Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wakuu Wa JF kuna rafiki yangu ana mtoto wake wa Umri wa Miaka 7 anasumbuliwa na Kansa ya mifupa je Wadau Wa JF munaweza kunisaidia atumie dawa gani ili aweze kupona huyo mtoto wake? Naombeni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wataalam na wanazuoni mliko jamvini. Nina mtoto mmoja mwenye miaka miwili sasa. sijawahi kutumia aina yoyote wa njia za uzazi wa mpango na wala uzazi wangu hauna shida. Kwa sasa nina plan kupata...
0 Reactions
28 Replies
15K Views
Sunday, August 23, 2009 7:08 PM Kwa mujibu wa data za umoja wa mataifa, mtoto anayezaliwa na kuishi Tanzania anategemewa kuishi miaka 52 kabla hajafariki wakati mtoto...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mkuu mheshiwa JF Doctors, Nimeambiwa kuwa mgonjwa wa Kisukari (Diabetes Mellitus) Type I anahitaji kupewa dawa kwa kuchomwa sindano ya Insulini mara kwa mara. Shida yangu ni kuwa kuna minong'ono...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Billy Robins Friday, January 16, 2009 1:52 AM Mtoto mnene kuliko wote duniani aliyekuwa na kilo 381 amefanikiwa...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
* Global Fund to sign agreement next week * Money to be used for insecticide-treated nets DAR ES SALAAM, Aug 18 (Reuters) The Global Fund for Aids, Tuberculosis and Malaria will give Tanzania...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Monday, August 17, 2009 12:41 PM Timu ya wanasayansi nchini Marekani wamefanikiwa kutengeneza kimiminika kitakachokuwa kikiwekwa kwenye uke wa mwanamke ili kuzuia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari JF Nina matatizo ya mgongo na yameanza siku za karibuni. Kuanzia saa 4 asubuhi mpaka 11 jioni nakuwa nimekaa kwenye kiti, labda niende lunch au kunyoosha miguu na movement chache tu. Je...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Eat up: But only dark chocolate, not high-fat high-sugar milk chocolate, showed tangible benefits Here's good news for chocolate lovers. Eating chocolate twice or more a week can significantly...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
A fairly good-sized study, the largest done to date, has established that weight training won't worsen the symptoms of lymphoedema as previously thought. On the contrary, the exercise regimen may...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maamuzi juu ya matibabu ya aina mbalimbali yanahitajika kufanywa kwa kushauriana na mtaalamu aliyehitimu kwenye mambo ya afya na mwenye ujuzi juu ya magonjwa yanayoendana na maambukizi ya...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
wana jf kuna dawa inaitwa herigo kit je kuna yeyote aneyejua hutibu nini?je nikweli hutibu ulcers?
0 Reactions
2 Replies
10K Views
Wana JF/Dr.'s, Naomba kuuliza. Kuna mtoto wa ndugu yangu akiwa darasani,mwalimu alikuwa akimchapa mtoto mwingine,kijiti kidogo sana kikavunjika na kuruka,kikamuingia huyu mtoto kwenye jicho moja...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
8th July 2009 Vyandarua. Hakuna ubishi kwamba pamoja na ukimwi kuwa ni ugonjwa hatari kuliko magonjwa yote kwa sasa kutokana na kutokuwa na chanjo wala tiba, bado ugonjwa wa malaria...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Licha ya jitihada mbalimbali za serikali na wadau mbalimbali katika kufikisha huduma ya maji safi na salama kwa wananchi bado hali imekuwa tete kwa asilimia kubwa ya wananchi kwani huduma hiyo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Page last updated at 23:12 GMT, Monday, 10 August 2009 00:12 UK Optimistic women live for longer BBC News Online It pays to be optimistic Women who are optimistic have a lower risk of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi, Join the world recognized MBBS program in Ukraine. You can now earn your MBBS degree at an expense less than 30% by doing it in one of the most reputed universities in Ukraine with...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Unapotumia simu yenye kamera na Cellscope utaweza kujipima Malaria na TB Friday, August 07, 2009 8:15 AM Watu wenye simu zenye kamera hivi karibuni wataweza kujipima wenyewe kama wameambukizwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
nimekuwa na tatizo la mafua kwa muda mrefu sana toka niko form three mpaka nimemaliza chuo, nimeanza na kazi bado. Hapo kitambo niliwahi kwenda hospitali mbali mbali nikaambiwa kuwa nina aleji...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Back
Top Bottom