Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Kupata Mtoto ni kitu kizuri sana na binadamu wengi wanaishi wakiwa na ndoto hiyo, lakini ni vizuri kiumbe huyo akija wakati muafaka. Ujio wa mimba wakati huo ukiwa na mtoto mwingine mchanga au...
2 Reactions
2 Replies
843 Views
Wakuu heshima zenu, Ni athari gani unapata ukitumia Heligo Kit.Nahitaji majibu kwa ambayo washawahi kutumia, Nawasilisha
0 Reactions
6 Replies
11K Views
1. Najisikia maumivu kwenye rectum..hasa ikiwa nabanwa na haja kubwa. 2. Maumivu husambaa mpaka kwenye misuli ya uume iloelekea sehem ya haja kubwa. 3. Maumivu huelekea pia mpaka kwenye paja...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habar wako naomba kujua vitaminb17 suppliment ntavipata wap Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
0 Replies
380 Views
Hili jambo ni hali ya kawaida au kuna mkono wa mtu. Yy ni Ke miaka 15, Form 2, Krbn.
2 Reactions
50 Replies
2K Views
Ni ugonjwa wa kuhara unaosababishwa na maambukizi ya vimelea vya bakteria wanaoitwa Vibrio cholerae. Vimelea hivi humwingia mtu kupitia matumizi ya vyakula au maji machafu yenye masalia yake...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika siku za hivi karibuni kujifungua kwa upasuaji kumeonekana kama ‘fasheni’, kwani kuna idadi ya wanawake wengi wanaofika hospitali kuomba kupatiwa huduma hiyo bila sababu za kitaalamu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hellow doctors? Nauliza dawa Gani inakata period ndani ya muda mfupi? Thanks in advance
3 Reactions
39 Replies
12K Views
Kwa mujibu wa Kituo cha Udhibiti na Kinga ya Magonjwa Cha Marekani (CDC), mtu mzima anashauriwa kushiriki mazoezi mepesi kwa walau dakika 150 kwa wiki. Mazoezi huongeza utimamu wa afya ya mwili...
1 Reactions
1 Replies
957 Views
Wakuu habarini! Nimeshare shaver jana na mgongwa wa UKIMWI bila kujua bahati mbaya wakati natumia nilijikata. Leo ameenda kuoga na yeye akatumia hiyo shaver kumuuliza akasema hiyo niyake na huwa...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Habar wakuu nna nndugu yangu alipata strock nizaid ya mwaka Sasa Jana kafanyiwa ct scan ikabainika anauvimbe ktk ubongo..tukaambiwa hapa nikwenda moi akafanyiwa operation yakichwa kutoa uvimbe...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za sahizi ndugu zangu, Nina mtoto wa mwezi mmoja lakina anasumbuliwa sana na tumbo, tumbo linaunguruma na anarudisha maziwa akinyonya. Nani amewahi kupitia hili na je shida ni nini na...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Je, mtu mwenye diploma ya pharmacy ana ruhusiwa kumiliki pharmacy yake?
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau naombeni dawa ya kikohozi ya mtoto mdogo, mwanangu anakohoa sana hasa usiku kuanzia mida ya saa 6 nimempeleka hospital hawajaona tatizo wanasema pengine ni allergies na amepewa dawa lakini...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini wana JF yaani ninatatizo la mafua kilasiku pua kuziba au muda mwingine yanatoka makam*si...ila kila siku nipo na mafua...kuna dawa gani itasaidia...au sababu inaweza kua ni nini!? Kuna...
1 Reactions
17 Replies
39K Views
Waziri wa Afya Anil Vij, amesema uamuzi huo umechukuliwa baada Mamlaka kukagua kiwanda cha Maiden kilichotengeneza dawa hizo na kubaini ukiukwaji wa masharti 12 ya viwango vya ubora. Katika...
0 Reactions
1 Replies
702 Views
Nawasalimu kwa ujumla wenu. Kama heading inavyojieleza, nlikuwa naomba kwa wale wanaojua chanzo cha tatizo na tiba yake. Nina wiki moja hapa mdomoni kuna ladha ya chumvi, nilijaribu kwenda...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Naomba kujua kama Kuna dawa ya kuondoa tatizo la mtoto wa jicho bila upasuaji.
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Habari wadau naombeni msaada. Niko katika mahusiano ya kirafiki kwa miezi nane na binti hapa mtaani kwetu ambae yeye ana mtu wake(huwa mara nyingi hakai hapa, yeye anakaa Dodoma ndo anakofanyia...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Na Je unafahamu Umuhimu wa Kufanya Kipimo Cha Ultrasound katika Kipindi cha mimba? Niko hapa kujibu maswali uliyonayo kuhusu kipimo cha Ultrasound!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom