Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Jamani naombeni maoni yenu kuhusu bima ya taifa ya afya, kuna mvutano kazini kuhusu kujiunga nayo. Je, kwa waliowahi kutumia mnaonaje huduma za bima hiyo? ni za kuridhisha au?
0 Reactions
15 Replies
4K Views
The late Dr. F. Batmanghelidj, M.D., a renowned physician researcher in America, and author of Your Body's Many Cries for Water, discovered the profound benefits water has on the physiological...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani wan JF naitaji msaada wa kuelekezwa wapi na weza pata huduma ya ushauri nasaa kwa hapa dar es salaam, i have some family problems which are eating me up big time and make my life a living...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Dr,nahitaji msaada,mm nilianguka bafuni,baada ya kupiga ex ray nikaonekana nina flacha,nikawekwa P.O.P,KWAKWELI NILIKUWA NAUMIA SANA NA HIYO P.O.P.nikaitoa,mguu bado unavimba,unakuwa mweusi na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nchini Chile, wananchi wake wengi wanapenda kunywa maziwa punda. Je maziwa haya yana faida gani kwa mwili wa binadamu?
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Anataka kujiuwa baada ya kufanya uchunguzi wa afya(nguvu za kiume) na kugundua yafuatayo. Sperm analysis results. Appearance:Transparent milky like. Amount:3.5 cc of semen fluid.. Viscosity:0.2...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Utafiti wa Kisiasa Maulamaa, watafiti na madaktari wa ulimwengu mzima wamekongamana kwa kauli moja kwamba maziwa ya mama ndio chakula bora kabisa kwa watoto wachanga. Chakula ambacho huwapa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
The head of the court house of Tabook in the kingdom of Saudi Arabia have found a treatment for diabetes. After a clinical trial that was successful, and praise is due to Allah. The head of...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa muda mrefu maboga yamekuwa yanajulikana kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kutumika kama dawa, vilevile chakula hicho kina protini yenye nguvu ambayo inaweza kupambana na magonjwa mbalimbali...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
By David Zinczenko, with Matt Goulding - Posted on Thu, Dec 17, 2009, 11:56 am PST Eat This, Not...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hallo members! Naingia hofu itakuaje nkijamuoa mchumba wangu huyu. Operation ya apendix alofanyiwa inasababisha matatizo ya tumbo kuuma kukiwa na baridi hasa. Ana low blood pressure. Mimi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Brazil toddler has 50 sewing needles inside body Play Video AP – 50 needles found in 2-year-old; mom says she had no idea AP – In this frame taken from a TV Globo video, a person...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
RESEARCHERS IN the US led by an Irish neuroscientist have shown why some older people remain highly capable in later life, knowledge that might help others to up their mental game. University...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
IMEFAHAMIKA kuwa watu wapatao milioni mbili hufa kila mwaka kutokana na maradhi ya ukimwi nchini Tanzania imefahamika. Hayo yalifahamika siku ya kuadhimisha siku ya ukimwi duniani ambapo nchini...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Evelyn Lirri Kampala Aids researchers yesterday announced that an experimental clinical trial using microbicide gel has been halted after results showed women using it got infected at an almost...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Autoerotic Asphyxiation au Choking game Kumekuwa na mchezo wa kuongeza ukubwa wa kilele cha mapenzi ambao ni hatari sana kwa maisha. Inasemekana mchezo huu huenda ni matokeo ya wanaume...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wana jamii watoto wa mdogo wangu wawili wanasumbuliwa na ugonjwa huu wa ngozi, wakati wa kuwaogesha wanalia mpaka utawahurumia ,aliyepata msaada wa dawa atusaidie wana umri wa miaka 6 na 4. Shukrani
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Drinking coffee could help to cut the risk of advanced prostate cancer, a US study suggests. It found the heaviest consumers had a 60% lower risk of aggressive tumours than men who did not drink...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Can someone please educate me on homoepathy treatment, origin and effectiveness
0 Reactions
2 Replies
2K Views
'Would you like to test for HIV too?, we recommend it to people who have lived in Africa and Asia' Aliniuliza Daktari huku akinitazama usoni, nikajikuta nimeropokwa...'Yeah, I wont mind!'...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom