Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

At least 78 per cent of people who have drunk a herbal concoction from former pastor Ambilikile Mwasapile claim they have been cured of diseases they were suffering from, a Synovate Tanzania...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
salaam jf Leo nimeamua na mimi kupost hapa kuhusu tatizo la kukosa mwenza mpenzi kwa muda mrefu. Well, nina miaka 26 sasa, niko chuo kikuu mwaka wa 3 nasoma computer engineering. Katika maisha...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
HABARI ZA JPILI WAKUU, ETI IS IT POSSIBLE KWA MWANAMKE MWENYE MZUNGUKO WA HEDHI WA SIKU 28/29 KUPATA MIMBA IWAPO ATAFANYA MAPENZI SIKU YA 23? naombeni msaada wenu wa kitaalamu na wa kimawazo pia...
0 Reactions
0 Replies
931 Views
Scientists in Tanzania have a plan to foil malaria-infected mosquitoes without fancy equipmen...
0 Reactions
1 Replies
850 Views
Nina tatizo ambalo lina muda mrefu takribani miaka 32 sasa. Nakumbuka hili tatizo lilinianza wakati nipo primary school. Siku moja wakati nipo home nafanya home work,ghafla nilijisikia baridi kali...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habari nataka kujua huu ugonjwa wa utando mweupe dalili zake unapatikanaje na matibabu yake source: mwanamke anatokwa na utando or ute mweupe kwenye uke afu unawasha na baada ya siku kadhaa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
wakuu heshima yenu,wakuu hivi hii SPERMICIDE nini? na inatumikaje? naomba mtujuze sisitusiojua! nawasilisha!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello JF! naombeni msaada kuhusu hiyo title.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu? Naombeni msaada wenu mnijulishe na/ au kunipatia contacts za vyuo vinavyotoa elimu ya certificates katika masuala ya madawa ya binadamu - hasa vile vinavyotambulika na...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Pombe noma tunywe kwa kiasi,tuache ikiwezekana,tunywe kama ni dawa,tunywe tukishindwa kujizuia,isitukwaze,tuitawale
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau hivi mpenzi wako ameanza blid j4 na kumaliza alhamisi. Je ukilalanae bila kondom siku ya j1 kuamkia j2 kuna uwezekano wa mimba kushika? Help plz.
1 Reactions
8 Replies
4K Views
= Be careful about these Chinese products Very important! Please spread the news!! Be cautious of hair bands at open markets...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu Salaam, naomba ushauri: Hivi hapo kama ndoa ni ya kikristo i.e mme 1 na mke 1 na kwa bahati mbaya husband hana hivi kuna njia salama ya kuendelea kujamiiana au ndio mzee inabidi ubadilike...
1 Reactions
24 Replies
8K Views
Samahani wajumbe nahitaji kujua kuhusiana na hili nilikuwa katika mjumuiko wa watu tukiwa tumeketi na kutulia kimya tukisikiliza matangazo ghafla kuna mtu alikuwa jirani yangu aligeuza shingo na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
WanaJF, Ninapenda kufahamu utosi wa mtoto kuwa mlaini huwa ni kwa muda gani tangu azaliwe? Natanguliza shukrani
0 Reactions
4 Replies
17K Views
wanajamii wenzangu naombeni msaada wenu katika hili, kuna ndugu yangu wa kiume hii ni mara ya nne mfululizo anapata wet dreams, so anaogopa sana kwa sababu haijawahi kumtokea kabisa. kaniomba...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu JF Doctors. Naitwa Ruth, Ninafurahi coz nadhani nina ujauzito, nilipima jana kutumia zile home pregnant test, ikaonyesha positive. Naomba mnisaidie kujua ujauzito wangu utakuwa na muda...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wote wandugu. Mwenzenu nasumbuliwa na maumivu ya uso siku ya tatu leo. Kuna yeyote anaweza kujua inatokana na nini na namna ya kutibu.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wife amekuwa akisumbuliwa na tatizo la kuumwa na miguu sehemu ya kukanyagia tokea ajifungue kwa Upasuaji zaidi ya mwaka sasa.miguu huwa inauma hasa wakati wa asubuhi ama akikaa muda mrefu bila...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
habari ma greater thinker...kunakaogonjwaa kamenianza kamaa wiki moja hivi,nikienda haja ndogo na hisi kamaa kuna maumivu flani hivii yanatokea kwenye tundu la uume.niki kunguta kunguta uume...
0 Reactions
0 Replies
949 Views
Back
Top Bottom