Boy with two penises - Baby born in Russia
March 12, 2009 by Baby Chums
Filed under: Off the Wall Baby News
A baby boy with two penises named, Artyom G was born two...
KIJANA mmoja [17] raia wa nchini Uingereza amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kugundulika kuwa ana ugonjwa huo katika Uwanja wa Ndege wa jijini Dar.
Kijana huyo aliwasili...
Imethibitika wazi kabisa na serikali kupitia wizara ya afya kwamba MAFUA YA NGURUWE yameingia rasmi tanzania!na tayari kuna mgonjwa wa aina hiyo!
USHAURI WA BURE KWA WAZEE WA MDUDU!wale wakata...
KWA MUJIBU wa Idhaa ya Kiingereza ya BBC kuna mbwia unga mmoja karibu kwa kila familia kisiwani Zanzibar.
Mara tu siasa ya Ujamaa ilipokufa na Tanzania kufungua milango yake wazi kwa kila aina...
Wakuu heshima mbele!wajameni nina shida!naamini kabisa huku jamvini kuna wataalamu waliobobea!mimi kijana wangu ana umri wa mwaka mmoja na miezi minne!ana uzito wa Kg 11,tatizo lake lipo kama...
A study published Monday strengthens the evidence that long-distance travel can lead to potentially fatal blood clots in some people -- showing that the risk grows in tandem with the length of the...
Sina hakika kama hili limekwishaulizwa hapa awali.
Hivi kwa nini watoto wengi siku hizi ni wanene sana (mabonge) overweight? Tatizo hili husababishwa na nini? Nini madhara yake? Nini chaweza...
A blinded man has seen his wife for the first time after surgeons gave him back his sight using one of his teeth.
Blinded Man Regains Sight
With Tooth For Eye Enlarge photo
Martin...
Imagine if all major retailers started producing their own condoms and kept their tag line........
TESCO condoms-Every little helps!
NIKE condoms- Just Do It!
PEUGEOT condoms-The ride of your...
Imethibitika kuwa condomu haina uwezo wa kuzuia ukimwi kwa wanawake kama ilivyo kwa wanaume, kwa sababu ile chuchu ya mbele ya condomu inao uwezo wa kubeba 2.5ml za shahawa na wakati huo mwanaume...
Wakulu;
Toka Sekeseke na Shem Liyumba lianze Kisitu, nimekuwa nikimwona na chupa kubwa ya maji ya Kilimanjaro.
Kumekuwa na discussion kuwa anako kale kaugonjwa ketu kale.
Somebody tell me...
A neurologist says that if he can get to a stroke victim within 3 hours he can totally reverse the effects of a stroke...totally .. He said the trick was getting a stroke recognized, diagnosed...
Naomba mnisaidie wana JF, ni namna gani natoa maji yaliyoingia sikioni?
Kwa waliopatwa na karaha hii nadhani watakubaliana nami jinsi gani inasumbua saa nyingine... maana mtu unazungurusha...
wanaJF naomba ushauri wenu.Nina rafiki yangu wakike ambae anatatizo la kula unga wa sembe,tabia hii ameianza toka alipo kuwa msichana(kuvunja ungo)toka wakati huo hadi leo hii amejaribu njia mbali...
Kuna jamaa yangu anaomba msaada wa ushauri kimatibabu kwani anasumbuliwa na maumivu katika eneo la shingo ya uume wake.
Tatizo hilo amekuwa nalo kwa zaidi ya miaka saba sasa kwani ameshakwenda...
Tanya Angus was 5-foot-11 and 115 pounds before she noticed her body starting to change at age 20. Today, at 30, the rare disorder acromegaly has made her 6-foot-6 and 480 pounds.
Tanya Angus...
Should You Get Rid of Your Period?
A birth control pill can make your monthly flow disappear. But is that such a good idea?
By Tiffany Blackstone[/B][/CENTER]
Yes
Leslie Miller, M.D...
Naomba radhi kama nitaudhi lakini habari ndio hii:
YOU MUST READ BELOW BEFORE LOOKING AT THE PICTURES. SHARE THIS WITH YOUR WIVES, DAUGHTERS, SISTERS, FRIENDS... ANY WOMAN
Recently there...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.