Habari za asubuhi bila shaka MUNGU ni Mwema na anazidi kuwa bariki.
Nina jambo 1 naomba mnisaidie jamani kwa wanawake naomba mnisaidie kwa wifi yenu na kwa wanaume naomba mnisaidie nifanye nini...
Waungwana mwenzenu Sina Aman kabisa ndoto zangu zangu zmeyeyuka nmekutana na DEMU nisiyemjua status yake nikamwita gheto akaja nikapiga na kondomu bahat mbaya ikapasuka bila kujua Ile kuchomoa hv...
Wakuu kuna ugonjwa umenianza na unanitesa miezi miwili sasa, ngozi yangu imekakamaa hata nipake mafuta vipi baada ya muda flani inapauka tena,hasa mikononi. Licha ya hivyo pia inaambatana na...
Sina stori ndefu maana kila mtu anautambua ugonjwa huu, dalili zake, namna ya kujikinga na madhara yake.
Hivyo hapa nipo kupendekeza tiba mbadala kama ilivyo kufukiza naomba nikwambie tu kuwa...
Nitaanza mwanzo kabisa,
Kutokana na ishu za hapa na pale nilikua sijafanya mapenzi (wala masturbation) kwa zaidi ya miezi minne, kisha siku ilivyofika a second namaliza kumwaga nikapata maumivu...
Mimi nina takribani siku 6 sasa, sijui harufu ya kitu chochote wala sisikii taste ya chochote.
Siumwi homa, wala mafua.
Hii ilitokea gafla tu baada ya kumeza Alu (mseto).
Kuna wenzangu humu...
Faida za kula nyanya
.
Nyanya huwa tunazichukuliwa kama mboga za majani, ingawa kiuhalisia ni tunda.
Nyanya ni chakula kizuri sana. Ni tamu ukila mbichi katika kachumbari au katika sandwiches, na...
Chakula chenye nyanya nyingi kinaweza kumsaidia mwanaume kutoa mbegu za kiume zenye ubora, utafiti umebainisha.
Afya ya wanaume ambao hunywa vijiko viwili vya nyanya ambayo imesagwa kwa siku...
Wanajamvi mtoto wangu ana siku ya 4 leo ila tangia majuzi jicho lake moja linakuwa na matongotongo mengi sana!
Alivyozaliwa tu jicho moja lilikuwa linatoa matongotongo kama siku moja (yaani masaa...
Sorry mimi ni kijana wa kiume mwenyewe umri wa Miaka 20 sasa uongo mbaya nimepiga sana punyeto kwa sasa nimeacha ila korodani zangu uwa zina uma sana na hata milija ya korodani.
Sometime ina...
Habari za umu wakuu,
Tafadhar naombeni msaada,!
Kuna ugonjwa umeibuka yasemekana ni wa mlipuko, unatoka vipere vingi sehem mbalimabali za mwili mpaka sehemu za siri na vinawasha hasa, tena...
BAADHI YA MASWALI YA WADAU KUHUSU HALI HII:
Habari waungwana,
Mie nina tatizo limenitokea hivi karibuni. Ninapofanya mapenzi na mke wangu,baada ya shahawa kutoka nasikia muwasho ndani ya mrija...
After chemo (and immunotherapy) treatment, it's true that it can take years until you feel alive again ... With the side effects of chemo and radiation, you will never be 100% again because your...
Mkaa (charcoal) ni moja ya tiba isiyotiliwa maanani lakini inathamani katika kuleta uzima na kuuboresha.
kazi ya mwili sio kupokea sumu bali chakula. Lakini kwa bahati mbaya kwa dunia ya sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.