwa kuelewa kinachozungumzwa kwa kiasi...
7 Reactions
90 Replies
7K Views
Habarini wapendwa, bila kupoteza muda, naomba niende kwenye mada moja kwa moja. Mwaka jana mwezi wa 2, nilienda hospitali ya Regency sababu nilikuwa nina sumbuliwa sana na tumbo. Niliishiwa nguvu...
11 Reactions
89 Replies
7K Views
Habari wadau, Mambo ya kifo wakati mwingine huwa yanafanyika haraka haraka sana hadi huwa najiuliza, ili mtu athibitike kuwa kafariki dunia, ni sehemu gani ya mwili hupimwa? Maana huko mochwari...
5 Reactions
83 Replies
22K Views
Nina Mwezi tangu mwili wangu uanze kuwasha yaani nawashwa mwili mzima hali inayopelekea kujikuna sana aswa kwenye joto ndo miwasho inazidi najikuna Hadi kujichubua ngozi yaani nawashwa balaa na...
6 Reactions
68 Replies
2K Views
Salam ndugu zangu wana jamvi. Naombeni maarifa ya kuepukana na changamoto ya ugonjwa wa ngozi "MELASMA". Nimekuwa mtumiaji kwa zaidi ya miaka mitano (5) wa hii bidhaa ya MAGIC POWDER, ku-shave...
4 Reactions
39 Replies
1K Views
Back
Top Bottom