Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

𝗨𝗻𝗮𝗷𝘂𝗮 𝗸𝘄𝗮𝗻𝗶𝗻𝗶 𝘂𝘀𝗶𝗽𝗲𝗻𝗱𝗲 𝗸𝘂𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮 𝗔𝗶𝗿𝗽𝗼𝗱𝘀 Matumizi ya Airpods za wireless na Earphones || headphones za waya nchini Tanzania yamekua makubwa sana kwa watumiaji wengi. ukiwa unatembea njiani...
0 Reactions
8 Replies
351 Views
Ukiachalia mbali wanawake, tatizo la harufu mbaya sehemu za siri ni changamoto inayowasumbua wanaume wengi pia duniani. Harufu mbaya kwenye sehemu za siri kwa mwanaume inaweza kusababishwa na...
1 Reactions
3 Replies
362 Views
Kutoa Harufu Mbaya Ukeni: Uke kutoa harufu mbaya ni tatizo linalowasumbua wanawake wengi duniani, hususani wakati wa tendo la ndoa. Uke kutoa harufu mbaya kwa kiasi kikubwa husababishwa na fangasi...
2 Reactions
12 Replies
723 Views
The #1 Brain Doctor Reveals the Shocking Parenting Mistake Ruining Kids' Brains & How Alcohol Decimates Yours Are your everyday habits shrinking your brain? In 2024, "brain rot" wasn't just...
0 Reactions
2 Replies
213 Views
Fangasi miguuni (nyungunyungu) au athlete's foot kwa jina la kitaalamu, ni tatizo linalowasumbua baadhi ya watu. Watu wenye tatizo hili mara nyingi hujikuta wakitumia tiba mbalimbali za kisasa...
0 Reactions
4 Replies
297 Views
Naomba kuuliza kuusu ubora wa bidhaa za rapid test za kampuni ya KAS iliopo Dar es salaam.
0 Reactions
1 Replies
73 Views
“Wale watu wanaokula mara nyingi, wanaokula mara kwa mara wanakuwa hawana muda wa kuunguza mafuta. Wanaofunga muda mrefu wanakuwa na muda mrefu pia wa kuunguza mafuta ya Mwili. Kuna magonjwa mengi...
8 Reactions
96 Replies
2K Views
“Mara ya mwisho mimi kunywa Juisi au Soda ni Mwaka 2000. Iko hivi, kuna tofauti kubwa ya kula chungwa na kunywa juisi ya Chungwa. Nikinywa Juisi nakunywa Sukari moja kwa moja hata kama haijawekewa...
3 Reactions
8 Replies
337 Views
Maumivu wakati wa tendo la ndoa kwa mwanamke hujulikana kitaalamu kama dyspareunia. Hili ni tatizo linalowakumba wanawake wengi kwa nyakati tofauti. Maumivu haya yanaweza kuwa ya muda mfupi au...
1 Reactions
5 Replies
449 Views
wanawake tunapitia hali ngumu sana hasa inapofika zile siku maalumu. Ni dawa ipi nzuri au kitu gani kinaweza kufanyika kupunguza maumivu?
14 Reactions
210 Replies
3K Views
Msaada kwa mwenye ushuhuda kupona bawasiri kwa upasuaji au dawa za asili
4 Reactions
64 Replies
6K Views
Tendo la kupiga punyeto ni tendo ambalo nimepingwa vikali na jamii na linaonekana kama ukosefu wa maadili katika mwanadamu. Ili kufanya watu waache kufanya tendo hili kuna watu walioleta hoja...
6 Reactions
197 Replies
157K Views
Mwanamke mwenye kundi lolote la damu ambalo ni negative (A-, B-, AB- na O-) akipata ujauzito kutoka kwa mwanamme mwenye kundi la damu ambalo ni positive (A+, B+, AB+ au O+) mwili wake unaweza...
11 Reactions
19 Replies
10K Views
Poleni na majukumu wadau wa afya. Nina changamoto moja ambayo inamsumbua mke wangu kwa kipindi cha miezi mitatu sasa. Ana dalili zote za mimba ambayo haikui na tukipima hospitali vipimo...
1 Reactions
5 Replies
235 Views
Jamani habari za humu ndani, Nina mtu anadate na mdogo wangu, ila tangu walipoanza kudate huyo mwanaume hajawahi kupizi hata siku moja, na mzee anapachimba kwa mda wa lisaa au dakika 55 bad luck...
4 Reactions
84 Replies
12K Views
Mwezi umepita nililala na mwanamke bila Kinga, mpaka leo nikikojoa panauma. Je, inaweza kua UGONJWA gani?
14 Reactions
189 Replies
2K Views
Hizi dawa za mitishamba ni hatari balaa , hazina vipimo zinaua FIGO zetu, kuweni makini sana , Leo ndio Nimetoka hospital baada ya kunywa dawa mitishamba na kuanza kuarisha kwa siku 1 ,kama sio...
11 Reactions
51 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Kwa yeyote mwenye mgonjwa au yeye anahitaji figo kwa ajili ya matibabu kuna jamaa yangu yupo tayari kujitolea yeye ni blood group O. Njoo pm
7 Reactions
29 Replies
459 Views
Wakuu habarini za weekend nisipteze muda sasa ni wiki ya tatu sasa napata kiungulia kikali, kizungu zungu yaani kuna muda nikisimama kama naona naanguka hivi, lips zinauma mara nyingine...
3 Reactions
24 Replies
436 Views
Kuna kitu nimeki-observe kwa wagonjwa wengi wa kisukari. Wengi wao huishia kukatwa m/miguu na si mikono au kiungo kingine chochote. Je hii inasababishwa na nini?
11 Reactions
111 Replies
15K Views
Back
Top Bottom