Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

nilikuwa hospital flan kwenye mbao z matangazo wamesema wanawasaidia watu wenye sonona. je ni kitu gani hiki?
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Hola amigos! Naombeni ufafanuzi jf doctors kati ya kunywa pombe na kukosa ucngizi uciku....this thing disturbs me a lot i.e jana nilikunywa bia tatu nikalala saa nne but kufika saa nane ckupata...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Ndugu zangu wana JF leo nililazimika kuja ara moja Dar kuja kumuona Mlezi wangu ambaye ni mjomba yangu anaumwa sana jamani kule alipopata vipimo aliambiwa anatatizo la Inni sasa huku kila siku ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
When is a good time for you to quit smoking? Would that be sometime before doctors drill a hole in your throat so you can breathe? A week before it happens? A month? A year?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HABARI Wandugu, kuna rafiki yangu ni mpenzi wa pombe (whysky) ingawa huwa hanywi reguraly. ila anasema akinywa whysky(konyagi, valuer,grants nk) anahisi tumaumivu kama vichomi hivi upande wa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Matatizo ya kiafya katika kibofu cha mkojo yamekuwa mengi hivi sasa, hasa kwa wanaume wenye umri kuanzia miaka 50. Kazi kubwa ya kibofu ni kusaidia ukuaji wa mbegu za kiume, kama kibofu kikiwa na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wandugu naomba msaada wenu mnijulishe iwapo vaginismus inatibika? Kama ndio, kwa tiba ipi na inapatikana wapi hapa tanzania.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
eti wadau,nina haka kaswali kangu kadogo,kuna watu wana katabia ka kuchokonoa koo hasa wakiwa wanapiga mswaki,ivi hii kitu ina madhara kiafya?
1 Reactions
5 Replies
11K Views
Wanajf,naombeni ufafanuzi....Hivi ni kwanini mawanamke huwa anapitiliza siku zake za hedhi? Kuna rafiki yangu mmoja mpenzi wake yamemkuta hayo,leo ni siku ya nne tangu ile tarehe yake aliyoizoea...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari memberz! Jamani naomba kuuliza sababu gani inapelekea msichana kuwa na hasira wakati wa period?(kwa baadhi) mimi inanitokea sana,tena hasira inakuwa kwa watu wote na zaidi kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Dear JF Members, Greetings to you all. To all those fat dudes and ladies, I have wonderful news for you all. I came across this very useful article on the internet with regards to weight loss...
3 Reactions
23 Replies
5K Views
By Lisa Collier Cool Aug 09, 2011 Send Share Print...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kama kuna mtu au tabibu yeyote hasa wa miti shamba anaejua namna ya kunisaidia kujisikia utamu wakati wa ku do,naomba anisaidie dawa make huwa naona kero badala ya kuenjoy,kiufupi nasumbuliwa na...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Habar wana jf. Kuna njia nyingi ninazozifahamu.za kuzuia mimba ambazo ni salama na nyingine zina muudhi muumba. Ktk zote nimeamua kuifuata ile ya kuvizia tarehe,ambayo ndo naamini iko poa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Daktari mkuu wa mkoa wa arusha asubuhii hii amethibitisha kuwa dawa ya babu huyo inasemekana kuponya magonjwa sugu ni utata mtupu kwani hakuna mgonjwa ambaye mpaka sasa amethibitika kupona. Dr...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wana JF. Naombeni nifahamishwe kwa mwenye ufahamu wa masuala ya uzazi hivi kwa mwanaume kujamiana sana kuna uhusiano wowote na kushindwa kumpa mimba mwanamke! Na Kumpa mwanamke mimba wakati ana...
0 Reactions
11 Replies
11K Views
Nimekuwa nikicheka sana ninaposikia matangazo ya ulevi noma. Wao wanaonyesha madhara ya pombe katika kumuumbua mtu lakini naomba niongezee kidogo. Katika somasoma yangu ya udaktari, nimeona katika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
K
0 Reactions
2 Replies
891 Views
Mtoto wa ndugu yangu ana miaka 12 yuko darasa la 4 amerudia darasa mara kadhaa ila mpaka sasa hawezi kuandika wala kuhesabu. Mfano hawezi kutofautisha pesa za sarafu. Ila sio taahira, ni nadhifu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nafahamu kua miili ye2 ni kama injini za gari mara nyingine checkup ni muhimu,na mambo mengine huwa yanahitaji ushauri na wakati mwingine huwa mazoezi ndio tiba muhimu,sasa kwa sisi wenzangu na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom