Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Faida ya kujitibu kutokana na kitunguumaji tiba inayopatikana katika Kitunguumaji Kitunguumaji ni aina ya mboga ya yungiyungi. Ni mboga yenye harufu kali inayochangamsha. Anaeikitumia kitunguu...
3 Reactions
7 Replies
6K Views
napata hedhi almost mara 3 kwa mwaka na ikitoka inatoka nying sana kias kwamba pakt moja ya ped naitumia cku moja! halaf ndo kwanza am 21yrs nisaidien jaman
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wapendwa, l don't like my nose, l think it too big n a little crooked and l hate it! I love the rest of my body! Je naweza kufanyiwa rhinoplasty hapa nchini au East Africa? Na gharama yake ikoje...
0 Reactions
47 Replies
11K Views
wakuu naombeni msaada wenu,naogopa sana sana kupima kama nina virusi vya ukimwi,kusema kweli nilikopita na wanawake niliochukua ndio hasa kumbukumbu inanifanya nifikie hatua hiyo mungu anisaidie...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau hivi imewahi kukutokea labda ukapatwa kipele cha kwenye midomo au kijipu chini ya mapaja...? kama wewe iliwahi kukutokea hali kama hiyo na una patina wako (mme, mke au mpenzi ..!!) je...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
wanajf mimi ninapenda ngono au tendo la ndoa,haziwezi kupita siku mbili sijafanya hilo tendo.je nina tatizo?
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Tumbo langu linajaa gesi na napata maumivu sana,hasa chini ya/na maeneo ya kitovu!!! Nini tatizo na dawa yake ni nini?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba kufahamu kama utafunaji wa jojo, wenyewe siku hizi mnaita chewgum au big g kuna madhara gani kiafya, kwani mimi mda ambao mdomoni haipo ni wakati nakula chakula tu.! Help please.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wanajamvi wenzangu eehe,hivi kuna ukweli katika hili?Huku kwetu na sehemu nyingine za Tanzagiza kuna tetesi zilizozagaa kuwa chainizi(mboga za majani) si nzuri kwa afya katika upande wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
jamani naomba wataalamu mnisaidie Na mtoto ana Miaka 3 hajajua ongea je kuna hatari ya yeye kuwa Bubu na je kilema cha ububu ni cha kurisi? Au genetics transimision?
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu! Hivi ni katika umri gani mzazi anatakiwa ampeleke mtoto wa kiume kwa ajili ya tohara?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Leon Bahati WATAALAMU wa afya wa kimataifa wamesema yapo matumaini ya kupata tiba na chanjo ya Ukimwi ya uhakika miaka michache ijayo.Walisema hayo kwenye mkutano wa 18 wa Kimataifa wa Kujadili...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hi JF nina mke na kila siku kwa mke wangu napata mshindo mmoja (napiga bao moja) katika hali hiyo naweza kufanya mazoezi ya viungo kama kukimbia, kunyanyua chuma na nk
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Fredy Azzah TAASISI ya kimataifa imesema Watanzania wengi wako kwenye hatari ya kuambukizwa virusi vya ukimwi (VVU) kutokana na kuongezewa damu isiyopimwa kufuatia ukosefu wa vifaa vya kupima...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ni nini hii? inapatikana maduka gani kwa hapa dar es salaam?
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Nimekuwa nikisikia kwamba uzito wa mtoto ambaye bado hajazaliwa unaweza julikana kwa kutumia vipimo maalumu. Ninachojiuliza ni concept behind ya hivi vipimo ni ipi mpaka uzito wa mtoto alie...
0 Reactions
3 Replies
42K Views
Nimekuwa nikiumwa tumbo sana sielewi tatizo ninini.Nimetumia tiba mbalimbali kama dawa za minyoo na za typhoid lakini sijapona hapa mwananyamala naona wananisumbua au wanabahatisha tu.Nimekuwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
UTAFITI wa hivi karibuni unaonyesha kwamba mbu wana akili zaidi kuliko viongozi wa binadamu waliopo duniani hivi leo baada ya mbu hao kujibu mapigo ya chandarua kinachotiwa dawa kwa kujigeuza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Source: Yahoo friends I really don't know if here is the right platfom, read through anyway. Maybe to a doctor? WE do not have a section for HEALTH issues I suppose. http://xqno.com/binb...
1 Reactions
0 Replies
914 Views
Ayurveda is no longer just a traditional medical system. It has grown in scope and potential and has been established itself as a profitable commodity in the international market.You may frown at...
0 Reactions
0 Replies
989 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…