Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Tafadhal naomba kuuliza wana jf.NIMENG'ATWA NA MENO YA BINADAMU MPAKA KIDONDA.JE NINI TIBA YAKE?PIA MENO YA BINADAMU YANA SUMU?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
wapendwa,hivi kama mwanamke amejifungua kwa operation,anaruhusiwa kujamiiana baada ya muda gani? Coz,kuna mshono tumboni, na hata kama mshono utakuwa umepona,kutabaki na kovu! Je,hii haitaathiri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wapendwa,hivi kama mwanamke amejifungua kwa operation,anaruhusiwa kujamiiana baada ya muda gani? Coz,kuna mshono tumboni, na hata kama mshono utakuwa umepona,kutabaki na kovu! Je,hii haitaathiri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wapendwa,hivi kama mwanamke amejifungua kwa operation,anaruhusiwa kujamiiana baada ya muda gani? Coz,kuna mshono tumboni, na hata kama mshono utakuwa umepona,kutabaki na kovu! Je,hii haitaathiri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
baada ya kupata mfadhili eat sasa hivi anatoa huduma bule,unatoa kiingilio kidogo tu.so changamkia offer wana jf.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Last week nilikuwa nasikiliza kipindi cha Radio One Doctor. Mada ilikuwa juu ya magonjwa ya akili. Mambo mengi yaliongelewa ila hili lilinishangaza sana. Kwanza Mateja wakikosa dawa wanaenda kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanajamvini naomba msaada wenu kuna siku nilikuwa nachokonoa meno na stepple ikawa kipande cha stepple pin likavunjika nikaimeza imenikwama kooni napata maimivu makali sana nifanyeje ni wiki ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu, mimi ni kijana wa kiume na nina tatizo la muda mrefu kidogo ambalo linaninyima raha wakati linapotokea. Tatizo lenyewe ni kwamba hutokea nikiwa nimelala naanza kuota kama ndoto ambayo...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Mtu mwingine anajitambulisha kama Jafari Fikiri,ameibuka na kutibu magonjwa sugu.anasema yeye anagawa vikombe viwili bure,na ndivyo alivyoambiwa na mizimu yake.Yuko ktk eneo la Mabatini.Watu ni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Your brain, just brighter. Improve brain health and performance. Brain training produces real world benefits Enhance memory, attention and creativity Easy, web-based brain...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Serikali yawapiga marufuku waganga WAGANGA wa tiba za jadi nchini ,wanatakiwa kuacha mara moja kudanganya watu kuwa wanatibu magonjwa kama kifua kikuu, kisukari na Ukimwi kwa kuwa sheria...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hivi wana jf wenzangu hasa wale wenye uzefu yan madoc na hata waliokumbana na hili, inakuwaje mwanmke unakaa miaka kama mitatu hivi kila mwezi unapata siku zako kama vitone tu hata unawweza...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana Jf Juzi nilipimwa Pressure, Dr akaniambia kuwa iko juu na akaniambia nisitumie chumvi na vyakula vya mafuta, sasa napata shida kula chakula bila chumvi, nilikuwa nauliza hakuna aina...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani nilibahatika kumwona mama Africa pale Muhimbi sasa mwenye DATA maana nilihuzunika sana kumwona maana alikuwa anaumwa na niliweza kuongea nae machache sasa sijui huko Tanzania kwani...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ametangaza leo Star tv. Nadhani ni baada ya kuzidiwa kete na babu.
0 Reactions
27 Replies
7K Views
Kuna msemo wa kiswahili unasema "usipoziba ufa utajenga ukuta" inasikitisha kuona maelfu ya watanzania wakipoteza imani kwa matibabu yanayotolewa na hospitali hususani kwa magonjwa sugu kama...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wana Jamii... Ninasumbuliwa na tatizo la kuumwa na kichwa kwa siku 9 sasa, na mara ya kwanza nilidhani ni malaria ndio inayonisumbua lakini haikuwa nilifanya medical test hospital 3...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
mimi nina miaka 25, situmii kileo chochote lakini nakabiliwa na tatizo la kutetemeka mikono hususan wakati wa kuandika. Tatizo linasababishwa na nini na naomba msaada wa ki taalam kama upo.....!
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Pima uwezo wako wa kukumbuka, hii itasaidia kuonesha ikiwa umri wako ni sawa na umri wa akili yako. Fungua "link" hapo chini. 1. Anza na "Start" 2. Subiri 3,2,1 3. Zitatokea nambari bila mpango...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sex Can Kill You, According To US Study 1:30am UK, Wednesday March 23, 2011...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom