Habari zenu wakuu nilikuwa nauliza creatine monohydrate inafaa kwa kujaza body kwa mimi mtu mwembamba maana upper body imeisha sana nilianza gym lakini sijai wala nini hivi hizi supplement (poda)...
Salam wana bodi,
Serikali imetutangazia na inaendelea kututangazia kuwa huduma ya mtoto chini ya miaka mitano ni bure ingawa sehemu kubwa ya watoto hutozwa pesa hasa wanapopewa huduma hizo kwenye...
Wakubwa naomba mnifunze kitu hapa, nimekuwa nikisikia kuwa unywaji wa maji wakati unakula au mara baada ya kula sio mzuri. Inasemekana unahitajika kupumzika walau saa moja kisha ndo unywe maji...
Mara nyingi napomnyonyesha anakuwa akipaliwa,na hapo wala simkamulii maziwa zaidi ya kumshikia tu titi ila ndo hivyo anajikuta akipaliwa kwa kweli hili jambo linaniumizaga sana,
mimi tu mama...
Unajua madhara unayoweza kuyapata endapo utachangia taulo mmoja na mtu mwingine? Usikubali kutumia taulo moja na mtu mwingine hata kama ni familia yako, ni hatari kwa afya, wataalamu wa afya...
Wakuu habari.
Nimeona mara nyingi watu huchoma udi maduka majumbani mwao, najiuliza ni kwa sababu zipi, zina faida gani na kuna aina ngapi za udi maana harufu hutofautiana.
Asanteni.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya duniani (WHO), Mtoto anapaswa kuanza kunyonyeshwa saa moja baada ya kuzaliwa hii husaidia maziwa ya mama kuweza kutengenezwa kwakuwa mtoto anapowekwa kwenye kifua...
Wataalamu wa Afya wanasema baada ya kutumia mswaki wadudu hubaki kwenye mswaki hivyo ni muhimu kutumia maji moto unapotaka kuutumia tena.
Kiusafi haishauriwi kuchemsha mswaki ili kuua wadudu...
Habari za majukumu wapendwa wana JF,
Mimi nasumbuliwa na fangasi (kama utangotango/mba) katikati ya mapaja, kulikopelekea sehemu hiyo kuwa nyeusi sana.
Fangasi hizo haziwashi bali zinakuwa kama...
Habari za usiku huu wana jamvi, poleni na uchovu wa pilika pilika za kutwa nzima ,
Mtaniwia radhi jamani kwa hiki nachokisema hapa, huwenda baadhi ya watu wakanielewa na wengine wasilinielewe...
Habari wadau,
Nahitaji nipate ushauri wa mawazo na wakitaalam pia juu ya hili jambo ambalo linaniumiza kichwa.
Nipo katika mahusiano na msichana takriban miezi 3 sasa gheto anakuja vzr ila kila...
Habari za mda huu wanajf, ninapenda kushare na nyie ukweli unaoumiza kuhusu smart people. Watu wengi wanadhani kuwa na uwezo mkubwa kiakili ni jambo rahisi sana lakini ukweli ni kwamba
[emoji117]...
Tafiti zinaonesha wanafalme wa kale wa misri walitumia njia hii ya kung'atwa na nyuki kwenye uume ili kuweza kuukuza.
Inasadidika uking'atwa na nyuki uume utaongezeka ukubwa moja kwa moja bila...
Je, imetokea kwa bahati mbaya umetegeka na mwanafunzi na ukamwaga ndani? Au umemwagia dada ambae unahisi huwezi kuzaa nae au hauko tayari, vivyo hivyo kwa mwanamke umetembea na mwanaume...
Wakuu wa afya hebu tusaidiane hapa,kwa mwanamke aliebleed mfululizo pengine juu ya tatizo fulan kwa siku 10 had 15
Mwanamke kama huyo siku zake salama zinakuwa zipi na siku zake hatar nazo...
Kuna dawa inapikwa na kuuzwa sehemu mbalimbali wanaiita alkasusu naomba kuuliza hizo dawa asili yake ni wapi na ni kweli zinatibu naomba mwenye uelewa wa hii dawa anijulishe.
===
Amani iwe kwenu...
Ukwaju ni tiba ya magonjwa mbalimbali, leo tujaribu kuona faida zake
Majani ya ukwaju yanatibu fangasi, kusafisha kibofu cha mkojo na kutibu maumivu ya viungo.
Magome na mizizi yanatibu tatizo...
Mchele mbichi una Bakteria hatari wa Bacillus Cereus ambao husababisha sumu ya chakula 'food poisoning'. Vilevile una misombo kadhaa ambayo husababisha matatizo katika hatua mmeng'enyo wa chakula...
Utafiti wa Chuo Kikuu cha #California, Berkeley ulibaini Mtu kukosa usingizi wa kutosha kunaweza kumfanya awe mpweke, kujitenga na wengine au kutamani kuwa pekee yake muda mwingi
Watu wasiopata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.