Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Naomba kujua dawa gani itamtibu mtoto wangu anatoa ute mweupe puani wenye harufu. Asanteni.
1 Reactions
85 Replies
68K Views
KITUNGUU SAUMU KINA MSAADA UPI KWA WANAUME Mda huu ngoja nikupe mbinu rahisi ya kuvikojo*** vitoto vya 2000 kirahisi kabisaa😅😅😅😅 Kitunguu saumu kina ALLICIN, kiambata kinachosaidia mzunguko...
1 Reactions
0 Replies
340 Views
Antibiotic resistance is here …Millions of people are dying Story by Global Press Journal • 19h • 9 min read For years, Radha Lama bought antibiotics in bulk at a clinic near her home in...
1 Reactions
6 Replies
312 Views
Hello wadau, Currently nimekua nakula sana kitimoto yaani nakula mpaka mara 4 kwa week sometimes rost sometimes kavu. Naomben kujua kama Kuna madhara yoyote kiafya
6 Reactions
89 Replies
1K Views
Picha kwa hisani ya Google. Kupooza uso/mdomo ni hali ya mdomo kusogea pembeni au kwenda upande mmoja (kitaalamu huitwa Facial nerve paralysis/Bell's Palsy) ambayo husababishwa na matatizo ya...
4 Reactions
5 Replies
375 Views
Wakuu nimekuja kwenu kwa mara nyingine tena naombeni msaada wenu.Mwaka 2022 nilileta uzi kuhusu watoto wangu wanaozaliwa na kufa kabla au baada ya kuzaliwa. Sasa mwaka huu tena 2024 nimepoteza...
8 Reactions
141 Replies
4K Views
Habari wadau,nilipost Uzi kuhusu mwanangu wa Miaka 4 ambae nilieleza kuwa haongei,ni kupiga makelele tu,ana sifa zifuatazo. 1. Anasikia ila ukimuita hakuangalii Wala hashituki,lkn ukiweka mziki...
2 Reactions
22 Replies
958 Views
The following are some electro Cell food that support life, none hybrid one supports life. Alkaline Grains Amaranth, Fonio, Kamut, Quinoa, Rye, Spelt, Tef, Wild Rice. Vegetables Amaranth greens...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi.... jaman kuna jambo lisilo la kawaida linanisumbua sana ni kuhusu mwili wangu kutingishika wenyewe na vitu kutembea ndani ya Mishipa na wakati mwili unatingishika huwa...
0 Reactions
57 Replies
41K Views
Hii shida ilianza taratibu mwezi wa 12 mwanzoni ilianzia kwenye ncha za videle vya mkono. Nilijua itapona yenyewe ila sioni dalili. Wiki moja iliyopita naona ni kama inahamia kwenye nyayo na...
7 Reactions
66 Replies
2K Views
Hope mko poa. Miaka ya nyuma Kama 10yrs ago wakati wa utoto, nilipenda sana kucheza Mpira, nilipokuwa nakimbia Sana nilikuwa nasikia Kama Kuna kitu kinabana kwenye moyo afu kinaacha Basi nikawa...
13 Reactions
108 Replies
12K Views
Mimi ni kijana wa kiume nina uvimbe kwenye chuchu moja la upande wa kulia na lnazidi kuvimba tu sasa miaka mitatu tangu lianze kuvimba naombeni ushauri nifanyeje na matibabu nayapataje
1 Reactions
14 Replies
350 Views
Siku za hivi karibuni kumekua na vifo vingi vinavyohusiana na saratani. Mwaka jana tulizika ndugu yetu,mwanamke wa umri wa miaka 46 aliyekuwa anasumbuliwa na saratani,aliugu muda mrefu pamoja na...
1 Reactions
5 Replies
276 Views
Habari ndg wana JF naomba kufahamu uendeshaji wa chombo cha moto pikipiki bilaa kuvaa koti kwa muda mrefu kuna mazara gani kiafyaa...
1 Reactions
4 Replies
121 Views
Habari za jumapili wana jukwaa wote. Naomba niende MOJA kwa MOJA kwenye mada, Nina ndugu yangu anasumbuliwa Sana na Uric Acid. Ni mwezi sasa amekuwa wa kukaa na kulala tu uku akilalamika maumivu...
2 Reactions
23 Replies
757 Views
Anonymous
Tunaomba msaada , hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tabora haaina huduma ya VIFUNGASHIO kwa ajili ya kubebea dawa, mgonjwa akipewa dawa analazimika kubeba mikononi au kwenye mabox kitu ambacho...
0 Reactions
1 Replies
291 Views
Habari wakuu naomba kutanguliza shukrani kwa wote watakao changia uzi huu na kutoa msaada. Nina changamoto ya kukohoa wakati wa usiku ninapoanza kulala tatizo hili lilianza mwaka jana kama mwezi...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Habari wakuu, mada hapo juu inahusika. Nina mdogo wangu ana Miaka 23 wa Kiume amekutwa na Ugonjwa wa Ajabu wa kuwashwa mwili mzima. alienda Hopsitali wakamwambia ni Mzio yaan aleji ambayo...
1 Reactions
9 Replies
289 Views
Wakuu swali hili. Kama ushawai tumia kondom utaungana na mimi sehemu ya mwishi karibu na shina condom huwa haifiki na hii kupelekea wakat wa tendo kulowa au kugusana maji maji Je, hii haiwezi...
5 Reactions
86 Replies
3K Views
Habari zenu? Jamani ningependa kufahamishwa nini kinachopelekea ukavu sehemu za uke wakat wa tendo. Je, ni vyakula duni, uchache wa maandalizi au upungufu wa nguvu za kike? Nawasilisha WADAU...
2 Reactions
203 Replies
174K Views
Back
Top Bottom