Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Inasemekana kwamba nywele na kucha ni sehemu ya seli mfu.je kwanini basi vinakua?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jaman naomba kuuliza.mimi nina mchumba wangu na huu ni mwaka wa pili toka tuanze mahusiano lakini cha kushangaza mdada huyu kila tukikutana uwanjani tunawajibika vizuri na wote tunakua tumelizika...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
jamani naombeni mnijulishe dawa ya meno naumwa na meno yote kinywani yaani hayataki kutafuna kitu najaribu kupiga mswaki but sipati nafuu sielewi ni nini tatizo, maana yako 2 yaliotoboka lakini...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna mdada anaomba ushauri, akikamua chuchu zinatoa maji ya njano ni tatizo gani? Age 23, hajawahi pata mimba.
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Kwa kweli naona aibu sana hata kuhadithia matatizo yangu hadharani ila imenibidi. Mimi ni dada wa miaka 32 ,nimejifungua mwezi uliopita. Sijui ni kwanini kwa kweli ila kila ninapomnyonyesha...
0 Reactions
115 Replies
12K Views
Too Much TV Linked To Early Death Watching two to three hours of television a day increases the risk of an early death, type 2 diabetes and heart disease, according to a new study...
0 Reactions
0 Replies
779 Views
Cook with olive oil, add it to salads, and dip bread in it. Those who do are 41 per cent less likely to suffer a stroke than those who never eat it. Researchers using almost 8,000 people have...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tumbo linaniuma sana tena zaidi ya sana, kama la kuharisha lakini siharishi. Nimekuwa nikijisikia kwenda haja, lakini mara niingiapo maliwatoni hamna kitokacho, ni mimi na maumivu, naumia sana.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Utibabu wa maradhi ya Cancer kwa kutumia Pili pili (kali sana) pamoja na kitunguu Thom Piliipili 2 kali sana – hapa Africa itakuwa ni pilipili mbuzi, za Uganda. au pilipili hoho za hapo...
2 Reactions
0 Replies
3K Views
Ni kitu gani?
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Naandika hii artcle nipo furaha sana ni birthday ya azizah huyo dogo kwenye avatar yangu aliyejuu ya mwenzie mwenye mapengo ni mtoto wa dada yangu, nimecover night shift hospitali ili asubuhi...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
By Jerry Okungu I left Nairobi three weeks ago to seek further treatment for my prostate cancer in America’s advanced cancer institutions. On arriving in Atlanta on June 20, I spent the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu hiv vipimo(sperm analysis) vinalengo gani? Hapo docta anataka kujua nini'? Naomba msaada please!
0 Reactions
49 Replies
7K Views
naomba msaada wa ushauri nifanye nn ktbu maumuv ya misuri katikat ya korodan na kinena. Maumuv haya hutokea kila nnaposmamisha uume kwa mda halafu nsfanye mapenz.
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Natumia miwani tangu 1985. Sioni mbali. Tatizo kila baada ya miaka 7-10 nabadilisha miwani kwa kutumia lensi kubwa zaidi kiuwezo. nimechoka kuvaa miwani. Sasa natumia 'double focus" kwa miaka 8...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwenzenu jamani naomba msaada wenu wana JF, mwanangu ana KIGUGUMIZI KIKALI SANA yaani kadri siku zinavyokwenda ndio kinazidi kuongeza kasi. Naomba mnisaidie nifanyeje?? Ila tatizo hili na ujombani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Bionic Eyes Unveiled At Science Exhibition Bionic eyes and the latest invisibility experiments are among the exhibits at a science fair in London. Researchers say the bionic eyes, which are...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Interesting .. we doctors tunakutana na hii kitu kila siku... leo hii nataka ku share na ninyi something about the so called ALLERGIES ..... what is it..?! Simply naweza nikasema an allergy ni...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
wana jf doctor,tatizo langu ni hili sijawahi fika orgasm tangu nianze kufanya mapenzi..na si kwamba mpenzi wangu haniandai vizuri hapana.yani inafikia kipindi tupo kusex nakua km nakarbia fika...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Who Wants To Live Forever? Scientist Sees Ageing Cured If Aubrey de Grey's predictions are right, the first person who will live to see their 150th birthday has already been born. And the first...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…