Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Tatizo la Presha kuwa juu Ugonjwa wa presha kuwa juu ni miongoni mwa magonjwa yanayowakumba watu wengi kwa sasa katika jamii. Kutokuwa na elimu sahihi ya ugonnjwa huu pamoja na kuwa na imani...
10 Reactions
11 Replies
395 Views
Kuna kiungo Cha kupikia ni kama chumvi au ndimu, hiki kiungo ni kemikali hutumika majumbani na kwenye mapishi ya biashara kwenye bar na migahawa. Kinajulikana kwa jina la Ajinamoto, ndugu...
2 Reactions
1 Replies
134 Views
? 1) X-rays hutumia mionzi ya umeme kutoa picha za mifupa na miundo mikavu ndani ya mwili. Kawaida hutumiwa kugundua mavunjo, maambukizo, vimbe, na matatizo mengine. X-rays ni za haraka, bei...
1 Reactions
1 Replies
220 Views
DOKTA: "Kabla ya kukupatia majibu ya vipimo vyako vya VVU, naomba kwanza nikupe ushauri nasaha". MGONJWA (Kimoyo moyo): "Lo! Neema ushaniambukiza ugonjwa wako. Kama sio Neema ni Halima". DOKTA...
1 Reactions
3 Replies
293 Views
Habari zenu wanajamvi, Naomba kueleweshwa kitu, mwanangu ana miezi minne toka kuzaliwa lakini mpaka sasa shingo yake haijakaza je ni kawaida au? Lakini ni mchangamfu sana yuko vizuri ni hilo la...
0 Reactions
29 Replies
42K Views
Habari wakuu, Nilikuwa nauliza Kwa mtu mwenye bawasiri na hataki kufanya oparesheni ya kukata maana nasikia wanafanyaga hivo wengine. Dawa asili au zozote za kumeza au kupaka ili kupona huu...
1 Reactions
45 Replies
9K Views
No wonder this grass went viral all over the social media. With its endless health benefits, it is truly God’s gift to mankind. We can find this weed almost everywhere throughout the Philippines...
78 Reactions
2K Replies
311K Views
Hatua ya kwanza: Miezi mitatu ya kwanza ya ujauzito 1. Panga kuonana na mkunga wako Mara baada ya kujua una ujauzito, mjuliswhe daktari wako ili uweze kupanga kuonana naye. Kwenda na wakati ni...
5 Reactions
34 Replies
14K Views
https://youtu.be/Fh1P-A3RQbg?si=tEi8cxUnz1rTIuQe
0 Reactions
0 Replies
99 Views
Ikiwa umejaaliwa uume mrefu na mnene, Je ni kweli ukikutana na msichana unaweza sogeza kizazi chake na kupelekea kutozaa kabisa? Tafadhali majibu yenu ni muhimu kwa wenye taaluma.
0 Reactions
22 Replies
51K Views
Je kuna mabadiliko yoyote hasi baada ya Trump kutangaza kuondoa pesa ya msaada. Inajulikana madhara ya haraka ni wenzetu wengi kusitishiwa ajira zao. Je kwa upande wa utoaji huduma hali ikoje...
0 Reactions
0 Replies
115 Views
Habari wadau nina tatizo unaenda mwaka sasa linanisumbua huu upande wa kulia kuna mabadaliko yani tatizo huwa linanianza ikifika mida ya jioni naanza kusikia maumivu upande kiuno kukaza mpaka...
0 Reactions
0 Replies
155 Views
Yaani sijajua ni sumu fulani kwenye ile sindani au ni aina yake kutokana na dawa ile au maana ukichomwa ile sindano lazima jeraha litaota usaha kidogo na muwasho alafu baadae linakuwa kovu...
3 Reactions
23 Replies
434 Views
Habari wanaJF, mimi ni kijana niliyekuwa ninajichunga na kuijali sana afya yangu kiasi cha kuwa na mabox ya vipimo vya H.I.V rapid test ghetto, ikiwa kama nimejichanganya basi nawahi dawa za PrEP...
29 Reactions
266 Replies
19K Views
Wakuu naweza pata dawa gani ya kuponyesha mdomo wangu unauma ni kila kitu cha moto ...na ulimi pia unauma upande mmoja wa kulia...kuna mtu kaniambia labda sina vitamins. Ulimi unauma kama umekatwa...
3 Reactions
17 Replies
352 Views
PEP (Post - Exposure Prophylaxis) ni matibabu anayopewa mtu after been exposed to HIV ili kukukinga kuwa HIV positive. Matibabu haya yanatakiwa kutolewa as soon as possible baada ya mtu kuwa...
4 Reactions
577 Replies
112K Views
Chunusi na majipu ni matokeo ya maambukizi ya ndani, usawa wa homoni, au sumu ya ndani, ambayo husababisha kuvimba kwa follicles ya nywele na, kwa acne, tezi za sebaceous. Wanapaswa kutibiwa juu...
2 Reactions
3 Replies
255 Views
Hello!!! Habari za jioni madactari na nurses,mwezi wa kwanza nilipata hedhi yangu tarehe 10(10/1/2025) mwezi wa pili huu nimeanza kupata hedhi yangu jana saa 11 Asubuhi ,je? Nina mzunguko wa siku...
5 Reactions
13 Replies
485 Views
Aseee Kuna hii kitu imetokea kwenye Tupu yangu, inaweza ikawa ni tatizo gani Kumradhi, nimeambatanisha na picha ===== Kuna vitu mtu hatakiwi kuvifanyia masihara wewe nenda hospitali ndiyo...
17 Reactions
339 Replies
7K Views
Back
Top Bottom