Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Yapata miaka miwili imepita tangu mke wangu alipogundulika ana saratani ya matiti, tulianza dozi ya CHEMOTHERAPY pale GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL Ifakara, tulipatiwa jumla ya mizunguko 8 ya...
90 Reactions
580 Replies
30K Views
📌 P.I.D: Ugonjwa wa Maambukizi ya Via vya Uzazi kwa Wanawake ⚠️ Je, unajua kuwa PID inaweza kuathiri afya ya uzazi ikiwa haitatibiwa mapema? 🔴 Dalili za PID: 1️⃣ Maumivu makali chini ya tumbo...
0 Reactions
0 Replies
62 Views
Eti wakubwa naombeni mnisaidie. Tangawizi inaweza kutumika kama dawa ya kumkanda mtu ikichanganywa na maji?
0 Reactions
0 Replies
46 Views
Mmea ni majabu ya Mungu kwetu . Mmea hapo kwenye picha : 🥬Kisukuma unaitwa Mjorwambogo. 🥬Kikamba unaitwa Ithaa. 🥬Kikikuyu unaitwa Mwino au mwinu. 🥬Kijaruo unaitwa Ovino au owinu. 🥬Kimeru unaitwa...
23 Reactions
217 Replies
7K Views
Habarini Nina ujauzito nimepima Nikaenda kufanya na ultrasound Sasa ivi napata mwez wa 6 wa ujauzito wangu Nimekuja Leo hospital kupima sound mimba inasoma Ina week 2 Si umwi kokote mwilini...
4 Reactions
24 Replies
551 Views
Hello Doctors na wanajamii forum wote kwa jumla. Nna mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 6 kasoro anasumbuliwa na maumivu ya kitovu kwa muda wa mwaka mmoja sasa! Nimeshakwenda hosp mara kwa mara...
2 Reactions
10 Replies
181 Views
Wakuu mimi ni mmoja wapo wa waathiriwa wa miili ya kurithi na athari zake. Zamani nilikuwa nafanya mazoezi ya kupunguza huku kwa juu na nikafanikiwa sana. Lakini kwa huku chini sijaweza kabisa...
12 Reactions
69 Replies
1K Views
Habari ya asubuhi Kuna uwezekano wa mtu kupata mimba ikiwa alitumia p2 baada ya tendo? Na ikiwa within a week baada ya Kutumia P2 alifanya tena tendo lakini hakuchukua tahadhari yoyote, let's...
7 Reactions
50 Replies
513 Views
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga...
35 Reactions
349 Replies
11K Views
Habari naomba kusaidiwa dawa ya kupona bile acid reflux, nilienda hospital baada ya kuwa nasumbuliwa sana na tumbo kuwaka moto kama naungua tumboni baada ya kipimo cha endoscopy shida ilionekana...
2 Reactions
15 Replies
378 Views
Naombeni msaada wa hospitali nzuri ya kuondoa Bawasiri au Uvimbe huko njia ya haja kubwa. Sipati maumivu yoyote nimeamua tu kukitoa hicho kinyama sikitaki. Naombeni msaada wa hospitali na gharama...
1 Reactions
116 Replies
44K Views
Uji wa lishe ni nini; ni uji unaotengenezwa kwa kutumia nafaka mbali mbali zilizochanganywa na virutubisho vingine mfano protini, mafuta n.k Je, ni sahihi kumpa mtoto; ndio, mtoto kuanzia umri wa...
1 Reactions
1 Replies
709 Views
Habari zenu Ndugu zangu msichanganywe na kichwa cha habari na mkaja kunitusi na kunijibu ovyo,sio kwamba nataka nipate.Bali nataka Wataalam na wajuzi waje watupe elimu itakayotupatia faida mimi...
11 Reactions
115 Replies
11K Views
Wakuu habari zenu. Natafuta eye patch nimpatie kijana alitolewa jicho moja hospital alichomwa bisibisi na vibaka limeondolewa, wapi zinapatikana kirahisi.
0 Reactions
0 Replies
59 Views
Kuna baadhi ya mama huwapaka watoto wao damu inayotoka ukeni punde baada ya kutoka kujifungua. Kwa nilivyosikia hii kitu ipo sana kwenye jamii ya Watutsi. Wanasema punde mama anavyokabidhiwa...
21 Reactions
205 Replies
4K Views
wana jamii ushauri wenu kwa ufupi..... baby mama wangu ameenda hospitali kubwa ya nchi... Kuangalia kwanini hashiki mimba.. Hapo nyuma alikuwa anatumia sindano za uzazi kuepusha kushika mimba...
1 Reactions
6 Replies
160 Views
Punyeto/kujichua ni nini? Kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi. Kwa hivyo katika kupiga punyeto hamna hofu ya kuambukizwa...
2 Reactions
842 Replies
277K Views
  • Redirect
Wakuu, Wote mnanifahamu humu jukwaani siishiwi pilika za mapenzi. Bwana ee,baada ya kufeli kupata mke humu jukwaani,baada ya kugaili kumuoa yule binti aliyekuwa 'anafosi' nimuoe, Nimejikuta...
2 Reactions
Replies
Views
Nina mtoto wa kike ana MWAKA na mwezi 1 alizaliwa akiwa na changamoto ya kulia sana Tulimuona Dr mara kadhaa Dr wengi hawakuona ugonjwa Ila baadae tuligundua ana TB ya mapafu alipata matibabu Ila...
0 Reactions
9 Replies
323 Views
binafsi mazoezi ya kegel husasan ni lile la BRIDGE EXERCISE nimekua nikifanya kila asubuhi nimeona kuna changes kwenye uume yani uume ukisimama unakua mgumu afu unatengeneza kama msitari katikati...
9 Reactions
18 Replies
586 Views
Back
Top Bottom