Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Naelewa wazi kwamba masuala ya kuzaa ni Mungu ndiye anapanga, pia naelewa kwamba kuna watalam wamesomea taaluma mbalimbali mfano DAKTARI. Nisaidieni wataalam, hivi mwanamke anapogundua kuwa ni...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ndugu yangu anasumbuliwa na mapepo wachafu wenye kuongea kiarabu kitupu, tangu Ijumaa anaongea makorokocho. Je ninapoenda kumuombea ruhusa ofisini nipeleke kithibitisho gani?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
swali la kwanza:nini hasa kinachochangia kupasuka kwa condoms wakati wa tendo la ndoa?? swali la pili:by any chance mwanamke anaweza kupata mimba akiwa ktk siku ya 22 au 23 ktk mzunguko wake??
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Inasemekana mkulima au wakulima wawili wenyejinsia 2 tofauti....kama analima au wanalima bila kuvaa buti miguuni kwenye shamba la tope la fwaka...fwaka...fwaka ni vigumu sana kupata ukimwi hata...
0 Reactions
65 Replies
8K Views
kuna vipele vimenitokea sehemu ya makalioni...vimekaa mithili ya 'shilingi'..kwa mnaofahamu,,nikivigusa vinatoa maji..na wkat fulani panawaka moto ivi...au kuuma in other words..inaweza kuwa ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
SOurce: Yahoo friends This fruit is known as katu aatha in Sri Lanka --please circulate CANCER KILLER DISCOVERED Guyabano, The Soupsop Fruit The Sour Sop or the fruit from the...
2 Reactions
0 Replies
6K Views
niko na wiki ya 28 ya ujauzito but tumbo linajaa gesi nisaidieni nifanye nini wataalamu, asanteni
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Nikikumbuka vipande vipande vyeupe vilivyokuwa vikitoka eneo la tukio, nakosa hata hamu ya kula, na ki-ukweli nashindwa hata kuendelea mahusiano naye, nimebaki njia panda nifanyeje? Hiyo ndo...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Dear JF Members, Greetings to you all. To all those fat dudes and ladies, I have wonderful news for you all. I came across this very useful article on the internet with regards to weight loss...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Am here to announce hao wachina na wajapani mtaani wanaosema eti wanatibu kwa mionzi ni uongo eti wananyonya sumu ni wizi mtupu nasijui nani kawapa vibali maana hivyo vifaa vinge thibitishwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninatatizo la kuumwa na tumbo nitumiapo asali, iwe kwa mkate au kwa kulamba. Hili ni tatizo la kiafya au nikawaida? Naomba ufafanuzi.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wajumbe naomba kujua sehemu ya mwili inapopatikana kongosho na kazi yake mwilini!!
0 Reactions
3 Replies
14K Views
Habari zenu madr wa jf! Mimi nasumbuliwa sana na maumivu ya shingo sehemu ya nyuma yahani kuanziwa kwenye kisogo mpaka sehemu za mabega. Je tatizo itakuwa nini? Na je kuna tiba yoyote naweza...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
  • Closed
Habari wanaJF, Mimi ni kijana nina miaka 22. Nimekumbwa na personal conflict na inanikosesha raha na wakati mwingine kujiona kama siwezi kuji control.. Ni zaidi ya miaka mitatu (3) sasa, nimekua...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wanajamii, pongezi kwa kazi za kila siku. jamani nina muda sasa karibu miaka 4, huwa sitoki jasho hata nikipanda milima wakati wa jua kali. natoka jasho jembamba ambalo hata tisheti hailowi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hi JF, Mimi ni baba wa mtoto wa kike anamiezi sita na wiki mbili. umri aliofikia ni wa kuota meno ila bado hayajaanza kuota lakini anaharisha na inaonekana tumbo huwa linamkata pale anataka...
0 Reactions
7 Replies
23K Views
Unaweza ukaichanganya na dysentry lakini choo ni kigumu na damu mbichi (fresh) huonekana unapomalizia. Ukifanya lab test huonyesha hakuna infection yoyote wanaripoti kuwemo damu kwenye sample ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kutokana na Muongozo wa Mh Lusinde kuwa ni wakati muafaka wa kuwapima wabunge wetu,kutokana na hali inayojitokeza bungeni kwa kipindi hiki ni wazi kuwa wabunge ni wengi ambao ni wagonjwa na wengi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jm napenda mnijulishe jinsi ya kumtambua mtu aliye bakwa ki tabibu,vitu gani vya kuzingatia?
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Multiple myeloma ( Sijui kiswahili chake ) simply ni cancer plasma cells ndani ya bone marrow. plasma cells ni type of white blood cell that produces antibodies (askari mwili) na bone marrow ni...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom