Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Kwema waungwana samahani mtoto anasumbuliwa na minyoo naomba kwa yeyote anayefaamu dawa nzuri ya minyoo kwa mtoto minyoo mpaka anawashwa sehem za aja kubwa.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu habari za kila siku na majukumu ya utafutaji wa kila siku! Naomba msaada, ushauri au tiba! mwanangu ana chini ya wiki moja tangu tumpokee☺️ ila anasumbuliwa na kwikwi inayodumu kwa muda...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari za leo wakuu natumaini mpo wazima kbsà tena wa afya, Tuende katika mada yetu. Last months nilikutana na demu mmoja hivi final nikaforce nikala mzigo unfortunately alikuwa ametoka kwenye...
1 Reactions
59 Replies
6K Views
Tafadhali naomba unijuze Ili kupona ulitumia mimea ipi Kwa kiasi kipi Na matokeo ya kupona hilo tatizo yalitokea ndani ya siku ngapi? Na huo mmea unapatikana mkoa upi,wilaya ipi,au maeneo yepi?
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Ni hospitali gani inaweza kuweka zile nyaya za kunyoosha meno yaliyojipangilia vibaya? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
30 Replies
27K Views
Kwanza kabisa naandika haya kwa kuhitaji ushauri wenu wa dhati juu ya changamoto yangu. Back to the topic Iko hivii, nimekuwa na mpenzi wangu kwa takriban miaka mitano sasa, miaka minne akiwa...
7 Reactions
39 Replies
11K Views
Uzi umeelewa wakuu wa jukwaa. Naomba kujua kipimo hiki cha FSH kinapatikana wapi kwa Mwanza?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau Mwanamke kukosa hamu ya Tendo la Ndoa husababishwa na nini? Je, atumie kitu gani kimrudishe kwenye hali yake ya kawaida!
1 Reactions
50 Replies
9K Views
Hili tatizo lilianza mwaka uliopita. Nikaenda hospital waliniambia nipunguze uzito. Nimepunguza but bado hii mistari haitoki. Niini linaweza kuwa sababu ya hili tatizo na solution yake.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habarini, Kuna mwanamke alikuwa anatumia uzazi wa mpango(vjiti), kakitoa mwezi wa 6, mwezi wa 7 tarehe 21-24 brdi,nikalala nae tar 28, mwezi huu, pia kaanza brid tar 11-14,nimelala nae Leo tar...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Wakuu nimekuwa nikijiuliza kwamba sisi wenye wapenzi wa mbali kwa mwaka tunakutana mara moja na tunaishi kwa kuaminiana. Hivi ikitokea mwanamke amepata ujauzito na then akakaa bila kufanya...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Jaman Mungu ni mwema katujaalia mtoto wa kiume tarehe 13/5/2021. Naomba kujua sasa ni zaidi ya miezi mitatu je naweza kumrudia mama mtoto maana hali ishakuwa mbaya najitahidi kukomaa lkn uzalendo...
4 Reactions
43 Replies
6K Views
Hodi, habari wanajamvi!! Naomba msaada juu ya hili! Rafiki yangu ana tatizo la kutoka majimaji (yaani sio jasho la kawaida)mikononi na miguuni tu! Kiasi kwamba hata akilala anatumia feni (Note...
0 Reactions
17 Replies
13K Views
Ana miaka 62 mpaka sasa, Umri wake ni bado saana kwa haya anayoyapitia Miguu inamuuma saana Miguu pia inavimba Kuna mda akinywa maji mengi haja ndogo inatoka yenyewe Pia ana tatzo la kupoteza...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, Hapo nyuma nilikuwa na sumbuliwa na tumbo kujaa gesi sasa lile tatizo lilipata kuisha sasa toka limeisha nimekua nabeua beua bila sababu hadi imegeuka kuwa kelo kwangu. Mwenye...
1 Reactions
3 Replies
7K Views
HaBari wadau..! Husika na kichwa cha habari hapo juu.
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Ndugu yangu kaambiwa damu yake chafu ina bacteria wengi inatakiwa kusafishwa shida hatujui galama ni kiasi gani kwa hospital za serikal na binafsi, tunaomba msaada kwa mtu anaye jua gharama zake...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari wanajamvi. Mimi natokea unyamwezini ambapo hutumia asali ya nyuki wadogo ikichanganyw na mdarasini kitu inakuwa kama mti mkavu. Kwenye mechi lazima mtoto aombe maji ya kunywa, je hapo...
3 Reactions
116 Replies
36K Views
Naomba wajuvi wa mambo wanisaidie hapa. Kama kila baada ya mwezi mwanamama anapata tarehe tofauti za hedhi kiafya ni sawa? Mfano mwezi huu anaingia tar 24 alafu mwezi ujao anaingia tar 20. Hii...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu zangu takriban nina siku mbili Sasa nimekosa kuhisi harufu Wala laza ya chakula ingawa leo kidogo laza imekuja kwa mbali snaa ila harufu bado sijaweza kuhis nitumie dawa gan?
3 Reactions
98 Replies
9K Views
Back
Top Bottom