Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wife kwa bahati nzuri ana mimba, kwa sasa ina miezi miwili na nusu. Tatizo linakuja baada ya kufikisha hii miezi miwili amekuwa very trouble some, yani kumegwa anaona kama adhabu kila nikitaka...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
haya ma DR wa JF hizi dawa za wanafunzi zina ukweli wowote ama ??? :shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:
0 Reactions
29 Replies
58K Views
jf dr tafadhali ebu nishauri ni vyakula gani au dawa gani mwanaume mwenye semens chache au dhaifu anaweza kutumia? je inawezekana mtu kuwa vizuri mwanzoni then semens zikapata tatizo baadae?aksante
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF naomba msaada wa mawazo mimi nina tatizo la kuishiwa nguvu na kizunguzungu, sometime nahisi kupoteza network kabisa na huwa naweza poteza fahamu, nilienda hospital wakanipima kila kitu...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Mke wa jirani yangu kalazimika kumwachisha mtoto kunyonya akiwa na umri wa miezi mitatu kwa sababu anakwenda shule. Maziwa yanazidi kutiririka na kumletea homa. Je atumie dawa gani ili kuyakausha...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kondom za hot zilizopigwa marufuku kenya na zambia, zinauzwa hapa tz. nimeona kwenye taarifa ya habari leo asubuhi. mimi sijawahi kutumia kondom, kwasababu sihitaji, nina mke na watoto wetu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Dark green leafy vegetables are, calorie for calorie, perhaps the most concentrated source of nutrition of any food. They are a rich source of minerals (including iron, calcium, potassium, and...
0 Reactions
1 Replies
982 Views
Want to lose weight as you chow down? Your wish is granted! (I promise, this is no fairy tale.) Your supermarket is filled with foods that studies show have lipid-melting powers to help melt fat...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Tumeoana miaka mitano iliyopita, mara baada ya kuoana mmoja kati yetu alifanya HIV test na kugundua yuko reactive, bila kumshirikisha mwenzi wake kwakuamini kuwa yeye ndiye chazo. Hivi majuzi...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
jamani nani anajua maana ya cinnamon kwa kiwahili..na pia inapatikana wapi hapa Tanzania.
0 Reactions
5 Replies
6K Views
</SPAN> Maumivu ya tumbo wanayopata wanawake wakati wa kipindi cha hedhi wamepatiwa dawa Friday, October 09, 2009 8:07 AM Habari njema kwa wanawake, wanasayansi nchini Uingereza wamegundua dawa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Jamani naombeni msaada wenu.....Nina miaka yapata 12 sasa nina allergy ya ajabu sana. nimejaribu kutumia dawa lakini sipati majibu mazuri, dawa zote unazozifahamu za allergy hapa dunia nimetumia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
"I am in my early 20s, a virgin and about to get married. I don't know much about sex but I want to be the perfect wife. Do I have to shave my pubic hair to enjoy sex? It has grown up to my anus...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Jamani nani amewahi kutumia dawa inayoitwa ngetwa3 au ngoka11? Je ni kweli zinatibu vizuri kama ninavyosikia au uzushi tu.Je zina madhara yoyote?
0 Reactions
22 Replies
11K Views
Dangerous foods list includes leafy greens, eggs, tuna <LI class=byline>By Aaron Smith, CNNMoney.com staff writer On 2:07 pm EDT, Tuesday October 6, 2009 Leafy greens -- including lettuce and...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimesoma thread ya Mwendapole https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/40413-siwezi-amini-hichi-kitu-kinaweza-kutokea-soma-kisha-hiki.html nikaona tuzungumze jambo hili. Nitaanza na...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wadau naomba kuuliza habari ya massage. Huku majuu nimeaona watu wengi wanakimbilia massage kwa kutumia viti maalum. Inaonekana human massage inakuwa phased out na hizi robotic massage. Wataalam...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
The shot could be widely used in several years, researchers say updated 4:04 p.m. ET Oct. 5, 2009 CHICAGO - A simple shot could be the latest tool in curbing cocaine abusers' habits, says new...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salam baada ya Salaam, Juzi hivi imenunua miwani ya kusomea hapo kwa machinga na wakati nime jaribu ilnifaa vizuri nika ona vizuri kwa kusomea. Lakini leo kichwa imeniuma wakati nasomea...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Back
Top Bottom