Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?
Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya...
habari wakuu. Weekend nyingine ya mwanzo wa mwezi february sasa.
mimi ni kijana (me) wa umri wa miaka 27 nilianza kuvuta sigara mwaka 2016 nikiwa advance.
NImevuta miaka sasa pamoja na kunywa...
Nahitaji kuonana na dr specialist wa masuala ya uzazi wa wanaume(andrologist). Lakini nimeshindwa kujua naweza kumpata katika hospitali gani...! Mwenye kujua msaada wandugu
Wakuu msaada wenu mninasue nnimgonjwa wa mda mrefu wa thyroids hyperthyroidsm nko kwenye dawa takribani miaka2.5
Sasa kama miezi2 nyuma hisia zimekua zikipotea sana ya kusimamisha kufanya tendo...
Upungufu wa damu kwa mjamzito ni hali inayotokea wakati kiwango cha hemoglobini katika damu kinapungua chini ya kiwango kinachohitajika (<11 g/dl), hasa wakati wa ujauzito. Hemoglobini ni protini...
Nimetembelea wagonjwa mbalimbali wanaoteseka na mivunjiko ya mifupa na kukutana na changamoto ya mfupa kushindwa kuunga au kuvunjika mara kwa mara hata bila kupata ajali yoyote !
Najua pia...
HOTUBA YA VIRUSI VYA UKIMWI (MTOTO PEKEE WA KIUME WA MZEE UKIMWI)
VVU amesimama jukwaani mbele ya wanadamu, anasema;
"Najua mnanijua ila leo nataka mnijue zaidi. Watu wengi huko mitaani...
Wakuu habari zenu.
Naomba ushauri.Mtoto wangu wa KIUME wa miezi minne anachangamoto ya kunyonya kwa shida sana.Mchana akiwa na njaa atalia sana akipewa ziwa ndo analia zaidi.Akiwekwa mgongoni...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU
Habari wanaJf?
Hii ni kutoka kwa rafiki yangu mmoja wa karibu sana. Amenisimulia kuwa alianza kufanya mchezo huo tangu yupo darasa la saba hiyo ikiwa mwaka...
Afya ya akili ni miongoni mwa mada zinazopuuzwa, zisizozungumzwa vya kutosha, pia zenye wataalamu wabobezi wachache sana kwa Tanzania. Lakini pia ni mada ngumu kuzungumzwa kutokana na kukosa...
Leo naomba nikukumbushe somo la Afya ya uzazi. Somo hili litafafanua faida na hasara au madhara yatokanayo na uvaaji wa nguo za ndani hasa Chupi.
Uvaaji wa chupi kihistoria ulianza karne ya 19...
HABARI WANA JAMII FORUM
Naomba kuuliza kua kuna ukweli wowote juu ya mazoezi ya jelqing au Arabic milking ambayo yanadaiwa kuongeza ukubwa wa uume
Je kweli haya mazoezi yanafanya kazi...
Habari, nikiwa nasimamia ujenzi wa kanyumba kangu nikawa simwelewi fundi wangu mkuu.
Mara nyingi amekaa chini ya mti amewaachia kazi mafundi wasaidizi pamoja na vibarua.
Siku ya 3 ikabidi...
Katika harakati za maisha nikakutana na mdada anatokea nchi fulani sitaitaja. Yule mdada alikuwa anakunywa dawa za kuongeza damu, folic acid, vitamin B supplements na nyingine sikuzitambua...
Wakuu nlileta kisa hum baada ya kusex na binti anaetumia dawa na hakuniambia, ila siku anakuja mda ulikua umeenda sana na nlitakiwa kuwahi kazini..so kwenye ile sex nlifanya chini ya dakika 2...
Habar wakuu msaada wenu bint yangu wa mwaka mmoja anakohoa sana usiku tumejaribu kumpa dawa na kwenda hospital dawa hazijasaidia kitu...anakohoa Hadi inaogopesha ,,na mchana mara Chache hukohoa
nimepimwa mkojo na kinyesi hakuna kitu,madaktari wakapendekeza kuwa ni gesi actually first natumia dawa za gesi nilikuwa natoa upepo kwa kiasi kikubwa na hata nikijaribu kufanya mazoezi ni same...
Kunywa maji ya moto asubuhi kunaweza kuwa na faida nyingi kwa afya yako.
Hapa kuna baadhi ya faida zake:
1. Husaidia Kusafisha Mwili (Detoxification) Maji ya moto yanaweza kusaidia kusafisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.