Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habarini za wakati huu memberz wenzangu. Nimekuja humu kuomba ushauri/ tiba ya ugonjwa unaonisumbua. Ni takriban mwezi wa 6 huu nagusa mfano wa kipele/kinundu kirefu kinachouma ndani ya uke...
7 Reactions
65 Replies
2K Views
Nianze kama una umri wa chini ya miaka 18 hapa hapakufai hata kama unaijua dawa. Huu msaada utaenda kutibu watu wengi hivyo kama utatoa msaada jua moja kwa moja unaenda kuponya au kuharibu hivyo...
14 Reactions
177 Replies
10K Views
Mtoto anaumwa kama ivyo ni ugonjwa gani na unatika kwa dawa gan?
5 Reactions
40 Replies
1K Views
Usijishughulishe kumtafuta Asiekutafuta Punguza ama acha kabisa kuomba! Kufa Kijerumani. Zungumza kilicho muhimu tu ili kujiepusha na yanaoepukika! Atakethubutu kukuonyesha dharau, confront...
8 Reactions
15 Replies
472 Views
Rosela ni ni maua yanayo julikana kabisa pia huoteshwa au kupandwa mazingira ya kawaida haswa nyumbani, maua haya yanapatikana kirahisi katika nyumba za ndugu, jamaa na marafiki na sehemu...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Napal cactus ni mmea wenye asili ya jangwani hasa unapatikana maeneo ya Afrika, Amerika na Asia. Kutokana faida zake na muingiliano wa watu imefanya kusamba maeneo mbalimbali duniani kote. Nopal...
2 Reactions
13 Replies
395 Views
Mpox ni nini na hueneaje? Aina mpya ya virusi vya mpox inaenea kwa haraka katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, na wataalamu wanasema ni aina hatari zaidi waliyoishuhudia. Mpox, ambayo zamani...
2 Reactions
1 Replies
375 Views
FAIDA ZA MMEA WA MSEGESEGE KUMTIBU MTU ALIYEROGWA UCHAWI USIOTIBIKA KIRAHISI 1. Kama unahitaji kumtibia mtu aliyerogwa uchawi usiotibika kirahisi au amezunguka sana kutafuta matibabu mbalimbali...
0 Reactions
2 Replies
863 Views
Jaman wana forum naomben msaada nina tatizo la kutokwa na uchafu mweupe kwenye uume kwa muda mrefu tatizo hilo huambatana na maumivu makal chin ya kibofu nilienda hospital wakanipima docter...
1 Reactions
16 Replies
14K Views
Habari wakuu . Mimi nimekuwa nikusumbuliwa na matatizo ya kuumwa na kichwa aina ya kipanda uso. Nimetumia Dawa za kutuliza maumivu Kwa muda mrefu Sana , Ila nimekuja kupona Kwa kutumia tiba moja...
21 Reactions
127 Replies
3K Views
Habari Jf doctors, Naomba kujua dawa nzuri ya mafua Kwa mtoto wa mwezi mmoja. Natanguliza shukrani.
2 Reactions
39 Replies
113K Views
Habari zenu wadau! Mungu amenijaalia kupata mtoto wa kike hiv karibu,kwa sasa ana miezi mitatu,imefika wiki sasa tangu aanze kunyonya kidole gumba,yaani amekazana sana hadi kero!! Kuna watoto...
1 Reactions
72 Replies
24K Views
#NGUVUzaKIUME #TUELIMISHANE UNAIFAHAMU MBEGU YA KIUME ILIYO BORA NA YENYE UWEZO WA KUTUNGISHA MIMBA? twende pamoja Kama kila ukifanya tendo la ndoa, mwanamke anatoka shahawa/mbegu dakika...
4 Reactions
6 Replies
84K Views
Habari watanzania wenzangu naombeni njia mbadala za kupona hii changamoto ninayoipitia ya kukosa usingizi
6 Reactions
73 Replies
1K Views
🚨𝗖𝗛𝗔𝗡𝗝𝗢 𝗬𝗔 𝗦𝗔𝗥𝗔𝗧𝗔𝗡𝗜: 𝗨𝗥𝗨𝗦𝗜 𝗜𝗠𝗘𝗧𝗨𝗣𝗜𝗚𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗟𝗔 𝗠𝗔𝗖𝗛𝗢?🤔😳 Na,Fred Ma ✍️ Baruapepe: fredmaofficial@gmail.com Instagram: instagram .com/fredmaofficial Ingawa maendeleo ya chanjo ya saratani ya mRNA...
0 Reactions
2 Replies
128 Views
Habari wandugu? Mimi ni mtanzania. Daktari bingwa, niliyefanya super specialization katika magonjwa ya Moyo. Nimebahatika kusoma na kuishi India. Nitakuwa tayari kumpa mwongozo mtanzania yeyote...
7 Reactions
20 Replies
5K Views
Habari zenu, Kuna siku nilipost humu natoka harufu mbaya hadi mke wangu anasema ya kizee. Baada ya uchunguzi wa kina nimegundua ni sehemu za siri yaani kuanzia kwenye korodani na pembeni yake...
3 Reactions
12 Replies
414 Views
Habar wakuu naombeni msaada wenu nna mtoto wangu wa miez kumi na moja na nusu... Ikifika nyakati za usiku akiwa amelala anakohoa mno Hadi asubuh,anaweza kuwa anasumbuliwa na shida gani
1 Reactions
4 Replies
308 Views
Habari za wakati huu ndugu zangu wana jamii, naomba kuuliza ni nini kitatokea endapo mtu atakunywa maziwa ambayo ndani yake yametiliwa sumu, ukizingatia maziwa huwa tunayatumia kumpa mtu aliye...
1 Reactions
30 Replies
628 Views
Wazee wenzangu na wajukuu zangu salaam. Naomba tujuzane namna sahihi ya kumeza dawa maarufu kama kutwa mara tatu. 1. Je, nigawe masaa 24/3=8 ambapo ninywe dawa kila baada ya masaa nane, yaani...
2 Reactions
9 Replies
312 Views
Back
Top Bottom