Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

  • Redirect
Habari wakuu, naomba kufahamu zaidi kuhusu huu ugunjwa wa Hernia. 1. Chanzo chake 2. Dalili 3. AThari zake 4. Matibabu yake
0 Reactions
Replies
Views
Jifunze kuhusu ugonjwa wa ngiri,aina,na matibabu yake. •kuna magonjwa ya hernia ya aina nyingi kama zile ziitwazo kitaalamu inguinal, umbilical, femoral, epigastric, incisional, inguinal hernia na...
0 Reactions
2 Replies
418 Views
Habari, natumaini mkoa poa, kuna yeyeto anaejua tiba ya Genital herpes au aliwai kupata na anakapoma ili aweze nisaidia na mie maana niko navyo sasa ni miaka mwili sijafanikiwa kupona.
6 Reactions
49 Replies
2K Views
Mirija ya uzazi kujaa maji ni hali ambapo mirija ya uzazi hujaa majimaji na kuvimba, jambo ambalo linaweza kuzuia mimba kutungwa na kusababisha ugumba kwa mwanamke. Tatizo la mirija ya uzazi kujaa...
1 Reactions
0 Replies
110 Views
Leo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi...
17 Reactions
157 Replies
2K Views
FAIDA ZA MCHAICHAI (LEMONGRASS) Huu Mmea ni Mmea Mkubwa sana ktk sekta ya Afya. Watu wengi wenye hekima wamelima mashamba makubwa ya mchaichai kwa ajili ya tiba. Huu Mmea kuna Magonjwa...
4 Reactions
9 Replies
612 Views
Huu ni mwaka pili sasa tunahangaika na wife kuongeza mtoto wa tatu na wa mwisho, nimeobserve wife hapati ule ute wa mimba, ana 33 years, na mimi tukipiga show round ya kwanza namwaga sperms nyingi...
7 Reactions
71 Replies
2K Views
Wanajamvi Jana nilileta mada hapa kwamba nasumbuliwa na vidonda vya tumbo mwezi Sasa yapata licha ya kumeza dawa za hospital. Kuna mdau amenishauri kwamba maji ya moto ni dawa ambayo watu wengi...
10 Reactions
116 Replies
5K Views
Fangasi kwenye korodani (scrotal fungal infection) ni maambukizi yanayosababishwa na vimelea vya fangasi, hasa kundi la dermatophytes au candida. Maambukizi haya mara nyingi hujitokeza kwenye...
2 Reactions
1 Replies
322 Views
Leo nimekutana na hii njia ya asili ya uzazi wa mpango ambayo watumiaji wake wakubwa wako nchi zilizoendelea. Njia hii inaitwa Marquette Method kwa sababu ilianzishwa na wataalamu waliopo chuo...
2 Reactions
0 Replies
166 Views
Dkt. Omary Ubuguyu (Mkurugenzi Msaidizi Magonjwa Yasiyoambukiza, Afya ya Akili na Ajali - Wizara ya Afya): Mazoezi husaidia kupunguza Kemikali ambazo zinachoma sehemu za Mwili Mazoezi pia huupa...
1 Reactions
1 Replies
287 Views
Wakuu mambo vipi....Binafsi sio mkufunzi(gym trainer) ila napenda sana mazoezi na ninayajua mazoezi kuliko hata hawa wanaojiita ma-trainer,nimeanza kupenda mzoezi ya gym nikiwa form 3 (2013) so...
21 Reactions
173 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Kukimbia au kutembea ni njia salama na nzuri inayosaidia kuujenga na kuuimarisha moyo uwe na afya nzuri na usio katika hatari ya kushambuliwa na maradhi.Mazoezi au tabia ya kufanya mazoezi inayo...
10 Reactions
20 Replies
38K Views
Habarini Nauliza kama ni kweli kiambata(ingredient) sodium benzoate kilichomo kwenye vipodozi,vyakula na vinywaji hasa soda na energy drinks, kinasababisha saratani ya damu? ===============...
1 Reactions
11 Replies
257 Views
Poleni na majukumu mbalimbali ndugu zangu, Bila kuwapotezea muda,napenda kutoa ushuhuda juu ya umuhimu wa maji ya kunywa kama tiba katika kutibu tatizo la Vidonda vya tumbo na Bawasiri...
10 Reactions
37 Replies
4K Views
Ugonjwa wa Utumbo hasira au "Irritable Bowel Syndrome"(IBS) IBS ni nini? Ugonjwa wa utumbo unaofahamika kitaalamu kama ‘Irritable Bowel Syndrome’ (IBS), ni tatizo la kawaida la mfumo wa...
3 Reactions
6 Replies
373 Views
Aisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni...
17 Reactions
289 Replies
15K Views
Habari wakuu msaada wenu nimepima cholesterol ipo juu kidogo. Nini nifanye kupunguza cholesterol au tiba yake ni nini?
1 Reactions
7 Replies
220 Views
Wakuu naombeni ushauri, ni sahihi kwa mtoto wa kike wa miezi mitatu kua na uzito wa kilo 7? ......
0 Reactions
2 Replies
198 Views
Back
Top Bottom